CHOMBEZO:NIFANYE NA MIMI KAKA DICK

CHOMBEZO:NIFANYE NA MIMI KAKA DICK

CHOMBEZO:NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-12
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278
Ilipoishia....
Nakumbuka yalikuwa ni majira ya saa tisa kasoro, nilitoka katika chumba changu na sasa ilikuwa ni safari ya kuelekea maeno ya Kinondoni lilipokuwa duka la Evadia msichana ambaye nilipanga kutoka naye kimapenzi. Nilikumbuka kumtumia ujumbe mfupi WhatsApp kumfahamisha kuwa nilikuwa naenda kwenye duka lake.
“Ndiyo nakuja Dada Eva.”
“Sawa haina shida ukifika utaniambia.”
“Haya,” nilimjibu kama mtu fulani ambaye nilikuwa mshamba, nilifahamu kuwa hata Evadia naye alinidharau kwani kila ujumbe ambao nilikuwa nikimtumia alionekana kuudharau na kunijibu kama mtu ambaye alikuwa akilazimishwa kujibu.
SONGA NAYO......
Kutoka Tandale mahali nilipokuwa nikiishi mpaka lilipokuwepo duka la Evadia maeneo ya Kinondoni hapakuwa na umbali mkubwa sana, niliweza kufika na kwa wakati huo nilikuwa nje ya duka moja kubwa lililoonekana kuwa na kila aina ya nguo za kisasa. Lilikuwa ni duka la nguo za kiume pamoja na za watoto.
Nilikuwa nikilitazama katika namna ya kutamani kila kitu, sikutaka kuingia ndani kwa wakati ule niliamua kumpigia simu, haikuchukua sekunde nyingi tangu simu yake ilipokuwa inaita kisha alipokea.
“Hallo,”alisema huku akionekana kuwa bize.
“Naam!.”
“Nani?”
“Umenisahau mara hii tena?”
“Ooh! Nani Majaliwa sijui?”
“Ndiyo.”
“Umefika?”
“Ndiyo.”
“Uko wapi?”
“Niko hapa nje.”
“Ingia basi ndani.”
“Hapana njoo tu kwa hapa nje.”
“Ok sawa nakuja basi.”
“Sawa,” nilijibu kisha nikakata simu, nilikuwa nikimsubiria Evadia ambaye aliniambia kuwa muda mfupi alikuwa akinifuata. Nilijitathmini ile suruali ya kadeti iliyokuwa imenikaa vyema huku juu nikiwa nimevalia T-Shert aina ya Manga pamoja na kikoti cha kizushi ambacho niliamua kukivaa kwa lengo la kumechisha na kofia aina ya pama niliyokuwa nimeivaa, ilikuwa na rangi ya kijivu. Nilionekana kuwa wa kisasa zaidi hasa ukizingatia mahali nilipokuwepo palikuwa ni pa kijanja pia, kila kona nilikuwa nimezungukwa na maduka ya nguo.
Wakati nilipokuwa nikiendelea kujitathmini mara simu yangu ikawa inaita, nilipoangalia nililiona jina la Eva likisomeka. Haraka niliyatupa macho yangu kwenye langu kuu la duka lake ili niweze kumuangalia. Nilimuona akiwa katika wakati wa kuweweseka hakujua ni wapi mtu huyo aliyekuwa akimpigia simu alipo. Nililifahamu hilo na hivyo sikutaka kuipokea, niliamua kuikata kwa makusudi kitendo ambacho kilimuudhu sana, nilimuona akitokwa na mfyonzo kisha akawa kama anayetaka kurudi ndani.
“Eva!” nilimuita lakini kutokana na ile kofia aina ya pama niliyokuwa nimeivaa hakuweza kuiona vizuri sura yangu kwa wakati ule. Alikuwa akinitazama tu bila kusema lolote kwa wakati ule.
“Eva!” nilimuita tena safari hii nilikuwa nikipiga hatua kumfuata pale alipokuwa amesimama, alikuwa amesimama karibia na mlango wa duka lile.
“Unaniita mimi?” aliniuliza huku akijinyooshea kidole.
“Ndiyo.”
“Unasemaje?”
“Umenisahau?”
“Nikukumbuke kwani we…..” kabla hajamaliza kusema sentensi yake niliamua kuitoka ile kofia na sasa aliweza kupata wasaa wa kunitazama kwa uzuri kabisa. Hakutaka kuamini macho yake kwa kile alichokuwa anakishukudia, kuniona kwa wakati tena katika duka lake hakika hakutaka kuamini kabisa.
“Dick ni wewe?” aliniuliza kisha akafyatuka kutoka pale alipokuwa amesimama na kuja kunikumbatia kumbato ambalo kiukweli lilinifanya nihisi kitu cha tofauti mwilini mwangu. Evadia alikuwa na joto la kipekee sana. Harufu yake ya manukato aliyokuwa akinukia yalizidi kunifanya niwaze mambo mengi sana mengine ambayo hata hayajulikani.
“Dick,” aliniita kipindi tulipokuwa tumekumbatiana.
“Niambie,” nilimwambia huku nikimpigapiga kwa utulivu mgongoni.
“Siamini kama nimekuona tena.”
“Amini sasa ndiyo umeshaniona,” nilimwambia kisha akajitoa katika lile kumbato halafu kazi iliyokuwa imebakia ni kuanza kunitazama. Alikuwa akinitazama mpaka kuna kipindi nilianza kuona aibu.
“Mbona unanitazama hivyo.”
“Siamini.”
“Huamininini sasa?”
“Kama ningekuona tena.”
“Hahahaha.”
“Mbona unacheka sasa.”
“Kwani wewe ulikuwa unamfuata nani sasa huku nje?”
“Kuna mjinga mmoja kaniambia nije kumchukua sasa natoka simuoni mpaka ameniudhi yani kama sio huyo mtu nadhani hata nisingekuona.”
“Hahaha! Mshukuru sasa.”
“Nimshukuru nani?”
“Huyo mtu ambaye amekufanya utoke nje.”
“Hahaha na kweli?”
“Dick.”
“Niambie Mrembo.”
“Yani hata sijui nianzie wapi kwanza hii sio sehemu nzuri kwa ajili ya mazungumzo embu kama hutojali twende sehemu hivi tukakae ili tuongee mawili matatu.”
“Na dukani je?”
“Kuna msichana nimemuajiri yeye ndiye anayenisaidia hivyo usijali.”
“Sawa.”
“Nisubiri basi ili nimuage.”
“Usijali,” nilimjibu kisha akaingia ndani na baada ya dakika kadhaa aliweza kutoka. Tuliongozana mpaka sehemu ya maegesho ya magari, aliniambia niingie katika moja ya gari aina ya Harrier kisha na yeye akaingia akawasha gari tukaondoka eneo lile. Safari yetu fupi ilikwenda kuishia katika moja ya Restaurant moja ambayo ilikuwa maeneo Mwananyamala na hapo tulikwenda kwa nia moja tu! ya mazungumzo.
Mpaka kufikia kwa wakati ule sikuwa nimemwambia ukweli kuwa mimi ndiye niliyekuwa nimempigia simu, niliamua kumficha huku nikiwa na maana yangu ya msingi.

Je, nini kitaendelea?
 
NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-13
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278

