Alafu wala hazeeki!!
hakugaa hata kwenye 100,000 bora hayupo, labda uganda
hakugaa hata kwenye 100,000 bora hayupo, labda uganda
hakugaa hata kwenye 100,000 bora hayupo, labda uganda
Ana mwili mtamu huyu dada.....!
In life if u want to please everybody, you will please nobody at the end! Hao ndio binadamu...na kwa binaadamu,hauwezi kuwa binaadamu kibinaadamu kwa wanaadamu! Wanaadamu HAWASARIFIKI!..fanya yako kivyako kwa ajili yako,ya kwao waache nayo,waende nayo wenyewe kivyaovyao kwa namna yao wapendavyo.
Ana mwili mtamu huyu dada.....!
samahan lakini we ni mwanamke au mwanaume? kama ww n k halafu unautaman mwili wa mwanamke mwenzako zote ni dalili
==> It's opposite...kati ya vitu asivyo navyo huyu Jide...mwili..NOT ATTRACTIVE AT ALL...NOT SEXY KABISA...tuongelea muziki wake, but body type NOO..NOOO...!!!!
Me ni mwanamke ila sina uchoyo wa kutoa sifa...ana mwili mzuri sana...yani ukimkata hicho kichwa halafu huo mwili ukauvalisha uniform...mbona hata form 1 anapokelewa....
Tatizo watu mshazoea mwanamke awe kavimbiana kama puto...
Kitu portable..kinabebeka...hata ikitokea vurugu unamweka begani unakimbia nae...
Sio jitu limevimbiana ikitokea fujo unamuacha wenzio wanakubebea...
Naupenda mwili wake...
Sura yake je? ??
Sura yake je? ??
Ile sura hapana kwa kweli....
Ile sura hapana kwa kweli....
In life if u want to please everybody, you will please nobody at the end! Hao ndio binadamu...na kwa binaadamu,hauwezi kuwa binaadamu kibinaadamu kwa wanaadamu! Wanaadamu HAWASARIFIKI!..fanya yako kivyako kwa ajili yako,ya kwao waache nayo,waende nayo wenyewe kivyaovyao kwa namna yao wapendavyo.
Binadamu jamani!! Mi huwa naweza kucomment kwenye tabia za mtu kama ni mbaya lakini su sura maana hakuna aliyechagua kuwa na sura aliyonayo, wote tulizaliwa tukajikuta tuna sura tilizonazo sasa tufanyeje? Tabia ni kitu ambacho mtu anaweza kubadilisha lakini si sura. nI kwa neema ya Mungu Muumbaji tu kila mtu amejikuta na sura aliyonayo basi.