Tairi bovu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 3,063
- 2,986
Wanamvi!
Mwaka jana ilikuwa bwana mkubwa akasali huko bukoba ikiwa ni muda mfupi baada ya yeye kutoenda huko na kuamulu fedha za rambirambi za wahanga . Ilipofika kipindi cha xmas kama hiki mkuu akataka kwenda kufanyia ibada husika hko na akataka kama kawaida yake akishasali apewe mic ili atoe ya moyoni kama anavyopenda kuita mwenyewe, hii ilikiwa ni njia ya kujikosha kwa wahanga wa tetemeko.Yule padre/ askofu wa kanisa alotaka kwenda kusali alisimamia msimamo wake kwamba kama anaenda magufuli aende kama muumini wa kawaida tu na wala hatapewa nafasi ya kuhubiri/ kuhutubia kama afanyavyo kila aendapo kanisani. Mpaka inafika tarehe kama hizi msimamo wa kiongozi wa kanisa lile ulikuwa hivyo. Itakumbukwa kiongozi mkubwa haenda kwenye ibada kwa kustukiza bali kwa mipango maalumu ya kiusalama na protokali za raisi.
Kuona hivyo, watu wa kitengo walifanya haraka ili muheshimiwa raisi akasali hapo SINGIDA. Kweli alisali singida ibada ile na alipewa alichokitaka ikiwemo kuhutubia baada ya ibada.
Swali : mwaka huu
Mwaka jana ilikuwa bwana mkubwa akasali huko bukoba ikiwa ni muda mfupi baada ya yeye kutoenda huko na kuamulu fedha za rambirambi za wahanga . Ilipofika kipindi cha xmas kama hiki mkuu akataka kwenda kufanyia ibada husika hko na akataka kama kawaida yake akishasali apewe mic ili atoe ya moyoni kama anavyopenda kuita mwenyewe, hii ilikiwa ni njia ya kujikosha kwa wahanga wa tetemeko.Yule padre/ askofu wa kanisa alotaka kwenda kusali alisimamia msimamo wake kwamba kama anaenda magufuli aende kama muumini wa kawaida tu na wala hatapewa nafasi ya kuhubiri/ kuhutubia kama afanyavyo kila aendapo kanisani. Mpaka inafika tarehe kama hizi msimamo wa kiongozi wa kanisa lile ulikuwa hivyo. Itakumbukwa kiongozi mkubwa haenda kwenye ibada kwa kustukiza bali kwa mipango maalumu ya kiusalama na protokali za raisi.
Kuona hivyo, watu wa kitengo walifanya haraka ili muheshimiwa raisi akasali hapo SINGIDA. Kweli alisali singida ibada ile na alipewa alichokitaka ikiwemo kuhutubia baada ya ibada.
Swali : mwaka huu