Chuki ya UKAWA kwa Makonda ni kwa utendaji kazi wake

Tunutu kiwavi

JF-Expert Member
Jul 2, 2016
528
215
Hamna anayekataa kuwa jiji la Makonda linaongozwa na Ukawa kuanzia idadi ya madiwan wabunge had mameya.

Pamoja na ukweli huo, ukilinganisha utendaji kazi kat ya viongozi hao wa Ukawa na mkuu wao wa mkoa utaona kuna gepu kubwa la kiutenaji.

Kwa mda mchache akitumikia kiti chake makonda ameonesha uthubutu mkubwa katika kutatua changamoto mbambl zinzoikabili jiji la Dar ar es salam na wakazi wake, na kufanya Makonda kupata sifa na umaarufu mkubwa jijini na nchini kiujumla.

Hili limekuwa likiwaumiza sana ndugu zetu wa Ukawa kwa muda mrefu , sasa wameoona sehemu pkee ya kufifisha sifa sake in hili la vyeti.

Wameshikilia bango utadhani vyeti ndo vinafanya kazi.

Hapo utaona hawa ndug zetu lengo lao kubwa madaraka na sio maendeleo ya wananchi, pamoja na jithada zote alionesha ndugu Makonda wenyewe wanjifanya hawaoni wako bize na vyeti na kujaribu kutaka kuwaibuwa viongoz wao waliofunikwa vibaya katika utendaji,

Poleni sana ila nawakumbuaha kama mnaona vyeti ndo kila kitu kuna haja sasa ya kumpa uwenyekiti wa chama Prof safar badala ya Huyo std 6 wetu
 
1. Gape lipi la kiutendaji fafanua
2. Changamoto zipi toa mifano
3. Kuna shida gani akionyesha cheti, acha hizo
4. Kaonyesha jitihada zipi acha mihemko.
5. Kujaribu kuwaibua vingozi gani, acha mkurupuko fafanua.
6. Nini form six, mwambie aliekutuma awarejeshe kazini wote waliofukuzwa kwa vyeti feki.
 
Mimi sidhani kama Ukawa wana shida na Makonda.Hata kama Mbeya amepeleka malalamiko Tume ya maadili ya Viongozi kuhusu Paul Makonda.

Ugomvi uliopo hapo ni Ukawa na Rais Magufuli aliyeamua kutoruhusu mikutano ya kitaifa kwa vyama vya siasa isipokuwa tu kila Mbunge afanye mkutano ktk Jimbo lake.

Sasa hasira zote ni kwa Paul Makonda
 
kuna huyu meya mashavu nene utadhani noah wa ubungo. eti amefunga safari kumshitaki makonda. mtu hata kazi ya meya hajui anaingikua kazi ya mskonda. hakika chadema wameonyesha ni kikundi hatari kama gwajima na misukule yake. wamemwaga sumu dhidi ya makonda haijaoneka. kosa lake kubwa kuwafunika chadema kwa utendaji.
Ndio wale wale wasio na vyeti ashapewa pesa ya bundle aje amtetee bashite hapa, mbona wewe umejazia huko hatusemi.
 
Hamna anykataa kuwa jiji LA makonda linaongozwa na Ukawa kuanzia idadi ya madiwan wabunge had mameya. Pamoja na ukweli huo, ukilinganisha utendaji kazi kat ya viongozi hao wa Ukawa na mkuu wao wa mkoa utaona kuna gepu kubwa LA kiutenaji. Kwa mda mchache akitumikia kiti chake makonda ameonesha uthubutu mkubwa katika kutatua changamoto mbambl zinzoikabili jiji LA dar es salam na wakazi wake, na kufanya makonda kupata sifa na umaarufu mkubwa jijin na nchin kiujumla, hill limekuwa likiwaumiza sana ndugu zetu wa Ukawa kwa muda mrefu , sasa wameoona sehemu pkee ya kufifisha sifa sake in hili LA vyeti. Wameshikilia bango utadhani vyeti ndo vinafanya kazi. Hapo utaona hawa ndug zetu lengo lao kubwa madaraka na sio maendeleo ya wananchi, pmoja na jthada zote alioneshha ndugu makonda wenyw wanjifanya hawaoni wako bze na vyeti na kujarbu kutaka kuwaibuwa viongoz wao waliofunikwa vibyaya katika utendaji, poleni sana ila nawakumbuaha kama mnaona vyeti ndo kila kitu kuna haja sasa ya kumpa uwenyekiti wa chama Prof safar badala ya Huyo std 6 wetu
Ondoa matumizi ya Polisi ndiyo upime utendaji. Usisahau enzi za Mrema kama Waziri wa Mambo ya ndani na Mrema Huyo huyo Waziri wa kazi. Utendaji ulikuwa wa tofauti sana.
 
Hamna anykataa kuwa jiji LA makonda linaongozwa na Ukawa kuanzia idadi ya madiwan wabunge had mameya. Pamoja na ukweli huo, ukilinganisha utendaji kazi kat ya viongozi hao wa Ukawa na mkuu wao wa mkoa utaona kuna gepu kubwa LA kiutenaji. Kwa mda mchache akitumikia kiti chake makonda ameonesha uthubutu mkubwa katika kutatua changamoto mbambl zinzoikabili jiji LA dar es salam na wakazi wake, na kufanya makonda kupata sifa na umaarufu mkubwa jijin na nchin kiujumla, hill limekuwa likiwaumiza sana ndugu zetu wa Ukawa kwa muda mrefu , sasa wameoona sehemu pkee ya kufifisha sifa sake in hili LA vyeti. Wameshikilia bango utadhani vyeti ndo vinafanya kazi. Hapo utaona hawa ndug zetu lengo lao kubwa madaraka na sio maendeleo ya wananchi, pmoja na jthada zote alioneshha ndugu makonda wenyw wanjifanya hawaoni wako bze na vyeti na kujarbu kutaka kuwaibuwa viongoz wao waliofunikwa vibyaya katika utendaji, poleni sana ila nawakumbuaha kama mnaona vyeti ndo kila kitu kuna haja sasa ya kumpa uwenyekiti wa chama Prof safar badala ya Huyo std 6 wetu
MWANZO NILIKUWA NAJUA CHADEMA NI WANAFKI WA KIWANGO CHA KAWAIDA KAMA ILIVYO KAWAIDA YA SIASA HATA CCM WANA MICHEZO MICHAFU.. MAMBO YA VYAMA SI UNAJUA YALIVYO.. ILA KWA HILI LA KUMKOMALIA MAKONDA ETI KISA CHETI NA KUSHINDWA KUMUUNGA MKONO KWENYE VITA YA MADAWA NIMEKUJA KUDHIBITISHA JINSI WALIVYO WANAFKI WA KIWANGO CHA LAMI... HATA HIVYO TATIZO KUBWA LIPO KWA VIONGOZI WAO TOKA WAKATAE KUMSKIA DK. WILBOAD SLAA WA MEKUWA WATU WA HOVYO SANA.. BAHATI MBAYA WAFUAS WA CHADEMA SIWEZI KUSEMA WANA MAKOSA SANA TATIZO LAO WANABURUZWA SANA NIMEJUA MAANA YA NYUMBU
 
Hamna anykataa kuwa jiji LA makonda linaongozwa na Ukawa kuanzia idadi ya madiwan wabunge had mameya. Pamoja na ukweli huo, ukilinganisha utendaji kazi kat ya viongozi hao wa Ukawa na mkuu wao wa mkoa utaona kuna gepu kubwa LA kiutenaji. Kwa mda mchache akitumikia kiti chake makonda ameonesha uthubutu mkubwa katika kutatua changamoto mbambl zinzoikabili jiji LA dar es salam na wakazi wake, na kufanya makonda kupata sifa na umaarufu mkubwa jijin na nchin kiujumla, hill limekuwa likiwaumiza sana ndugu zetu wa Ukawa kwa muda mrefu , sasa wameoona sehemu pkee ya kufifisha sifa sake in hili LA vyeti. Wameshikilia bango utadhani vyeti ndo vinafanya kazi. Hapo utaona hawa ndug zetu lengo lao kubwa madaraka na sio maendeleo ya wananchi, pmoja na jthada zote alioneshha ndugu makonda wenyw wanjifanya hawaoni wako bze na vyeti na kujarbu kutaka kuwaibuwa viongoz wao waliofunikwa vibyaya katika utendaji, poleni sana ila nawakumbuaha kama mnaona vyeti ndo kila kitu kuna haja sasa ya kumpa uwenyekiti wa chama Prof safar badala ya Huyo std 6 wetu
Ukiona watu wameanza tabia ya kuchukua watuumiwa wa madawa ya kulevya na kuwafariji, ni kwamba wamechoka sana, hata hawajui wafanye nn, makonda kafanya mambo makubwa hapa Dar, eti issue ya madawa ya kulevya ndo iwe chanzo cha yy kutumbuliwa, tumechoka na majungu yao-tokea juzi wanaimba wimbo eti Nape shujaa-lakini wakti alipoteuliwa waliponda sana uteuzi wake.
 
