John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,343
Ni chumba na sebule. Cha kulala ni self contained. Na kuna bafu na choo tena ipo kwa nje which means wageni ama ndugu watakuwa wanalitumia watakuwa hawatumii bafu lako la ndani.
Ni kimara baruti sio mbali na barabara. Kimelipiwa hadi mwezi wa 6 tar 31.. Nimehamishwa mkoani kikazi thats why nakikodisha kwa anayetaka. Bei ni laki na elfu 10. Na hakuna dalali.
Contact. 0714 925 525
Hapo ni picha ya bafuni na mlango wa kutoka bafuni kwenda chumba cha kulala. Vyumba ni vikubwa sana. Simu hio hapo . Call any time if you are serious.
Ni kimara baruti sio mbali na barabara. Kimelipiwa hadi mwezi wa 6 tar 31.. Nimehamishwa mkoani kikazi thats why nakikodisha kwa anayetaka. Bei ni laki na elfu 10. Na hakuna dalali.
Contact. 0714 925 525
Hapo ni picha ya bafuni na mlango wa kutoka bafuni kwenda chumba cha kulala. Vyumba ni vikubwa sana. Simu hio hapo . Call any time if you are serious.