Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 8,736
- 24,029
Napangisha chumba changu kwa bei ya elfu 40 kwa mwezi,chumba kina dari la gypsum,rangi nzuri na kikubwa,nililipia miezi 6 sasa nataka kuhamia gongo la mboto chuoni,kwa hiyo atakayehitaji anitafute kwa 0718151415. Unaweza kulipia hata miezi mitatu iliyobaki halafu mwenyewe utaingia mkataba upya na mwenye nyumba baada ya muda huo kwisha.