swank
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 748
- 1,043
Habarini wana jamvi!
Ninatafuta chumba cha kupanga maeneo ya Makumbusho, Kinondoni au Mwananyamala.
Kodi isizidi elfu 50 na nitaweza lipia kwa muda wa miezi 6 tuu!
Kama kipo tafadhali naomba uniPM au nicheki kwenye namba 0656 475 081
NB: Nyumba isiwe na wapangaji wengi saana!
Ahsanteni!
Ninatafuta chumba cha kupanga maeneo ya Makumbusho, Kinondoni au Mwananyamala.
Kodi isizidi elfu 50 na nitaweza lipia kwa muda wa miezi 6 tuu!
Kama kipo tafadhali naomba uniPM au nicheki kwenye namba 0656 475 081
NB: Nyumba isiwe na wapangaji wengi saana!
Ahsanteni!