Jimmy George
JF-Expert Member
- Nov 28, 2016
- 1,733
- 1,646
Habari zenu waungwana.
Siku zote huwa tunaamini chumba anacholala baba huwa ni bora kuliko vyote. Lakin kwenye nyumba yetu ni tofauti,maana chumba cha baba kinazidiwa na vyumba vingine.
Chumba cha baba kinazidiwa kwa sababu zifuatazo:
1.Chumba cha baba hakina maji ya kutosha ingawa kuna siku baba alisema maji yapo ya ziada
2.Hakuna mwanga maeneo mengi ya chumba ingawa wasimamizi wa baba wanadai wana mpango wa kuweka hivi karibuni na baba alituambia umeme unatosha na kuna akiba kama 40(nguvu ya kuendeshea umeme.
3.Wasimamizi kwenye sekta ya vitabu hata hawafanyi kazi ipasavyo wamebaki kutishia tu wale wasimamizi wa wasomaji huku wakisema wanahitaji kuona usomaji(ufaulu) unaongezeka
4.Njia nyingi za kuingia chumban kwa baba ni mbovu na hupitika kwa shida
5.Hakuna watumishi wa kutosha wa kufanya kazi chumbani kwa baba
6. Na mengine mengi
Nasikia baba anataka ahamie kwenye nyumba yake hii na atafikia kwenye chumba chake hiki nashauri waboreshe chumba hiki ili kiwe na hadhi ya baba anayostahili
Siku zote huwa tunaamini chumba anacholala baba huwa ni bora kuliko vyote. Lakin kwenye nyumba yetu ni tofauti,maana chumba cha baba kinazidiwa na vyumba vingine.
Chumba cha baba kinazidiwa kwa sababu zifuatazo:
1.Chumba cha baba hakina maji ya kutosha ingawa kuna siku baba alisema maji yapo ya ziada
2.Hakuna mwanga maeneo mengi ya chumba ingawa wasimamizi wa baba wanadai wana mpango wa kuweka hivi karibuni na baba alituambia umeme unatosha na kuna akiba kama 40(nguvu ya kuendeshea umeme.
3.Wasimamizi kwenye sekta ya vitabu hata hawafanyi kazi ipasavyo wamebaki kutishia tu wale wasimamizi wa wasomaji huku wakisema wanahitaji kuona usomaji(ufaulu) unaongezeka
4.Njia nyingi za kuingia chumban kwa baba ni mbovu na hupitika kwa shida
5.Hakuna watumishi wa kutosha wa kufanya kazi chumbani kwa baba
6. Na mengine mengi
Nasikia baba anataka ahamie kwenye nyumba yake hii na atafikia kwenye chumba chake hiki nashauri waboreshe chumba hiki ili kiwe na hadhi ya baba anayostahili