Mtanganyika1
Member
- Sep 13, 2011
- 56
- 5
:sad: Habari zenu wana JF,
Nimatumaini yangu, siku ya leo imeenda vyema , basi poleni kwa kazi za ujenzi wa taifa.
Leo katika mizunguko yangu nikakutana na Rafiki yangu ambaye wakati wakujuliana hali akaniambia shemeji yako bwana amelazwa naamefanyiwa oppression amekuwa akisumbuliwa na maumivu makali sehemu za nyonga na chini ya nyonga kwa muda mrefu kidogo iliyo mpelekea kwenda kupata vipimo vya x-ray ambavyo vilionyesha uvimbe mkubwa sana kwenye upaja ambao umepelekea kufanyiwa oppression, sababu za uvimbe huo kwa mujibu wa daktari ni kutumia hayo madawa kwa hiyo, ni moja ya madhara ambayo mtumiaji anaweza kuyapata.Jamani tujihadhari sana na huo usasa sikila umbiwacho ukubari vingine ni hatari kwa maisha yako hata kama kimetoka ulaya
Nimatumaini yangu, siku ya leo imeenda vyema , basi poleni kwa kazi za ujenzi wa taifa.
Leo katika mizunguko yangu nikakutana na Rafiki yangu ambaye wakati wakujuliana hali akaniambia shemeji yako bwana amelazwa naamefanyiwa oppression amekuwa akisumbuliwa na maumivu makali sehemu za nyonga na chini ya nyonga kwa muda mrefu kidogo iliyo mpelekea kwenda kupata vipimo vya x-ray ambavyo vilionyesha uvimbe mkubwa sana kwenye upaja ambao umepelekea kufanyiwa oppression, sababu za uvimbe huo kwa mujibu wa daktari ni kutumia hayo madawa kwa hiyo, ni moja ya madhara ambayo mtumiaji anaweza kuyapata.Jamani tujihadhari sana na huo usasa sikila umbiwacho ukubari vingine ni hatari kwa maisha yako hata kama kimetoka ulaya