Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, amesema kuwa marehemu William Lukuvi alikuwa na moyo wa kujituma na kujitoa kikamilifu katika kazi, akibainisha kuwa hadi jana alikuwa ofisini licha ya kujisikia vibaya na kwenda hospitali kisha kurejea kazini kuendelea na majukumu yake.
Soma Pia: Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia
Akizungumza leo Machi 25, 2026 msibani nyumbani kwa marehemu eneo la Area D, jijini Dodoma, Chongolo amesema taifa limepoteza mtu muhimu mwenye uzoefu, hekima na busara ambazo bado zilihitajika kulisaidia taifa pamoja na Bunge.
Soma Pia: Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia
Akizungumza leo Machi 25, 2026 msibani nyumbani kwa marehemu eneo la Area D, jijini Dodoma, Chongolo amesema taifa limepoteza mtu muhimu mwenye uzoefu, hekima na busara ambazo bado zilihitajika kulisaidia taifa pamoja na Bunge.