Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Nyota wa Muziki wa Injili, Christina Shusho anasema "Sisi Wananchi ndio wenye maamuzi na ndio ambao tunajua nani anafaa na nani hafai, kutimiza hilo lazima tuwe na uwezo wa Kupiga Kura, hatutakiwi kushiriki katika Uchaguzi kwa njia ya mdomo bali Kadi yako ya Kupiga Kura ndio inafaa na ndio inayotakiwa kutumika."
Amesema hayo wakati akizungumzia umuhimu wa Uandikishaji na Uboreshaji wa Daftari la Kupiga Kura, anaongeza "Anaongeza baadhi ya Watu wanachukulia suala hilo la Kupiga Kura ni la Kisiasa tu lakini linakupa nguvu ya kufanya maamuzi yanayoweza kuamua hatma ya maisha yako itakuwaje, nenda kajiandikishe upate nafasi ya kupiga kura na kumchagua kiongozi unayemtaka."
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025Amesema hayo wakati akizungumzia umuhimu wa Uandikishaji na Uboreshaji wa Daftari la Kupiga Kura, anaongeza "Anaongeza baadhi ya Watu wanachukulia suala hilo la Kupiga Kura ni la Kisiasa tu lakini linakupa nguvu ya kufanya maamuzi yanayoweza kuamua hatma ya maisha yako itakuwaje, nenda kajiandikishe upate nafasi ya kupiga kura na kumchagua kiongozi unayemtaka."