Magangad
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 837
- 354
un
ungefafanua kwanza vitu ulivyotumia ili watu wajue sasa wakushauri utumie nini, maana tunaweza tukakuambia cha kutumia halafu yakawa yaleyale uliyowahi kupitia
Habari wadau.
Mwenzenu nasumbuliwa na chunus sn, nshatumia vitu kbao ht idadi ckimbuki, kila nnachoambiwa natumia ila znaisha na kurud tena vle vle, iyaan naweza kutumia kitu kipya nakua soft ndan ya mwenz mmoja baada ya hapo hali ya mwanzo inarud tena vle vle.
Yaan mpk inafka stage najichukia, ht kukaa mbele za watu naona aibu
ungefafanua kwanza vitu ulivyotumia ili watu wajue sasa wakushauri utumie nini, maana tunaweza tukakuambia cha kutumia halafu yakawa yaleyale uliyowahi kupitia