Choo cha kisasa

Choo cha kisasa

Maganjila tz

Member
Joined
May 2, 2024
Posts
56
Reaction score
80
IMG_5113.jpeg
choo cha kisasa kisicho jaa ha hakitowi halufu kabisa

Tunajenga kwa laki 8 kwa dar Mikoani Ina panda kulingana na bei ya usafiri malazi na chakula
 
View attachment 3275244choo cha kisasa kisicho jaa ha hakitowi halufu kabisa

Tunajenga kwa laki 8 kwa dar Mikoani Ina panda kulingana na bei ya usafiri malazi na chakula
Kazi zinazotoa sifa za ujumla jumla huwa siziamini mie.

Haujasema aina gani ya udongo unaofaa kuchimba na kujenga choo cha sampuli hiyo.

Kuna maeneo watu wamejenga kuna chemuchemu za maji, iweje vyoo hivyo visijae?

Teknolojia gani mnatumia kudhibiti maji hayo nk nk?

Toa ufafanuzi unaojitosheleza na siyo kupromote kazi kunakojenga maswali.
 
Kazi zinazotoa sifa za ujumla jumla huwa siziamini mie.

Haujasema aina gani ya udongo unaofaa kuchimba na kujenga choo cha sampuli hiyo.

Kuna maeneo watu wamejenga kuna chemuchemu za maji, iweje vyoo hivyo visijae?

Teknolojia gani mnatumia kudhibiti maji hayo nk nk?

Toa ufafanuzi unaojitosheleza na siyo kupromote kazi kunakojenga maswali.
Asante mkuu kwa ushauri wako huu mfumo unafanya kazi mazingila korofi na lafiki nikiamanisha aridhi yoyote mfumo unafanya kazi kwa ufafanuzi zaidi tembelea mitanda ya kijamii facebook na instagram. Jp_master1 utapata maelezo yote au WhatsApp 0685949661
Asante 🙏
 
Asante mkuu kwa ushauri wako huu mfumo unafanya kazi mazingila korofi na lafiki nikiamanisha aridhi yoyote mfumo unafanya kazi kwa ufafanuzi zaidi tembelea mitanda ya kijamii facebook na instagram. Jp_master1 utapata maelezo yote au WhatsApp 0685949661
Asante 🙏
Umeulizwa swali zuri sana ambalo nilitaka kuuliza na mimi. Bahati mbaya majibu ya kueleweka hakuna unatupeleka Facebook na Instagram.
Au wewe sio fundi umetumwa tu kuleta tangazo?
 
Umeulizwa swali zuri sana ambalo nilitaka kuuliza na mimi. Bahati mbaya majibu ya kueleweka hakuna unatupeleka Facebook na Instagram.
Au wewe sio fundi umetumwa tu kuleta tangazo?
Hapa ni tangazo kwa maelezo zaidi kuna namba ya sim piga upate maelezo zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom