chonde chonde kinamama mtatung'oa meno!

Bishanga

JF-Expert Member
Jun 29, 2008
15,323
10,050
Kila siku naimba humu MMU kwamba majumbani mwetu jamani tunadundwa na wake/mahawara/vimada wetu.Kinamama wengi humu wamekuwa wakibisha.Kwa wanaoangalia big brother jana si mmeshuhudia mdada Lotus (mtanzania) alivyomtandika makofi mkaka Luclay (south africa)? angalau tokana na tukio hili tumeweza kuandikia wino badala ya mate!
 
bishanga,physical abuse is unacceptable whether the abuser is a man or a woman and for whatever reason.tell u what,a physical abuser will never quit unless anataka kubadilika na atafany hivyo thru spiritual or proffessional help. na inasemekana akupigaye mara moja atakupiga mara ya pili.so once is too many times,to say the list! to be a victim is a choice.pole,nakutakia kila la kheri kwa maamuzi magumu yaliyoko mbele yako.
 
Kila siku naimba humu MMU kwamba majumbani mwetu jamani tunadundwa na wake/mahawara/vimada wetu.Kinamama wengi humu wamekuwa wakibisha.Kwa wanaoangalia big brother jana si mmeshuhudia mdada Lotus (mtanzania) alivyomtandika makofi mkaka Luclay (south africa)? angalau tokana na tukio hili tumeweza kuandikia wino badala ya mate!

kwel kabisa, hii sasa ni balaa. Hivi ratb ya big brother ikoje, samahi inakuwa lini saa ngapi na chanel gani.
 
Jamani, in reality, kama kimada/hawara anakupiga makofi, akiwa mkeo si ndio umekwisha kabisa? be careful, nadhani hizo ni red lights
 
Kila siku naimba humu MMU kwamba majumbani mwetu jamani tunadundwa na wake/mahawara/vimada wetu.Kinamama wengi humu wamekuwa wakibisha.Kwa wanaoangalia big brother jana si mmeshuhudia mdada Lotus (mtanzania) alivyomtandika makofi mkaka Luclay (south africa)? angalau tokana na tukio hili tumeweza kuandikia wino badala ya mate!



Kama hapa sijui unachangia nini... ngoja nifikirie...
 
Back
Top Bottom