Chonde chonde BAKWATA, Msiige mkumbo Maaskofu wa KKKT, Jengo lenu halitaisha

Siku zote kauli za waislam zina mashiko. Kauli ya sheikh mmoja tu inatosha kuitikisa nchi nzima. waislam wapo kivitendo. Nyaraka na miongozo ni kazi yenu.
 

Mkuu Gamba la Nyoka bila kuharibu maudhui mazuri ya hiyo post yako, Je kimewashinda nini Bakwata kumobilize waisilamu miaka yote hiyo mpaka kujengewa na Makonda leo hii?
 
top 10 ya matajir tanzania ni waislam imani haoamini katika ofisi za anasa kama hizo mnazotaka kujenga .mambo ya imani hufanyikia msikitini .hayo majengo yenu wala.mungu hajaagiza
Kuna waislam na kuna bakwata, post imeongelea bakwata sio waislam. Asilimia 90 ya waislam wanaipinga bakwata na ndio maana inashindwa hata kujiendesha kwa sababu inaongoza watu wasio wakubali hivyo bakwata sio kielelezo cha uislam
 
Sasa mbona mada imeongelea bakwata na sio waislam na wewe unaongelea waislam instead. Hakuna maala mtoa mada amesema chonde chonde waislam msitoe waraka bali amewaonya bakwata! Ninafikili uko nje ya content
 
BAKWATA Hawana tatizo na serikali ya awamu ya tano, mambo yanakwenda bariidi na salama kama uji laini na tende kutoka maskat Oman.
Ya kaisari muachie Kaisari, wao ya kwao ya ALLAH na Mtume Muhammad(SAW).
 
Kwani radio Iman haipo? Kwanini miaka yote hakuna aliyeenda kulisema hilo neno? Sababu mumeshindwa kusema neno na mumeshindwa kujenga Ofisi, ndio maana mkasaidiwa na Paul.
Acha ujinga ww, kwaiyo miskiti ya nchi nzima hii imejengwa na serikali au uko keroro?? kama ni ofisi ya mufti hatushindwi kujenga wenyewe

Na tunaweza kuiattach katika moja ya miskiti mikubwa hapo dar, we normally dont need complications, rather complications are always brought by you other sides & the government
 
Umedandia treni kwa mbele. Mimi nazungumzia makao makuu ya bakwata. Sio misikiti. Jikite kwenye hoja.
 
Naona kigunzi kimewaingia vizuri sana mwaka huu! Mnatafuta wa kuwasaidia kukichomoa. Sisi hatuna muda huo, tuache tutafute pepo.
 
Bakwata ni kitengo cha serikali. Ukitaka kujua hilo siku bakwata waseme wana neno kwa ajili ya waislam hapo uwanja wa mkapa na PONDA ISSA aseme ana neno na waislam hapo jangwani ndio utajua bakwata ipo kwa ajili ya nani.
 
Tunajua wewe huna dini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…