Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,711
Hhhhhhaaaaaaaa basi afadhali jide kuna huyu......... ni mbayaaa sura,mwili duuuu ukimpanga na jide ni mzuri balaaaaaa
.........ndo nani tenaaa?
Hhhhhhaaaaaaaa basi afadhali jide kuna huyu......... ni mbayaaa sura,mwili duuuu ukimpanga na jide ni mzuri balaaaaaa
.........ndo nani tenaaa?
Hhhhhhhhaaaa
Me ni mwanamke ila sina uchoyo wa kutoa sifa...ana mwili mzuri sana...yani ukimkata hicho kichwa halafu huo mwili ukauvalisha uniform...mbona hata form 1 anapokelewa....
Yes ana umbo zuri dogo dogo, na uzur wa kawaida sana yani, confidence inamfanya aonekane ni mwanamke mrembo zaidi ya WEMA SEPETU, jide she has a confidence bhana, anajielewa, mwanamke kama hujiamini si kitu
Mkuu kuna wengine humu wana makengeza!
Sasa mtu anaishi katavi ameshazoea kuona akina mama wanaoamkia kwenye mashamba ya mpunga kwanini asimuone Jide ni Mrembo wa kufa mtu? Hajawahi kumuona live zaidi ya insta na luninga unategemea atamchukuliaje jide?
kumbe wewe wa katavi,nakuja kukuchukua na trekta au katapilaHeheheee umenikumbusha Katavi kwa Wakwe zangu....
kumbe wewe wa katavi,nakuja kukuchukua na trekta au katapila
Sasa mtu anaishi katavi ameshazoea kuona akina mama wanaoamkia kwenye mashamba ya mpunga kwanini asimuone Jide ni Mrembo wa kufa mtu? Hajawahi kumuona live zaidi ya insta na luninga unategemea atamchukuliaje jide?
Sasa mtu anaishi katavi ameshazoea kuona akina mama wanaoamkia kwenye mashamba ya mpunga kwanini asimuone Jide ni Mrembo wa kufa mtu? Hajawahi kumuona live zaidi ya insta na luninga unategemea atamchukuliaje jide?
Hhhhhhaaaaaaa umeuaaaaa
Unakaribia kulala au ndo umeamka jirani
Mi ndio naamka
Basi siku njema ngoja nilale nipo huku mbeya vijijini giza kila mahali
Kwahiyo kichwa kimebeba sura la kizeeMe ni mwanamke ila sina uchoyo wa kutoa sifa...ana mwili mzuri sana...yani ukimkata hicho kichwa halafu huo mwili ukauvalisha uniform...mbona hata form 1 anapokelewa....
Kwahiyo kichwa kimebeba sura la kizee