Muru sambemo mawa
Member
- Apr 19, 2023
- 41
- 89
Yaani hata sijui niielezee vipi mnielewe. Watu wazima kabisa, nchi moja wanakuwa na chuki zisizoelezeka ambazo haijulikani zimeanzia wapi na zitaishia wapi. Yaani wa Yanga wanaichukia Simba, na wa Simba wanaichukia Yanga.
Bado najiuliza je shida ni uwezo wetu sisi ngozi nyeusi au tatizo ni nini?
Najua wewe unayesoma hapa ni mmoja wapo. Hebu jitafakari, chuki hiyo uliyonayo dhidi ya timu pinzani, je umeitoa wapi?
Ilikuwaje ukaichukia timu nyingine huku ukijificha kwenye kichaka cha utani wa jadi?
Nini kifanyike ili michezo katika nchi yetu itujenge tuwe na umoja wa kitaifa na sio uadui kama ilivyo hivi sasa?
Bado najiuliza je shida ni uwezo wetu sisi ngozi nyeusi au tatizo ni nini?
Najua wewe unayesoma hapa ni mmoja wapo. Hebu jitafakari, chuki hiyo uliyonayo dhidi ya timu pinzani, je umeitoa wapi?
Ilikuwaje ukaichukia timu nyingine huku ukijificha kwenye kichaka cha utani wa jadi?
Nini kifanyike ili michezo katika nchi yetu itujenge tuwe na umoja wa kitaifa na sio uadui kama ilivyo hivi sasa?