Chonde chonde nyie wenye hasira na Lowassa

Chonde chonde nyie wenye hasira na Lowassa

butaza

Member
Joined
May 11, 2015
Posts
18
Reaction score
2
Kuroroma na kutetemeka kla sku ktk mindao ya kjamii kumshambulia lawasa kuwa hafai kuwa rais twambieni anae faa nani? Mbona hamsemi nani zaidi ya lowasa. ? Lakin Mbona watoa hoja wote ni wale aidha ana madaraka ndani serikalini au ni mpambe wa mgombea? Je huo si uwoga au hofu ya kushindwa mgombea wako?au hofu kuwa jamaa akipata utakosa ulaji? Lowasa alijiuzulu u wazri kwa maana kuwa mchakoto wa manunuzi ktk kuleta mradi wa umeme Richmond haukufuatwa hilo tu limeandikwa zaidi miaka saba 7 . ksa lowasa a na gombea. Mbona sakata la escrow la juzi tu wa huska wa sakata hilo ambao pia ni wagombea hawasemwi vibaya kuna nin kwa lowasa twambieni, Lakini kumbukeni Zuma, Kenyata buhari nk walisemwa sana jiulize ni nani ktk nchi zao. Acha wivu msifie mgombea wako .


.
.
 
Tatizo ni pesa anazotumia Halafu anasema anapewa na marafiki zake ambao hataki kuwataja.

Na kingine ni team inayomuunga mkono kila mmoja amechafuka kwa ufisadi na wengi wao ni waliotemwa kwenye utawala wa Kikwete.
 
Kwa CCM wanaofaa mpaka sasa ni jaji Agustino Ramadhan na Mahiga basi! Lowasa kashindwa kuhamasisha jimboni kwake vijiji karibu vyote hakuna umeme, maji, vyoo hakuna.Nimepita vijiji vya Mswakini, Natolia, Mbuyuni, Mti mmoja, Naiti, hali mbaya watu washirikiana maji na mifugo!,!
 
Mpango mzima kwa wezi na wategemezi Wa nafasi za ukuu Wa wilaya na viti maalum,sisi tuna maisha yetu kama kawaida

Polepole mkuu usije ukakufa bure kwa presha ikifika october mako edo ndo rais ajaye!
 
Hao wote wanapiga kelele tu hakuna wa kuzuia nguvu ya Lowassa kwa sasa
 
Kwa CCM wanaofaa mpaka sasa ni jaji Agustino Ramadhan na Mahiga basi! Lowasa kashindwa kuhamasisha jimboni kwake vijiji karibu vyote hakuna umeme, maji, vyoo hakuna.Nimepita vijiji vya Mswakini, Natolia, Mbuyuni, Mti mmoja, Naiti, hali mbaya watu washirikiana maji na mifugo!,!

Rafikii hiyo ni tamaduni yetuu ukikunywa mazii na mufugo ndo naonyexha upendoo hapana kunyaapaa.. Na ukikunyaa kwa choo napoteza mboleaa afu kutumbukia ni aibu kwa morani....
 
show me your friend I'll tell you what kind of a person you are ,tunawajua marafiki wa Lowassa Chenge,Rostam,Karamagi,Bibie wa sh 10m hela ya mboga,mbakaji Kapuya(wenzake akina babu Seya wako jela yeye yuko kwenye team fisadi,double standard),kwa wangu hawa hujamjua yeye ni MTU wa aina gani?

kwani ni lazima awe raisi? pesa anazopewa na marafiki zake kama anavyosema zitarudije?

kwa nini anajipa sifa za uongo? kujenga shule za kata na UDOM haikuwa sera za chama na serikali yake? ina maana mambo yote yaliyofanywa na serikali ya awamu ya NNE sofa ajipe Sumaye? Huyu mpenda sifa ama ZZK hatufai.

angekuwa muadilifu hadi Leo angekuwa ameishasema wahusika halisi wa RICHMOND kama si yeye,hajasema kwa hiyo amehusika au kaficha ufisadi kwa sababu yeye mwenyewe fisadi,unamnukia vizuri. Hatufai akatibiwe atulie acheze na wajukuu zake akila alivyotufisidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom