Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Kila siku naimba humu MMU kwamba majumbani mwetu jamani tunadundwa na wake/mahawara/vimada wetu.Kinamama wengi humu wamekuwa wakibisha.Kwa wanaoangalia big brother jana si mmeshuhudia mdada Lotus (mtanzania) alivyomtandika makofi mkaka Luclay (south africa)? angalau tokana na tukio hili tumeweza kuandikia wino badala ya mate!