UKAWW ndiyo walimtuma Makonda avamie clouds media na mabunduki na walinzi binafsi wa rais?
61ce2a25f214219f64f7813e4c0aa0b2.jpg
 
1. Gape lipi la kiutendaji fafanua
2. Changamoto zipi toa mifano
3. Kuna shida gani akionyesha cheti, acha hizo
4. Kaonyesha jitihada zipi acha mihemko.
5. Kujaribu kuwaibua vingozi gani, acha mkurupuko fafanua.
6. Nini form six, mwambie aliekutuma awarejeshe kazini wote waliofukuzwa kwa vyeti feki.
Mweny macho haambiwi tazama unaonekana we c mwana dar huwezi jua
 
Hamna anykataa kuwa jiji LA makonda linaongozwa na Ukawa kuanzia idadi ya madiwan wabunge had mameya. Pamoja na ukweli huo, ukilinganisha utendaji kazi kat ya viongozi hao wa Ukawa na mkuu wao wa mkoa utaona kuna gepu kubwa LA kiutenaji. Kwa mda mchache akitumikia kiti chake makonda ameonesha uthubutu mkubwa katika kutatua changamoto mbambl zinzoikabili jiji LA dar es salam na wakazi wake, na kufanya makonda kupata sifa na umaarufu mkubwa jijin na nchin kiujumla, hill limekuwa likiwaumiza sana ndugu zetu wa Ukawa kwa muda mrefu , sasa wameoona sehemu pkee ya kufifisha sifa sake in hili LA vyeti. Wameshikilia bango utadhani vyeti ndo vinafanya kazi. Hapo utaona hawa ndug zetu lengo lao kubwa madaraka na sio maendeleo ya wananchi, pmoja na jthada zote alioneshha ndugu makonda wenyw wanjifanya hawaoni wako bze na vyeti na kujarbu kutaka kuwaibuwa viongoz wao waliofunikwa vibyaya katika utendaji, poleni sana ila nawakumbuaha kama mnaona vyeti ndo kila kitu kuna haja sasa ya kumpa uwenyekiti wa chama Prof safar badala ya Huyo std 6 wetu


Kwanza sitaki kukujibu kwa urefu maana kuna Methali moja inayosema usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake.
Hivi Ukawa ndio walioanzisha msako wa vyeti feki au serikali? hivi hakuna watu ambao wamefukuzwa kazi kwa ajili ya vyeti vya kufoji? je hao nao hawakuwa watendaji wazuri katika ofisi zao? Kama hakuna haja ya vyeti kwa nini Rais Magufuli alilazimisha wanafunzi kufukuzwa UDOM? Hivi ni Ukawa iliyokwenda kuvamia kituo cha clouds? akili zako haziko sawa
 
Wanamuonea wivu, maana anamiliki magari ya kifahari na majumba ya maana kuliko walioanza kazi kabla yake!!
 
1. Gape lipi la kiutendaji fafanua
2. Changamoto zipi toa mifano
3. Kuna shida gani akionyesha cheti, acha hizo
4. Kaonyesha jitihada zipi acha mihemko.
5. Kujaribu kuwaibua vingozi gani, acha mkurupuko fafanua.
6. Nini form six, mwambie aliekutuma awarejeshe kazini wote waliofukuzwa kwa vyeti feki.
mkuu chadema mmetatua kero gani tangu mmeshika jiji .
 
Back
Top Bottom