Hata sijui yanapatikana wapi ukiweka pesa mezani kazi imeisha.Nataka manne mkuu
Yeah. Hayaruhusu joto kuharibu maziwa pia hayana contamination kuhatibu maziwa. Tazama hata mbele mitungi wanayobebea maziwa kutoka sehemu ya kukamulia plus matank ya magari ya maziwa.Kwani hayo yana uspecial gani mpk ziwe official kubebea maziwa?
Asante.. sasa nimeelewaYeah. Hayaruhusu joto kuharibu maziwa pia hayana contamination kuhatibu maziwa. Tazama hata mbele mitungi wanayobebea maziwa kutoka sehemu ya kukamulia plus matank ya magari ya maziwa.
Yote ni aluminum.....
Mku nenda Sido, Tatedo utapata ufumbuzi zaidi au Bodi ya MaziwaHabari za huku, naombeni msaada kwa anaejua haya yanauzwa wapi na bei zake zikoje kwa walioko Dar es Salaam. Yanatumika kwenye kubeba maziwa fresh.View attachment 1727221