Chumba self container Arusha Makao Mapya

Chumba self container Arusha Makao Mapya

vurumai

Senior Member
Joined
Feb 9, 2014
Posts
178
Reaction score
36
Habari Wadau.
Nauza chumba kimoja
chenye full tiles na choo
ndani. Kodi ni 100000 kwa
mwezi nmekilipia miezi
mitatu hivyo nirudishie
200000/- ya miezi miwili, wa
nane na tisa. Ukilinilipa wiki
hii utaweza kuhamia na
kukaa bure mwez huu
mpaka utakapoanza mwez
wako wa nane.Kitanda na
godoro vyote utavikuta
ukilipia, ni vya chumba. Chumba kipo eneo salama ndani ya geti.
Atakayehitaji naomba
anipm.
 
Hizi mambo za kupandilia kodi ya mtu sio kabisa
 
Ni chumba au geto?makao mapya sehemu gani specifically
 
ingekuwa mwezi wa tisa ningekichukuwa.

ila kodi duh!! kama frem!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom