Vipo boss wangu tatizo wewe uko ushuani lkn maisha ya Dar yako pia Arusha, karibu kwetu Ngarenaro ushuhudieLakini unakuta cha wastani sio kikubwa kihivyo.
80 hiyo hata Njiro anapata ila sasa sehemu zingine mvua ikinyesha nje unapachukia ilo tope.
Ugumu unakuja kwenye furnitures na vitu vitu vya aina hiyo, ila maisha ni kawaida tu ila ukawaida wake hauwezi kuwa the same na Dar. Dar mtu anapika ugali anatoka nje kununua dagaa mchele mchana umeisha. Ila Arusha sasa hamna hiyo