Habari wanajamii ,hivi ni mbinu gani walizotumia kufaulu vizuri na kupata gpa nzuri ya kwenda degree kwa wale walioanzia diploma za afya kwa vyuo serikali Kama vile phamacy, clinical medicine na nursing, maana naskia kufaulu vyuo vya serikali kwa GPA kubwa ni ngumu kuliko vyuo vya private.tupeni mbinu mliosomea vyuo vya serikali na kutoboa mpk degree
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app