Chondechonde naomba tuikomboe hii nchi hata kama ni kwa kuiondoka serikali dhalimu.kwa namna yoyote naomba hii nchi ilindwe isianguke. Hata kama ni kwa kuwaondoa watu waovu tuwaondoe kwa sababu Tanzania ni kubwa kuliko Sisi sote.
Chondechonde naomba tuikomboe hii nchi hata kama ni kwa kuiondoka serikali dhalimu.kwa namna yoyote naomba hii nchi ilindwe isianguke. Hata kama ni kwa kuwaondoa watu waovu tuwaondoe kwa sababu Tanzania ni kubwa kuliko Sisi sote.
Sio uoga udhalimu unaoendelea wa serikali hii na mauaji yaliyotokea Nk kama hatua bora hazitachukuliwa ni suala la muda tu maandamano kutokea lazima hii serikali ya wauaji watuachie Tanzania yetu.na safari hii maandamano yatakuwa mabaya sana.kwanza chuki imejengwa kati ya dini na dini,watu na CCM Nk.