Hahahahah!Du! hapa umeichekesha kwa laudi spika!!itakuwa ccm tu hao
duh, yaani mtoto wa kiume sasa hivi ni pasua kichwa.
Dah.!mbona hata humu wapo
hii mitandao itatuulia watoto!
ishantokea mara kibao,hata hao wanajiita men club of tanzania,kiukweli niliwaadd,letaron nikawagundua nikawablock! Wakenya na waganda ndo usiseme wanaomba paka mwaliko wakutembelewa.
dunia imebadilika ,siku hizi hata kuwapeleka shule za bweni inakuwa ishu sasa.duh, yaani mtoto wa kiume sasa hivi ni pasua kichwa.
dunia imeisha nahisi gomora na sodoma imeshawasili!
Tulishapita Sodoma na gomola kitambo! Sa iv sjui 2po wapi, coz kpnd hcho wao walkua wakfanya ufilauni wa ngono chafu wala wao walkua hawaui albino km ilvo bongo kwa sasa! 2po jehanum full yan.