Ndugu mheshimiwa,
Kipindi Cha kampeni ulituahidi kuwa utapunguza Bei ya vifaa vya ujenzi ili hata Watanzania wenye kipato Cha chini tuweze kujenga. Tulishawishika na set zako na tukakuchagua kwa kura nyingi Sana kuliko kawaida.
Sasa Cha kushangaza, Ni juzi juzi tu umeapishwa, lakini Jana Vifaa vya ujenzi vimepanda Bei ghafla. Je hi nay Ni Sera yako mheshimiwa?
Simenti Sasa tunaazimika kununua Hadi kwa Bei ya tsh30000-35000
Mabati Hali kadhalika yamepnda Bei.
Mheshimiwa tafadhali ingilia Kati ili watu tusianze kujutia kura tulizokupatia huki tukiamini kuwa utakuwa msaada wa kutimiza ndoto zetu.
Kipindi Cha kampeni ulituahidi kuwa utapunguza Bei ya vifaa vya ujenzi ili hata Watanzania wenye kipato Cha chini tuweze kujenga. Tulishawishika na set zako na tukakuchagua kwa kura nyingi Sana kuliko kawaida.
Sasa Cha kushangaza, Ni juzi juzi tu umeapishwa, lakini Jana Vifaa vya ujenzi vimepanda Bei ghafla. Je hi nay Ni Sera yako mheshimiwa?
Simenti Sasa tunaazimika kununua Hadi kwa Bei ya tsh30000-35000
Mabati Hali kadhalika yamepnda Bei.
Mheshimiwa tafadhali ingilia Kati ili watu tusianze kujutia kura tulizokupatia huki tukiamini kuwa utakuwa msaada wa kutimiza ndoto zetu.