Ahahhaha nakumbuka mtu aliwah piga simu global kuwa kamuona johar kwa sangoma khaa bongo mavi wachawi kiama nyoooo
Ahahhaha nakumbuka mtu aliwah piga simu global kuwa kamuona johar kwa sangoma khaa bongo mavi wachawi kiama nyoooo
aahahaa...mainda yupo busy na kanisa hatak bwana, chezeya virus vya kifua kikuu weye
Ilikuwa ni saa kumi kasorobo sheikh mbwana..........Ni Kazeze ni Kazeze.
alimchagua mainda tuu johari mwizi km chuchu usimtetee hapa hana wema wowote huyo johari
Mainda kama hajaolewa simshauri kirudiana na ray aisee....ila nilisikiaga kaolewa na mchunganyi na kaokoka balaa.....ray ovyoo tu
Hivi huyu chuchu hans ndiye aliezaa na frank mtao wa channel ten?( kama sijakose)
ndo yeyeHivi huyu chuchu hans ndiye aliezaa na frank mtao wa channel ten?( kama sijakose)
we hujui? kaandika facebook kuwa sijui atakuwa na nani baada ya kuachana na ray, halafu kasema ana nuksi na wanaume za watu wanampenda then wanamuacha, kumbe anajua kuwa alitoka na mpenz wa johari sasa alikuwa anajishaua nini, kaachwa bibi yule hana jipya tena, mimi nimefurah sana aiseeh alikuwa anajishaua mno aseeh...
binam ahaa kama hizi habar za kweli nimefrah mno yaaani ndo ajue ukijua kupendwa na ujue na kukataliwa
binamu chuchu kazaa na rayndo chaguo lake ata kama ni mzee
Good, uliona mbali bibie, hongera zakoyaani binamu badala ya kumshauri chagulaga azinduke usingizini aache kufanywa skrepa we unampa moyo anapendwa daah
too bad...!!!mana huyo chagulaga miss bugoyi kusoma hajui hata picha haoni llllooohhh!!!$
HAO WASANII WA BONGO MOVIE NA BONGO FLEVA WANACHEZEANA KINYAMA UKIOA MSANII WA MOVIE UJUE UMEOLEA WASHKAJI MAANA HUTADUMU NAYE AKIENDA KUSHOOT ANASHOOT NA CHINI BORA KUOA MAMA LISHEHahahaaaaa,mpuuzi yule.