Tulifika nje ya Restaurant moja iliyokuwa ikijulikana kwa jina la ‘Fast Food Restaurant’ maeneo ya Mwananyamala. Ilikuwa na mazingira mazuri sana, kwa macho ya haraharaka ilikuwa ni Restaurant yenye hadhi fulani, waliyokuwa wanaingia humo kwa ajili ya kupata chakula walikuwa ni watu wenye maisha ya kujiweza.
“Kwahiyo umesema tumekuja kufanyaje huku?” niliamua kumuuliza wakati alipokuwa akiegesha gari katika maegesho ya Restaurant ile.
“Tumekuja kuzungumza tu,” alinijibu huku akionekana kutojali lolote lile.
Nakumbuka mfukoni sikuwa na pesa kubwa zaidi ya nauli yangu ambayo niliamini ingeweza kunirejesha nyumbani salama kabisa bila bugdha yoyote. Kitendo cha kuingia katika Restaurant ile halafu mfukoni nilikuwa sina kitu hakika kiliniweka katika wakati wa mawazo sana, sio mimi tu hata kama ungekuwa ni wewe mpenzi msomaji ungekuwa katika wakati wa mawazo.
Mawazo ya harakaharaka yaliyonijia kwa wakati ule ni kumuona muhudumu akija na kuanza kunidai pesa baada ya kula. Niliuona ugomvi mkubwa pamoja na kudhalilishwa kukinijia mbele yangu.
“Dick!” sauti ya Evadia ndiyo iliyonishtua kunitoa katika dimbwi la mawazo kwa wakati ule.
“Naam,” nilimuitikia huku nikiwa kama niliyekuwa sifahamu lolote lile.
“Mbona umezubaa.”
“Hamna.”
“Ok tushuke basi.”
“Kwani ni lazima tukaongelee humu ndani?”
“Ndiyo hakuna shida pametulia sana.”
“Sawa,” nilijibu kinyonge kisha nikaanza kushuka kwenye gari kisha tukaingia ndani ya Restaurant ile tukakaa katika moja ya meza ambayo aliichagua Evadia na sasa tukawa tunatazamana.
“Unatumia nini?” aliniuliza Evadia, wakati huo mmoja wa wahudumu wa Resteurant ile alikuwa akitusikiliza tumuagize.
“Natumia kivipi?”
“Hahahaha! Umeanza utani wako.”
“Sasa natumia tumiaje?”
“Bhana ujue unamchelewesha Dada wa watu.”
“Dada wa watu kwahiyo mimi sokwe.”
“Hahaha! Embu acha bhana.”
“Ok mimi naomba uniletee maji ya baridi,” nilimuambia yule Dada ambaye alikuwa ni muhudumu.
“Maji?” aliniuliza Evadia huku akionekana kushangazwa sana kitendo cha mimi kuagiza maji.
“Ndiyo.”
“Embu kuwa serious bhana sasa maji utashiba nini?”
“We huoni hili jua na hili joto la Dar.”
“Hata kama lakini agiza kitu cha maana.”
“Huko nitokapo nimekula jamani utanipasua tumbo.”
“Hahaha sawa.”
“Na wewe Madam unaagiza nini?” aliuliza yule muhudumu huku akimuangalia Evadia ambaye swali lilikuwa likimlenga.
“Mimi niletee juice tu.”
“Sawa,” alijibu yule muhudumu kisha akaondoka kufuata vinywaji ambavyo tulikuwa tumemuagiza.
Nilikuwa nikimtazama muda wote, alionekana kuwa msichana mrembo sana, kila sehemu ya mwili wake ilikuwa imejaaliwa.
Labda nikukumbushe sifa alizokuwa nazo, Alikuwa ni msichana mrembo sana, kuanzia sura yake ya kuvutia, macho ya kungu ambayo muda wote yalikuwa yakirembua tu, umbo la namba nane, chuchu saa sita yani alikuwa ni mrembo kwelikweli.
“Niambie mrembo,” nilimwambia mara baada ya kuletewa vinywaji na sasa ulikuwa ni muda muafaka kwa ajili ya mazungumzo yetu.
“Safi tu.”
“Halafu hujaniambia unaishi wapi?”
“Mimi naishi Tabata.”
“Tabata.”
“Ndiyo.”
“Tabataaaa,” nilirudia kutamka huku nikijifanya kuitafuta ilikuwa ni Tabata ipi.
“Hahaha! Tabata Bima,” alinijibu.
“Oooh! Umepanga au?”
“Hapana naishi na wazazi wangu.”
“Kumbe bado hujakuwa.”
“Kwanini?”
“Mpaka umri huo bado unaishi tu kwa wazazi.”
“Wananipenda sana ujue hata lile duka baba ndiyo kanifungulia.”
“Kumbe kwenu maisha safi.”
“Hahaha! Kawaida mbona.”
“Sio kwa kawaida hiyo.”
“Ok na wewe unaishi wapi?”
“Mimi nipo Tanzania mkoa wa Daresalaam,” nilimjibu jibu lililomfanya atokwe na kicheko. Alijikuta anacheka bila kutegemea.
“Sasa mbona unacheka.”
“Ndiyo najua upo Tanzania tena Dar, nataka kujua sehemu unapoishi.”
“Tandale.”
“Tandale!”
“Ndiyo kwani vipi?”
“Tandale kule uswahilini?”
“Ndiyo ndanindani kabisa.”
“Unaishi na wazazi?”
“Hapana naishi peke yangu, niliamua kukimbia kwa wazazi mapema kuhofia usumbufu wa kutumwa vibandani na utuuzima huu.”
“Hahahaha! Haya bhana.”
“Sasa mbona unacheka?” nilimuuliza.
“Sicheki tena,” alinijibu kisha akawa anakunywa juice yake katika utaratibu, alikuwa akinywa kwa mapozi yasiyomithilika. Kichwani mwangu nilijaribu kumkumbuka msichana ambaye niliwahi kumuona akinywa kwa mapozi yale, kwa kweli kumbukumbu hiyo ilikataa kunijia kabisa ila nilichokumbuka kuwa mara yangu mwisho niliandika Chombezo kisha nikawa namuandika msichana mrembo ambaye alikuwa akila chakula katika mapozi ya hali ya juu.
“Nikwambie kitu,” nilimwambia huku macho yangu yakiendelea kumtazama katika namna ya ‘Nikubalie nikakupe leoleo.”
“Niambie,” aliniambia huku akijaribu kuzilamba lips zake ambazo zilimwagikiwa na juice.
“Kuna msichana unafanana naye sana yani kila kitu,” nilimwambia kisha nikawa kama namaanisha kile ambacho nilikuwa nakizungumza.
“Msichana yupi huyo?” aliniuliza, wakati huo nilikuwa nikipiga fundo la maji yaliyokuwa katika glass.
“Sijui hata nimuelezee vipi,” nilimwambia huku nikijifanya kuchanganyikiwa kutokana na kile nilichokuwa nataka kumwambia kwa wakati ule.
“Wewe niambie tu! nitakuelewa,” aliniambia huku akionekana kuwa makini kutaka kumsikia huyo msichana ambaye nilimwambia kuwa alifanana naye sana kwa kila kitu.
“Unataka kumfahamu huyo msichana?”
“Ndiyo niambie.”
“Ok msichana mwenyewe ni mhusika wa chombezo langu, yani amefana na wewe kila kitu,” nilimwambia maneno ambayo yalimchekesha sana, hakutaka kuamini kama ule muda wote niliyokuwa namzungusha juu ya msichana ambaye alikuwa amefanana naye kuwa ningeweza kumwambia vile.
Maneno yangu yalizidi kumfurahisha sana Evadia kuna kipindi nilipokuwa nikizungumza naye alikuwa ananiambia kuwa alikuwa akijivunia kunifahamu katika maisha yake kwani nilikuwa nikimfanya kuwa na furaha kila wakati.
Nakumbuka nilizungumza naye mambo mengi sana kuhusu maisha, kazi na marafiki lakini sikutaka kumgusia kabisa suala la mapenzi. Niliamua kufanya hivyo kwa sababu Evadia alitokea kunichukulia kuwa kama rafiki yake au ule ukaribu aliyokuwa nao kaka na dada. Kwa kweli nilijikuta nashindwa nianzie wapi ili niweze kumteka kimapenzi, kila mtego niliyokuwa nikiutumia alikuwa akiutegua na ni hapa ambapo sikutaka kabisa kumueleza tukio nililokuwa nimelifanya la kumdanganya jina katika simu mpaka pale alipotoka nje na kukutana na mimi. Niliamua kuendelea kumficha huku katika kichwa changu nikijaribu kupanga mashambulizi mengine ambayo ningeweza kuyatumia katika kumpata Evadia msichana mrembo ambaye alikuwa akitokea katika familia ya kitajiri sana.

Je, nini kitaendelea?
 
NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-14
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278

Age:18

Nilizidi kuwa katika wakati wa mawazo sana, muda wote nilikuwa nikimfikiria Evadia msichana mrembo ambaye alitokea kuuteka moyo wangu, nilichokuwa nakitamani kwake ni kuona siku moja anakuwa wangu kisha naufahamu na utamu wake.
Niliporudi nyumbani kwangu, usiku wa siku hiyo hakukuwa na kazi nyingine zaidi ya kumfikiria Evadia tu, nilizidi kujilaumu sana kwa kushindwa kumpata katika Maisha yangu.
“Haiwezekani,” nilijisemea kisha nikapiga ngumi kwenye godoro kwa ghadhabu.
Niliamua kuichukua simu yangu na kisha nikaingia kwenye kitabu cha kuhifadhi majina, nilikuwa nikijaribu kupitia jina moja baada ya lingine huku nikiyafuta yale majina ambayo nilikuwa siwasiliani nayo kabisa. Ni katika zoezi hili fupi ambapo niliweza kukutana na jina la Mick. Mick alikuwa ni rafiki yangu mkubwa sana, alikuwa ni mtu ambaye niliweza kusaidiana naye mambo mengi sana, ulipokuwa unauzungumzia urafiki wa kweli wa kufa na kuzikana basi usingeacha kuuzungumzia urafiki wangu na Mick. Tulifanana mambo mengi sana ila tofauti yetu ilikuwa ni moja tu. Mimi nilikuwa ni mwandishi wa Machombezo lakini yeye hakuwa mwandishi wa kitu chochote. Nakumbuka nilikuwa nikimsaidia mambo mengi sana, hasa lilipokuwa linakuja suala la wanawake waliokuwa wakimtesa niliweza kulichukua tatizo lake na kumsaidia. Nilipoliona jina lake kwa wakati ule nilishtuka sana kwani zilikuwa zimepita siku nyingi bila kuzungumza naye lolote. Sikutaka kupoteza muda, niliamua kumpigia simu kwa wakati ule, simu yake ilikuwa ikiita tu bila kupokelewa. Safari hii nikaamua kumtumia ujumbe mfupi lakini haikuchukua dakika aliweza kunijibu.
“Mambo vipi?”
“Poa mshikaji wangu niambie.”
“Aisee mbona umekausha hivyo?”
“Mambo mengi ndugu yangu.”
“Nakupigia simu hupokei au uko na shemeji nini?”
“Hahahaha nilijua tu utasema hivyo.”
“Ulijua nini?”
“Niko peke yangu bhana.”
“Ok uko wapi sasa hivi?”
“Nyumbani.”
“Wapi?”
“Kwani wewe unajua nakaa wapi?”
“Tegeta.”
“Ndiyo.”
“Hivi wewe utakuwa lini?”
“Hahaha! Kwanini?”
“Yani umri huo uliyokuwa nao bado tu unaendelea kula ugali wa baba yako.”
“Hahaha nini wewe maisha kujipanga.”
“Ohoo shauri yako.”
“Niambie.”
“Dah! Ndugu yangu kuna mtoto ananichanganya sana akili yangu.”
“Yupi tena huyo maana wewe kila siku huishiwi na vioja.”
“Hahahaha! Mtoto mmoja wa kishua yani anapenda kusoma chombezo zangu lakini kila nikitupia ndoano anachomoa.”
“Hahaha! Sasa utafanyaje?”
“Lakini lazima nimpate tu!.”
“Sawa nakuaminia.”
“Poa.”
Nilichokuwa nimepanga kumfanyia Evadia kwa wakati ule ni kuhack akaunti yake ya WhatsApp pamoja na Facebook. Niliamua kumfanyia mchezo huo kwa makusudi kabisa kwani niliamini udhaifu wake ulikuwa katika mitandao. Alikuwa akipenda sana kuchat, kusoma hadithi pamoja na kuperuzi mambo mbalimbali katika mitandao hii.
Sikuacha kuchat naye kupitia ile namba yangu ambayo alikuwa akinifahamu kwa jina la Majaliwa Majuni, niliendelea kumtumia ujumbe mfupi wa kumchombeza huku kila siku akionekana kunipuuzia. Kuna muda alikuwa akinitukana na kuniambia kuwa alikuwa haitaji usumbufu kabisa. Hilo halikunifanya niache kumsumbua, nilizidi kumtumia ujumbe mfupi mpaka pale siku nilipoamua kuzihack akaunti zake na kila kitu alichokuwa anakifanya nilikuwa nikikiona, kuna kipindi nilikuwa nikibadilisha ‘Profile’ yake WhatsApp na kuweka picha ya bibi kizee bila ya yeye kufahamu lolote.
“Mambo mrembo?” nilimtumia ujumbe mfupi siku moja majira ya asubuhi kwa namba yangu ambayo alikuwa akiifahamu, hapa ilikuwa ni baada ya kuzihack akaunti zake.
“Poa Dick niambie.”
“Niko poa sema umenichunia sana.”
“Hamna bhana ubize tu ndugu yangu.”
“Sawa ila vipi lakini uko fresh?”
“Niko poa ila sio sana.”
“Vipi unaumwa?”
“Hapana?”
“Nini tatizo.”
“Kuna mtu amezihack akaunti zangu yani ananifanya mpaka nakosa furaha kabisa.”
“Sasa hilo ndilo linalokuumiza.”
“Ndiyo.”
“Mbona ni tatizo dogo sana.”
“Unaweza kulitatua?”
“Ndiyo kwani wewe uko wapi?”
“Niko hapa dukani.”
“Njoo basi nyumbani kama utaweza maana hapa kuna kazi nazifanya.”
“Hivi ulisema ni wapi tena?”
“Tandale kwa Tumbo.”
“Mmh! Kwahiyo nije?”
“Ndiyo mbona unaguna sasa.”
“Hamna! Kwahiyo nikifika hapo Tandale kwa Tumbo nikwambie.”
“Ndiyo ukifika niambie nitakufuata.”
“Sawa nakuja,”alinijibu kisha nikaanza kuandaa mazingira ya chumba changu vyema kwa ajili ya mapambano, sikutaka siku ile ipite hivihivi bila kuufahamu utamu wake.

Je, nini kitaendelea?
 
NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-15
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278
Age:18
Nilichokuwa nakifikiria katika akili yangu kwa wakati huo nimapenzi tu, nilikuwa nikitamani dakika zijongee haraka ili niweze kukutana na Evadia ambaye tayari alikuwa ameshaingia katika mtego wangu. Kitendo cha kukubali kuja katika chumba changu hakika nilikifananisha na kitendo cha swala kuingia katika njia anayopita simba kwani isingekuwa rahisi kuachwa salama. Nilimaliza kukiandaa chumba changu na sasa nilichokuwa nasubiri ni ujuio wa Evadia.
Nilijihisi damu yangu ikinichemka kwa kulitamani penzi la Evadia, wakati wote askari wangu alikuwa amesimama.
“Mbona hafiki sasa?” nilijiuliza kisha nikacheka, nilikuwa nina haraka kwelikweli. Nilipoitazama saa yangu ya mkononi ilikuwa ikisoma saa tano za asubuhi.
Wakati nikiendelea kujiuliza maswali yangu yasiyokuwa na kichwa wala miguu huku nikiitazama saa kila mara ghafla! ukaingia ujumbe mfupi katika simu yangu. Ulikuwa ni ujumbe wa Evadia, haraka nilimjibu.
“Dick.”
“Niambie Mrembo.”
“Nimeshafika hapa kwa Tumbo.”
“Umefika?”
“Ndiyo nipo hapa kituoni.”
“Umekuja na gari?”
“Ndiyo.”
“Sawa ngoja nikufuate.”
“Sawa.”
Nilichoamua kukifanya kwa wakati ule ni kutoka na kumfuata kituoni, hakukuwa na umbali mrefu sana kutoka chumba nilichokuwa naishi mpaka kituoni. Nilipofika nilimkuta Evadia akiwa ameliegesha gari lake aina ya Harier pembezoni mwa barabara, wakati huo alikuwa ndani ya gari, alikuwa ameshusha vioo. Nilitabasamu baada ya kumuona akinipungia mkono, hapa ni baada ya kuniona.
Nilipofika niliingia ndani ya gari kisha nikamuonyesha sehemu sahihi ya kuliegesha gari lake na kitu kilichofuata ni kuanza kwenda katika chumba changu. Tulitumia dakika chache hatimaye tukaweza kufika. Evadia alionekana kushangaa kila kitu. Si kwa aina ya watu aliyokuwa akipishana nao, mitaa pamoja na nyumba zilivyokuwa zimesongamana katika mpangilio mbovu. Harufu mbaya aliyokuwa akikumbana nayo ilimfanya mpaka azizibe pua zake kwa kutumia viganja vyake. Nilifahamu yale hayakuwa maisha yake kwani hakuwa amewahi kuyaona au kuishi hivyo kila kitu alichokuwa akikishuhudia kilikuwa ni kigeni kwake.
“Mbona ulikuwa unashangaa sana?” nilimuuliza, wakati huo tulikuwa tumeshafika katika chumba changu.
“Mazingira ya huku ni machafu jamani,” alisema huku akiwa ameziba pua.
“Hahaha! karibu hii ndiyo Tandale yetu,” nilimwambia huku nikiufungua mlango wa chumba changu.
“Asante ila huku sirudi tena yani kulivyo kuchafu hivi.”
“Hahahaha.”
“We cheka tu.”
“Usiogope na huku siku moja kutakuwa kama ulaya.”
“Nani kasema.”
“Mimi ndiyo nakwambia.”
“Mh! Labda mwisho wa dunia.”
“Hahahaha.”
“Karibu sana hapa ndipo ninapoishi,” nilimkaribisha huku nikijichekesha kicheko kilichokuwa kinamaanisha umeingia mtegoni lazima unase.
“Asante sana,” alijibu huku macho yake yakiangaza sehemu mbalimbali ya chumba changu, nilifahamu alikuwa akikithaminisha kutokana na samani zilizokuwemo mule ndani.
“Karibu uketi hapo,” nilimwambia kwa kumuelekeza akae kwenye kochi.
“Asante Dick,” alisema kisha akakaa.
Alionekana kuwa na wasiwasi, hakuwa akijiamini hata kidogo kila muda alikuwa akijihisihi kutokuwa sawa. Sikutaka kuendelea kumtazama tu! kama sanamu niliamua kumuuliza.
“Mbona una wasiwasi sana?” nilimuuliza.
“Hapana sina wasiwasi.”
“Unauhakika?”
“Ndiyo.”
“Ok unatumia kinywaji gani?”
“Chochote tu!”
“Mbona hakuna kinywaji hicho.”
“Hahahaha! Bhana umeshaanza vituko vyako we niletee chochote mi natumia isipokuwa chenye kilevi situmii.”
“Sawa,” nilimjibu kisha nikalielekea jokofu dogo na kulifungua, niliitoa juice halafu nikachukua glass mbili nikamimina tayari kwa kunywewa.
“Karibu,” nilimwambia huku nikimkabidhi ile glass ya juice kwa wakati huo.
“Asante,” alijibu huku akiwa ameyalegeza macho yake madogo.
“Usijali,” nilimjibu kisha nikaichukua ile glass yangu na kwenda kukaa katika kitanda kwa wakati ule. Nilikuwa nikimtazama Evadia msichana ambaye alikuwa ameumbwa ameumbika, nilipokuwa nikimtazama nilijikuta kimoyomoyo nikijiambia kuwa duniani kuna watoto wazuri jamani.
Alikuwa amevalia suruali nyeusi iliyokuwa imembana sana, ilikuwa imemchora kila kitu katika mwili wake na kwa juu alikuwa amevaa T-shirt ambayo sikutaka kujali kuifahamu ilikuwa ni aina gani bali nilichokuwa nakitazama kwa wakati huo ni kifua kichobarikiwa maziwa yaliyojaa na kuzidi kukifanya kipendeze.
Macho yangu hayakuacha kutalii sehemu mbalimbali za mwili wake. Kuna muda nilikuwa nikizitazama zile nywele zake alizokuwa amezibana kwa nyuma, mara nikawa namtazama sura yake, rangi yake nyeupe iliyozidi kuniteka vilivyo.
“Mbona kimya?” aliniuliza huku akiendelea kunywa ile juice katika utaratibu niliyokuwa nikiupenda sana. Alikuwa akinywa kwa mapozi kama mtu ambaye alikuwa hataki kumbe alikuwa anataka tena kwa haraka iwezekanavyo.
“Nasubiria umalize kabisa,” nilimwambia huku nikimtazama.
“Nimalize nini?”
“Kunywa.”
“Mmh! We tuongee bhana siunajua nimeacha kazi kule halafu yule msichana hawezi kufanya kila kitu kuna baadhi ya vitu natakiwa nikamsaidie.”
“Haina tatizo.”
“Haina tatizo?”
“Ndiyo yani usijali.”
“Hahaha! Haya bhana.”
“Hivi ulisema kuna mtu amezihack akaunti zako?”
“Ndiyo.”
“Sasa mbona tatizo ni dogo sana.”
“Mimi sijui sasa.”
“Hujui nini?”
“Kama ni dogo au kubwa ndiyo maana nikakufata.”
“Sawa usijali kila kitu kitakuwa sawa.”
“Sawa,” alijibu kisha nikaendelea na mchezo wangu wa kumtazama mpaka pale alipoanza kunionea aibu.
“Bhanaa usinitazame hivyo mi naona aibuu,” aliniambia kwa kuigiza sauti ya kitoto huku akijiziba uso wake kwa kutumia viganja vyake nilivyoviona kuwa laini sana.
“Basi sikutazami tena,” nilimwambia kisha nikamalizia kunywa ile juice wakati huo yeye ndiyo kwanza alikuwa nusu glass.
“Unakunywa kwa mapozi,” nilimwambia kwa kumchombeza.
“Ndiyo sasa unataka ninywe kama ninakimbizwa?” aliniuliza kisha akacheka kicheko kilichoniambia nipunguze ukali wa maneno, nilielewa na haraka niliendelea kumchombeza katika mtindo wa maneno ambayo ilikuwa ni ngumu sana kuweza kuelewa nilikuwa nikimaanisha nini.
“Sasa si unakunywa hata kwa haraka jamani je, kama unaachwa na gari?”
“Umeshasema gari.”
“Kwahiyo huwezi kunywa harakaharaka.”
“Siwezi kabisa.”
“Kweli wahenga hawakukosea kusema.”
“Kusema nini?”
“Maneno yao.”
“Maneno gani?”
“Vitu vizuri kuliwa havitaki haraka sana sharti ule taratibu ili ufaidi kila kitu.”
“Hahahaha.”
“Unacheka tena.”
“Sasa kwani nimekatazwa kucheka?”
“Hahahaha.”
“Unapenda kula vitu vitamu?”
“Sana tu!”
“Wewe ni mzoefu na kula vitu vitamu?”
“Ndiyo.”
“Nitajie vitu vitamu ambavyo umewahi kula.”
“Vipo vingi mbona.”
“Kama…”
“Vingi sana.”
“Nitajie sasa.”
“Hee! kwani mpaka uvijue?”
“Ndiyo kwani kuna ubaya?”
“Hapana.”
“Hapana nini?”
“Hamna!”
“Umewahi kula asali?”
“Mara nyingi tu!”
“Umeionaje?”
“Tamu.”
“Utamu wake unakujaje?”
“Sijakuelewa.”
“Kila mtu ana aina yake ya ulaji wa asali. Mwingine akichanganya na chai ndiyo anahisi utamu, mwingine akipaka kwenye mkate ndiyo anahisi utamu, mwingine akiilamba yenyewe ndiyo anahisi utamu sasa wewe upo kundi lipi hapo?”
“Mimi nikiilamba yenyewe weee nahisi utamu wa ajabu.”
“Wewe ni hodari wa kulamba asali.”
“Ndiyo.”
“Mh! We muongo.”
“Uongo wangu ni upi tena.”
“Unailambaje?”
“Kwa ulimi.”
“Mbona nikikutazama haufananii kabisa.”
“Kivipi.”
“Wewe utakuwa umezoea kuchanganya na kitu.”
“Hahaha! Ah! Wapi leta asali nikuonyeshe.”
“Utaweza?”
“Nitaweza nini?”
“Kucheza mchezo wa kulamba asali?”
“Ndiyo naweza,” alinijibu huku akiendelea kunywa juice yake ambayo alianza kuibakisha kidogo.
Nilichoamua kukifanya kwa wakati huo ni kuinuka na kumsogelea pale alipokuwa amekaa, alikuwa akinitazama kwa macho legevu ambayo yalizidi kuniita katika kucheza mchezo ule wa kulamba asali ambapo kwa akili ya haraka nilifahamu alikuwa bado hajui nilikuwa namaanisha nini. Kile nilichokuwa nimedhamiria kukifanya kwa wakati ule kilikwenda kumfungua akili yake na macho yake, hakutaka kuamini hata kidogo kama alikuwa ameingia katika mtego wangu, alihisi wenda alikuwa katika jumba la maigizo.
Je, nini kitaendelea?
Usikose sehemu ijayo......
 
NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-16
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278
Age:18
Nilifika kisha nikakaa kwenye mkono wa kochi halafu sikutaka kupoteza muda nikaanza kuutumia mkono wangu kumpapasa mgongoni huku nikimtazama usoni, alikuwa akinitazama bila kunimaliza.
“Dick unataka kufanya nini?” aliniuliza swali ambalo nililiona kama la kunikejeli yani kwa kitendo nilichokuwa nakifanya hata kifofu angeweza kuhisi ni nini nilichokuwa nataka kukifanya.
Sikuacha kumpapasa mgongoni, niliendelea katika namna ya utaratibu na sasa nilikuwa kama naipandisha kwa juu ile T-Shirt yake kisha nikawa naupenyeza mkono wangu kwa ndani. Alikuwa na ngozi laini sana iliyonifanya nizidi kumtamani zaidi.
“Dick unataka kufanya nini?” aliniuliza tena kisha akawa anautoa ule mkono wangu. Yalikuwa ni maneno yaliyoambatana na vitendo, alipoutoa mkono wangu akaendelea kusema,
“Nimekuja hapa si kwa ajili ya kushikwashikwa kama umeshndwa kunitatulia tatizo langu ni bora niondoke zangu,” aliniambia kwa sauti ya ukali, sauti ambayo ilidhihirisha kuwa hakuwa amekipenda kitendo kile nilichokuwa nimekifanya. Aliiweka vyema T-shirt yake ambayo tayari nilikuwa nimeanza kuipandisha.
“Mbona umebadilika ghafla?” nilimuuliza huku nikimtazama kwa macho ya matamanio.
“Sijapenda ulichokifanya Dick yani umenikosea sana,” alinijibu huku akinitupia lawama kwa kile nilichokuwa nimekifanya.
“Nikisema unisamehe utaweza kunielewa?”
“Siwezi.”
“Kwanini Eva.”
“Nimekuja hapa kwa ajili ya kushikwashikwa?”
“Ndiyo maana nikasema nisamehe.”
“Sijapenda kabisa ulichokifanya,” aliniambia huku akionekana kukasirishwa na kitendo kile.
Moyoni nilianza kujutia kwa kile nilichokuwa nimekifanya, hakika nilikurupuka bila kufikiria mara mbilimbili. Hisia ziliniongoza vibaya mno mpaka nikashindwa kuwa mpole katika jambo kama lile.
Katika hali ya kushangaza Evadia aliinuka na kuanza kupiga hatua kuuelekea mlango, niliwahi kumshika mkono.
“Unaenda wapi?” nilimuuliza wakati huo nilikuwa nimemshika mkono, alikuwa akijaribu kupambana kuutoa mkono wake lakini alishindwa mwisho ilibidi anijibu.
“Naomba uniache niondoke zangu,” aliniambia huku sura yake ikibadilika, alikuwa amekasirika kiasi kwamba hata mfumo wa sauti aliyokuwa akiutumia ulikuwa ni wa kufoka.
Nilifahamu nilikuwa nimekosea lakini sikutaka kuwa mpole kiasi hicho, nilichokuwa nakifikiria kichwani mwangu kwa wakati ule ni kutumia njia gani ya ziada ya kuweza kumuingia Evadia mpaka anielewe.
“Mbona unakuwa hivyo?” nilimuuliza.
“Nimekuwaje?”
“Nisamehe ni kweli nimekosea lakini hupaswi kuwa hivyo?”
“Naomba uniache niondoke zangu Dick.”
“Sikuachi.”
“Naomba uniache.”
“Sikuachi.”
“Dick! Dick!.”
“Naam.”
“Hivi unanijua au unanisikia,” aliniambia kwa ghadhabu kisha akanigeukia kwa lengo la kunipiga kibao, niliwahi kuushika mkono wake halafu nikamvuta tukawa tumekaribiana usawa wa uso kwa uso. Lilikuwa ni tukio ambalo niliwahi kulifananisha na filamu moja ya Kihindi aliyowahi kuigiza Shahrukh Khan.
Tulipokuwa tumesogeleana niliwahi kuikutanisha midomo yetu pamoja, aliukwepesha mdomo wake kisha akaeguka kwa lengo la kutaka kuondoka, niliwahi kumvuta kisha nikamrudisha usawa ule ule na kilichoendelea hapo ni kuikutanisha midomo yetu na kuanza kupata juice ya mlenda, nilimnyonya kwa pupa huku nikiamini muda wowote ule angeweza kubadili mawazo yake na kuamua kusitisha suala lile lakini katika hali ya kushangaza Evadia akaanza kunikumbatia kwa nguvu huku akizidi kupata juice ya mlenda. Sikubaki nyuma katika kumshika, mikono yangu niliipeleka katika kiuno chake kilichokuwa kimeingia ndani mithili ya mdudu nyigu.
Wakati tukiendelea na zoezi lile la kunywa juice ya mlenda kazi yangu nyingine ilikuwa ni kukitomasa kiuno chake kilichokuwa laini. Alikuwa akirukaruka pale nilipokuwa namtomasa katika namna ya kumminya sehemu ya kiuno chake. Alikuwa amenishikilia vilivyo na ni hapa ambapo nilikuwa tayari nimeshampandisha kwenye gari lililokuwa linaelekea mji wa utamu, tulidhamiria kusafiri pamoja. Baada ya kupata juice ya mlenda Evadia alinisukuma kisha nikaenda kuliangukia kochi kwa kulala chali.
Alikuja kisha akanipandia kwa juu wakati huo alikuwa akiitoa ile t-shirt yake na kubaki na sidiria, nilikuwa nikipambana kuifungua ile suruali aliyokuwa ameivaa na baada ya kuona nahangaika kuifungua bila mafanikio yoyote aliamua kusimama na kuichojoa pamoja na ile sidiria yake wakati huo nilikuwa namalizia kuzitoa nguo zangu ambazo niliziona kama zinazidi kunipa uzito katika safari ile.
Nilimshika kisha nikamlaza kwa chali kwenye kochi.
“Dick,” aliniita lakini sikutaka kumuitikia, nilichoamua kukifanya kwa wakati huo ni kuanza kutalii sehemu mbalimbali za mwili wake kwa kutumia ulimi wangu, wakati huo alikuwa akinipapasa mgongoni mwangu kwa kutumia viganja vyake laini.
Nilianzia upande wa shingoni kisha nikawa kama naing’ata katika namna ya utani iliyomfanya aanze kutoa miguno ya ajabuajabu.
“Mmmmh! Mmmmmh! Aaaaaaaaah! Aaaaaaaaah!” alianza kutokwa na miguno huku akiendelea kunipapasa mgononi mwangu. Niliendelea na zoezi lile fupi na sasa niliamua kuupeleka na kuuzamisha ulimi wangu kwenye sikio lake la upande wa kushoto kisha nikawa nalisafisha huku nikiling’atang’ata.
“Ooooooh! Aaaaiiiiiishhhh Dickkkkkkk aaaaaaaaaaah,” alizidi kutokwa na miguno huku akining’ang’ania mithili ya ruba.
“Nini?” nilimuuliza wakati huo nilikuwa nimehamia upande wa sikio la pili na kazi yangu ilikuwa ikiendelea.
“Tamuuuuuuuu oooooohhhh! Dickkkkkk jamaaaaaniiii naskiaaaaa rahaaaaa oooooooh! Dickkkkk,” alizidi kutokwa na maneno ambayo yaninifanya mua wangu usimame kwa pupa bila utaratibu fasaha.
Mpaka kufikia wakati ule uvumilivu ulikuwa umemshinda Evadia nilishangaa akianza kunipapasa sehemu za mua wangu ulipo, alipoufikia aliushika, ulikuwa tayari umeshamenywa na kitu alichoamua kukifanya ni kuuzamisha kwenye kisima cha bustani yake ya asali.
“Aaaaaaiiiiishhhhhh oooooooohhhh! Aaaaaaaaaaaah,” alitowa na miguno mingi wakati alipokuwa akijaribu kuuzamisha mua wangu kwenye kisima cha bustani yake. Ulipoingia nilianza kuwa kama nauzamisha na kuutoa kwa nje. Alizidi kutokwa na miguno mingi ya kimapenzi.
Evadia hakutaka kuniacha niendelee kumuonyesha njonjo na ufundi niliyokuwa nao, alichoamua kukifanya ni kunisukuma kunitoa kwenye kisima chake kisha nikaenda kuangukia upande wa kitandani, nilienda kulala chali. Alipokuja alinijia kwa juu kisha akauzamisha mua wangu halafu kilichoendelea hapo ni kuanza kucheza sebene kwa kutumia kiuno chake juu ya mua wangu uliyokuwa ukimpa utamu usio mithilika.
“Jamaaniii tamuuuuu tamuuuuuu Dickkkk,” alizidi kutokwa na miguno ya kimapenzi mpaka pale safari yetu ilipofika tamati, tulikuwa hoi bin taabani kwa safari ndefu tuliyokuwa tumesafiri. Nakumbuka nilikuwa nimemfunga mabao matatu ya nguvu ambayo yote niliyamwagia nje huku yeye akiwa amefunga mabao manne.
“Asante Dick,” aliniambia huku akinitazama kwa macho ya aibu, wakati huo tulikuwa tumekaa wote kitandani huku akiwa amejifunika na shuka.
“Asante ya nini?” nilimuuliza huku nikijifanya sielewi kile alichokuwa akikimaanisha.
Nilipomtazama alikuwa ameyaelekeza macho yake chini, aibu zilikuwa zimemjaa kiasi kwamba akashindwa aanzie wapi kuzungumza.
Je, nini kitaendelea?
 
NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-17
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278

Age:18

“Evadia,” nilimuita huku nikimuinua uso wake taratibu aliyokuwa ameuelekezea chini na sasa tulikuwa tukitazamana uso kwa uso, macho yake ya huba aliyokuwa akinitazama yalinifanya nizidi kuingiwa na jinamizi la mapenzi.
“Abee,” aliitika kwa sauti nyororo ya huba.
“Naomba unisamehe,” nilimwambia kisha nikaishika mikono yake halafu nikawa kama naipapasa, aliwahi kuitoka kisha akavuta pumzi nzito kwa pupa na kuichaia.
“Nikusamehe nini?” aliniuliza.
“Najua nimekosea sana wala hayakuwa matarajio yako mpaka umeamua kufanya mapenzi na mimi, ni shetani tu! alinipitia,” nilimwambia huku nimtazama, alionekana kuwa na mawazo sana, kabla sijamruhusu aseme lolote kwa wakati ule niliwahi kumuuliza.
“Mbona una mawazo?”
“Hapana siwazi.”
“Unaonekana una mawazo sana.”
“Hapana niko sawa.”
“Kweli?”
“Ndiyo wala usijali.”
“Basi niambie kitu.”
“Nikwambie kuhusu nini?”
“Dah!”
Nilifahamu fika mpaka kufikia wakati ule nilikuwa nimemkosea sana, nilimfanyia kitu ambacho hakutegemea kufanyiwa. Nilikuwa nikijilaumu nafsi kwa kitendo kile nilichokuwa nimekifanya hata hivyo nilikuwa nimeshachelewa kwani hata nilivyokuwa nazidi kujilaumu wala lawama hizo hazikuweza kusaidia lolote lile.
“Dick,” aliniita.
“Niambie Evadia.”
“Hiki ulichonifanyia ndicho ulichoniitia kwako?”
“Hapana.”
“Sasa kwanini umeamua kunifanyia hivyo?”
“Ni ibilisi alinipitia.”
“Ibilisi!”
“Ndiyo.”
“Sawa,” alinijibu kisha akaamka pale kitandani na kuanza kuvaa nguo zake, nilipomtazama usoni alionekana kuchukizwa mno na kitendo ambacho nilikuwa nimemfanyia.
“Nisamehe,” nilimwambia lakini hakuweza kusema lolote lile, alizidi kuzivaa nguo zake na sasa alikuwa tayari amemaliza.
“Dick nashukuru sana,” aliniambia kisha akatoka nje, nilijaribu kumzuia kadri niwezavyo lakini haikuweza kusaidia lolote lile, aliamua kuondoka kwa ghadhabu.
Nilibaki mule chumbani kwangu huku nikijutia kwa kitendo nilichokuwa nimekifanya, ni kweli nilikuwa nina wasichana wengi sana ambao walikuwa wakinipenda sana tena lilipokuja suala la kufanya mapenzi nilikuwa situmii nguvu hata kidogo, walikuwa wakitamani kufanya mapenzi na mimi. Kitendo nilichokuwa nimekifanya kwa Evadia kilikuwa ni kitendo cha kikatili ambacho kwa kweli kiliniumiza sana, sikuwahi kuwaza kuwa kuna siku itatokea nitaweza kugombana na msichana huyo ambaye alikuwa ni mmoja wa mashabiki wangu waliyokuwa wakiyapenda sana machombezo yangu, kuna kipindi alikuwa akiniambia kuwa alikuwa akikesha usiku mzima kwa ajili ya kusoma chombezo zangu zilizokuwa zikimsisimua mpaka akawa anajichafua mwenyewe bila kutarajia.
“Aaaghhhh!” niling’aka kisha nikapiga ngumi kwenye godoro, nilikuwa katika wakati wa majuto.
Niliamini nilikuwa tayari nimeshampoteza Evadia katika maisha yangu, katika maisha ya simulizi na chombezo ambazo nilikuwa nikiziandika, niliamini sikutakiwa kumuona tena Evadia msichana ambaye kwa kweli alikuwa na uzuri wa kipekee sana na laiti kama ungepata bahati ya kukutana naye naamini ungeyasahili maneno yangu kwa kukubali kuwa alikuwa ni mzuri haswaa.
Sikutaka kuendelea kujilaumu pale kitandani, niliamua kumpigia simu lakini hakuwa akipokea, niliendelea kumpigia na mwisho alikuwa akinikatia. Nilizidi kuwa katika wakati wa mawazo sana hasa baada ya kugundua kuwa nilikuwa nimemkosea sana Evadia.
Nilimpigia simu Mick yule rafiki yangu mkubwa sana ambaye nilikuwa nikisaidiana naye mambo mengi na mara baada ya kumpigia aliweza kupokea.
“Niambie mzee wa totoz,” aliniambia mara baada ya kupokea.
“Ndugu yangu we acha tu!”
“Niache nini sasa?”
“Yule mtoto ameingia kingi mwenyewe.”
“Duh! We noma kaka kwahiyo umeshajilia vya utamu.”
“Nadhani unanifahamu vizuri huwa sicheleweshagi lakini kuna tatizo.”
“Tatizo?”
“Tatizo gani?”
“Nimefanya naye mapenzi kwa kumlazimisha.”
“Kivipi?”
“Hakuwa amepanga kufanya mapenzi na mimi.”
“Kwahiyo alikuja magetoni kuimba taarabu au?”
“Hapana kuna mchezo nilimchezea.”
“Mchezo gani?”
“Nilizihack akaunti zake na niliamua kutumia njia hii ili aweze kuja geto kwa lengo la kumtatulia tatizo lake na kweli aliweza kuja.”
“Kwahiyo kumtatulia tatizo ukamtatua kweli.”
“Dah! Mtoto kaniona mimi sio kabisa ameondoka lakini anaonekana kukasirishwa sana na kitendo nilichokuwa nimemfanyia.”
“Dah!”
“We acha tu ndugu yangu.”
“Sema Dick wewe sio wa kulilia wanawake kwani huyo mmoja akiondoka kuna nini, utakuwa umepungukiwa na nini wakati kila siku wanawake wanazidi kujigonga kwako.”
“Tatizo sio hilo.”
“Tatizo sio hilo ni nini sasa?”
“Hivi umemuona au unazungumza tu.”
“Wazuri wangapi bhana umekutana nao?”
“Mick baadae.”
“Hahaha! Haya bhana naona mtoto amekuchanganya,” aliniambia na huo ndiyo ulikuwa mwisho wa mazungumzo yetu kwenye simu.
Nilizidi kuwa katika wakati wa mawazo sana, sikuwa najua nilitakiwa kufanya nini kwa wakati huo ili niweze kumrudisha Evadia katika hali yake ya usawa aliyokuwa nayo mwanzo, nilikuwa nimemkosea tena nilikuwa nimemkosea kikubwa sana.
Wakati nikiendelea kuwaza na kuwazua ghafla! Ukaingia ujumbe kwenye simu yangu, haraka niliufungua, ulikuwa ni ujumbe kutoka kwa Precious na alikuwa ameniandikia hivi;
“Mbona umenibadilikia ghafla! Jamani Dick, hutaki kuwasiliana na mimi tena wala hutaki kunijulia hali kabisa au kwa kuwa umeshanijua mwili wangu? Ok basi mimi nilikuwa nakujulia hali. Mchana mwema nakupenda sana.”

Je, nini kitaendelea?
 
NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-18
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278
Age:18+
Baada ya kuusoma ujumbe wake aliyokuwa amenitumia niliamua kuufuta, sikutaka kuwasiliana naye kabisa kwani kwa wakati ule akili yangu ilikuwa ikimfikiria Evadia msichana ambaye nilihisi kumkosea sana.
Ni kama vile ilikuwa haitoshi kunitumia ujumbe mfupi, alianza kunipigia simu. Sikutaka kuwasiliana naye hata kidogo hivyo sikutaka kuipokea simu yake kwa wakati ule. Ilikuwa ikiita mpaka ikawa inakata. Baada ya kunipigia simu mara tatu bila kumpokelea, aliamua kunitumia ujumbe mwingine, ilinibidi nimjibu kwani nilianza kuhisi usumbufu kwa wakati ule.
“Mbona hupokei simu yangu?”
“Samahani nilikuwa mbali na simu.”
“Kwani uko wapi?”
“Niko nyumbani.”
“Kweli?”
“Ndiyo.”
“Uko na nani?”
“Niko peke yangu.”
“Kweli?”
“Ndiyo.”
“Nitaamini vipi?”
“Utaamini vipi kivipi?”
“Kuwa uko peke yako.”
“We niamini kuwa niko peke yangu.”
“Sawa ila…”
“Ila nini?”
“Mbona kama umebadilika sana.”
“Kivipi?”
“Umebadilika tu!”
“Sio kweli mbona mimi nipo sawa tu.”
“Nakufahamu umebadilika sana.”
“Huo ni wasiwasi wako tu! sijabadilika ila muda mwingine unakuta hadithi zinanifanya nakuwa bize sana na ndiyo maana nakuwa sikutafuti kwa wakati.”
“Lini umenitafuta.”
“Ndiyo maana nakwambia nakuwa bize sana mpaka nakosa muda wa kukutafuta ila nakukumbuka sana.”
“Nikuulize kitu.”
“Niulize.”
“Unanipenda.”
“Swali gani hilo unaniuliza.”
“We nijibu kwanza.”
“Ndiyo nakupenda.”
“Nataka leo nije kulala kwako.”
“Uje kulala kwangu?”
“Ndiyo.”
“Na mumeo?”
“Hayupo.”
“Yuko wapi?”
“Amesafiri ameenda Dubai kikazi.”
“Kwahiyo.”
“Mimi nataka kuja leo kwako.”
“Sawa haina tatizo ni wewe tu.”
“Sawa nakupenda.”
“Nakupenda pia.”
Huo ndiyo ulikuwa mwanzo wa Precious kuanza kulala nyumbani kwangu kwa uhuru kama vile alikuwa mke wangu wa ndoa kitu ambacho hakikuwa kweli, alikuwa ni mke wa mtu.
Alikuwa akiutumia ule usemi usemao ‘Paka akiondoka basi panya hutawala.’ Alitawala kwelikweli baada ya mume wake kusafiri kikazi na kila alipokuwa akija kulala nyumbani kwangu sikuwahi kumuacha salama, nilifanya naye mapenzi usiku mzima.
“Unaandika hadithi gani?” aliniuliza usiku mmoja tulipokuwa tumelala, wakati huo alikuwa akinipetipeti.
“Kuna chombezo naliandika kesho linatakiwa kuwa tayari maana washabiki wananisumbua sana.”
“Wanakusumbulia nini?”
“Ninavyochelewa kuwatumia.”
“Mmh!”
“Nini?”
“Mimi naona wivu.”
“Wivu wa nini sasa?”
“Si hao wasichana wanaokusumbua mitandaoni, nahisi unawakubalia.”
“Mimi nimezungumzia habari za wanawake hapa au kuhusu Chombezo.”
“Hata kama lakini mimi naona wivu sitaki usiwe unachat nao mimi sipendi,” aliniambia huku akiwa amekilaza kichwa chake kifuani mwangu, alikuwa akideka kwa wakati ule jambo ambao lilinifanya nianze kuingiwa na hasira.
Precious alikuwa ni mke wa mtu ambaye nilianzisha mahusiano na yeye hapa ilikuwa ni baada ya kukutana na kufahamu kuwa alikuwa ni miongoni wa mashabiki waliokuwa wakizifatilia chombezo zangu mitandaoni.
Alikuwa ni mfanyabiashara wa kujitegemea, maisha yake yalikuwa ni mazuri kwa ujumla, hakuwa na shida ya pesa ndogondogo na kila alipokuwa na mimi hakuacha kunipa pesa, alikuwa akinipa pesa mpaka nikawa siamini kama nilikuwa nimepata bahati ya kukutana na mwanamke aliyekuwa na pesa kiasi kile, shida yake kubwa kwangu ilikuwa ni kufanya mapenzi tu! na alikuwa akinipa kiasi chochote cha pesa nilichokuwa nikikihitaji, alinipa bila kujali lolote kwani kile alichokuwa akikihitaji kutoka kwangu alikuwa akikipata.
“Unataka kiasi gani cha pesa?”aliniuliza asubuhi moja tulipokuwa tumeamka, usiku wa siku hiyo tulikuwa tumetoka kufanya mapenzi.
“Pesa tena?” niliuliza huku nikiyatumbua macho yangu, nilikuwa siamini kile nilichokuwa nakisikia kwa wakati ule kwani hazikuwa zimepita siku chache tangu alipokuwa amenipa pesa kwa ajili ya matumizi madogomadogo yaliyokuwa yakinitatiza.
“Ndiyo pesa nikupe kiasi gani ambacho kitakutosha?” aliniuliza tena.
“Ni wewe tu mimi siwezi kukupangia.”
“Unajua usiku umeniridhisha sana unastahili pongezi kwa kweli, wewe ni dume haswaa tena dume la mbegu.”
“Ponge....” kabla sijamaliza kusema sentensi niliyokuwa nimedhamiria kuitamka kwa wakati ule Precious aliweza kunikata kauli, hapa ni baada ya kuitoa pochi yake akatoa kiasi cha pesa ambazo aliweza kuzihesabu na kunikabidhi shilingi laki tano, akanibusu kisha akaniaga na kuondoka. Nilibaki kinywa wazi huku nikiwa siamini hata kidogo kile nilichokuwa nikikishuhudia kwa macho yangu.
Je, nini kitaendelea?
Usikose sehemu ijayo....
 
NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-19
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278
Age:18+
Precious aliondoka na kuniacha mule chumbani huku nikiendelea kushangaa, nilikuwa siamini kama kweli alikuwa amenipa kiasi kile cha pesa ambazo aliniambia kuwa zilikuwa ni za matumizi madogomadogo.
Hakukuwa na kazi kubwa niliyokuwa naifanya kwake au biashara yoyote kubwa niliyokuwa nikiifanya kiasi kwamba aweze kunilipa kiasi kile cha pesa tena katika siku moja. Kuna watu maofisini wengine ni wasakatonge wanahangaika mitaani usiku na mchana kuitafuta hata japo shilingi elfu moja wanaikosa lakini mimi ndani ya asubuhi moja ile kuamka tu nakumbana na kiasi kile cha pesa ambazo zilikuwa ni kama pongezi kwa shughuli ya usiku kucha niliyokuwa nikiifanya juu ya kifua cha mke wa mtu ambaye alitokea kulewa na penzi langu kiasi cha kuwa chizi kabisa.
Nilichoamua kukifanya kwa wakati ule ni kuchukua Laptop yangu kisha nikaingia mtandaoni Facebook pamoja na Instagram ambapo nikaweza kupost machombezo yangu mawili ambayo yalikuwa yakipendwa sana, yalikuwa yakifuatiliwa sana na idadi kubwa ya watu ambao walionekana kuyapenda kupitiliza, kila siku yalikuwa akinipa mashabiki wapya. Machombezo hayo moja lilikuwa ni CHUMBA CHA MASAJI ambalo nilikuwa nikilipost Facebook na lingine lilikuwa ni NITABAKI NA WEWE TU! ambalo nilikuwa nikilipost Instagram na machombezo yote yalikuwa yakifuatiliwa sana, naweza kusema tangu nilipokuwa nimeanza kazi yangu hii ya uandishi wa machombezo haya ndiyo yalikuwa machombezo bora, machombezo yaliyowahi kunipa umaarufu mkubwa sana hasa katika mitandao ya kijamii, kila kona jina langu la Kaka Dick au Dick Mapenzi lilikuwa likifahamika, hakukuwa na mtu ambaye alikuwa hanifahamu. Kila siku simu yangu haikuacha kupigiwa na namba ngeni, nilikuwa nikipigiwa sana na namba ngeni mpaka kuna wakati nikaanza kuhisi usumbufu.
“Kaka Dick napenda sana machombezo yako yani pindi niyasomapo huwa nahisi msisimko wa hatari hongera sana,” ilikuwa ni sauti nyororo ambayo ilikuwa ikizungumza kwa upande wa pili mara baada ya kupokea simu, ilikuwa ni namba ngeni kwa wakati huo.
“Asante sana ila hujaniambia unaitwa nani?” nilimuuliza kwa sauti ya utulivu, hapa ni baada ya kugundua kuwa mpigaji wa simu alikuwa ni msichana ambaye alijaaliwa sauti nzuri sana ya kuvutia.
“Oooh, naitwa Helena napenda sana kusoma machombezo yako,” alijitambulisha Helena kwa sauti ya ukarimu.
“Nashukuru kukufahamu.”
“Asante sana Kaka Dick hivi unaishi wapi?”
“Mimi niko Dar.”
“Hata mimi niko Dar wewe uko sehemu gani?”
“Tandale.”
“Wooo, Tandale?”
“Ndiyo kwani vipi?”
“Kumbe ni jirani yangu kabisa mimi mwenyewe niko Tandale.”
“Mimi niko kwa Tumbo na wewe je?”
“Mtogole.”
“Duh! Haya karibu Magetoni.”
“Kwani unaishi geto wewe?”
“Ndiyo.”
“Kwani hauna wazazi?”
“Ninao.”
“Sasa kwanini hauishi nao?”
“Katika maisha kuna kipindi kinafika inabidi mtu ukajitengenezee maisha yako hata ndege nao kuna kipindi kinafikia wanatengena na kila mmoja anaenda kutengeneza kiota chake au na hilo pia mgeni?”
“Hapana ila ni vizuri sana nimependa kwa kuwa umekuwa kijana wa kitofauti sana.”
“Kwanini?”
“Ni vijana wachache sana ambao wanakumbuka kama hayo unayoyazungumza na kuyafanyia kazi.”
“Ni kweli.”
“Nafurahi sana kuzungumza na wewe Dick yani nilikuwa natamani sana siku moja kukusikia japo sauti yako kumbe una sauti nzuri hivyo.”
“Hahahaha! Mbona unanipaka mafuta juu ya shati?”
“Hahahaha! Kweli tena.”
“Hahahaha haya bhana.”
“Baadae.”
“Poa poa,” nilimjibu kisha akakata simu.
Nilianza kucheka mwenyewe maana nilifahamu fika kama ni swala basi alikuwa tayari ameingia kwenye anga za Simba, ilikuwa ni vigumu sana kuweza kutoka salama, ni lazima angeliwa nyama.
Nimewahi kutembea na wasichana wengi sana, nimejaribu kuwasikia sauti zao nyororo tena wengine walikuwa na sauti nzito mbaya lakini sauti ya Helena msichana ambaye alijitambulisha simuni hakika ilikuwa na utofauti mkubwa sana, kuna kitu cha ziada nilihisi kilikuwa kimeongezeka. Moyo wangu ukaanza kutamani penzi hata kabla ya kumuona msichana mwenyewe alikuwa amefananaje, niliishi Tandale kwa muda mrefu sana, nilikuwa nawafahamu baadhi ya wasichana waliyokuwa wakiishi humo, kwa kweli walikuwa wamejaaliwa japo akina Mwajuma Binti Mafujo walikuwepo wengi lakini idadi yao haikuweza kuwafunika wale wasichana wengine wakarimu ambao wangeweza hata kuolewa kabisa.
Nilianza mchezo wangu wa kuchat naye, mchezo ambao katika maisha yangu nilikuwa nikiupenda sana, hii ilitokana na umahiri wangu wa kucheza na maneno katika kupangilia beti zangu ambazo kwa kweli hata kama angekuwa ni msichana mgumu kiasi gani endapo angeweza kunipa nafasi ya kuwasiliana naye kwa njia ya Message (Ujumbe mfupi.) basi ungenihesabia masaa tu! kwani nilikuwa ninauwezo wa kipekee sana katika kumshawishi msichana mpaka abadili mawazo yake.
“Mambo mdada,” nilimtumia ujumbe mfupi hapa ni baada ya kukaa kimya kwa muda wa masaa kadhaa tangu alipoweza kunipigia simu na kama vile nilikuwa nimemtumia ujumbe muda muafaka kabisa mtoto naye akaweza kunijibu bila choyo nikaanza kumchombeza.
“Poa Dick yani nina furaha jamani.”
“Furaha ya nini tena?”
“Kwa kuweza kunitafuta nilijua ungenipotezea.”
“Hahaha! Sio kwa kirahisi kiasi hicho ujue wewe ni sawa na jirani yangu.”
“Hilo nalo neno.”
“Japo halipo kwenye kamusi.”
“Hahahaha! Kumbe unavituko hivi.”
“Ah! Mbona kawaida tu!.”
“Yani natamani nikuone maana si kwa machombezo yale unayoyaandika mmmh! Kweli wifi anafaidi jamani.”
“Wifi tena.”
“Ndiyo.”
“Kwani ulihudhuria kwenye harusi yangu?”
“Hapana.”
“Sasa mbona unanipa mke wa kufikirika?”
“Kwani huna mke?”
“Sina.”
“Ah! Basi mpenzi una mpenzi?”
“Ndiyo ninaye.”
“Anaitwa nani?”
“Chombezo.”
“Hahaha embu kuwa serious bhanaaa.”
“Kweli sasa nikudanganye ili iweje?”
“Inamaana huna mpenzi na umaarufu wote huo?”
“Umaarufu gani?”
“Wa uandishi.”
“Umaarufu na mapenzi ni vitu viwili tofauti kabisa naomba usivichanganye hata kidogo.”
“Kwahiyo huna mpenzi?”
“Ndiyo.”
“Nitaamini vipi?”
“Utaniamini tu!”
“Sawa.”
Nakumbuka nilichat nae muda mrefu sana, nilikuwa nikimchombeza mpaka alikuwa hataki kuacha kuchat, naweza kusema hatukuwa na kikomo katika kuwasiliana kwetu, tulichat sana tena sana tu, mahali tulipochoka tulihamia WhatsApp ambapo huko tuliweza kupigiana kupitia ‘Video Call’ na baada ya hapo tuliweza kutumiana picha mbalimbali.
Helena alikuwa ni msichana ambaye hakuwa na muonekana mzuri sana, alikuwa wakawaida tu! lakini alijaaliwa figa namba nane iliyozidi kumfanya kutamanika. Nilikuwa nimemtamani sana kupitia baadhi ya picha zake alizokuwa amenitumia hata hivyo alikuwa akiishi karibu kabisa na mahali nilipokuwa nikiishi hivyo sikutaka kuwa mwenye papara sana, niliufahamu uchawi wa mambo yale hivyo sikuwa na shaka hata kidogo, niliamini lazima angejileta mwenyewe kwani kwa muda mfupi tu! niliyofahamiana naye tayari alikuwa amejirahisisha kwa kiasi kikubwa.
Je, nini kitaendelea?
 
NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-20
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278

Age:18+

Niliendelea kuwasiliana na Helena huku akili yangu ikiendelea kumfikiria Precious. Nilikuwa nikimfikiria sana Precious kwasababu alikuwa akinipa pesa, tangu nilipoanza mchezo huu wa kuwachanganya wanawake, alikuwa ndiye mwanamke wangu wa kwanza ambaye alikuwa akinipa pesa, alikuwa akinihudumia mahitaji yangu yote muhimu sasa kwanini akili yangu isijishughulishe katika kumfikiria kila wakati. Nilikuwa nikiutumia muda wangu mwingi sana katika kuwa na yeye. Tulikuwa tukienda katika viwanja mbalimbali vya starehe kujirusha, kipindi hicho mume alikuwa bado hajarudi.
“Utaendelea kuishi huku Tandale mpaka lini?” aliniuliza Precious siku moja tulipokuwa kwenye gari tukirudi nyumbani majira ya usiku tukitokea Ambiance Club iliyokuwepo maeneo ya Sinza Afrika Sana. Wakati huo nilikuwa nimeiweka simu yangu Silence (Kimya) ili nisiumbuke kwani nilifahamu fika muda huo Helena alikuwa akinitafuta hivyo kuhofia usumbufu niliamua kuiweka kimya.
“Unaniuliza mimi?” nilimuuliza huku nikijifanya mwendawazimu nisiyeelewa lolote.
“Sasa kwani naongea na nani?”
“Kwa kweli bado sijajua kuwa nitahama lini halafu kwanza sina mpango huo.”
“Kwanini?”
“Nakipenda sana chumba changu.”
“Unajua huwezi kuishi pale siku zote itabidi uhame ukatafute chumba au nyumba sehemu nyingine.”
“Unazungumzia nyumba au chumba?”
“Vyovyote ila itabidi uhame pale.”
“Pale napapenda kwasababu mwenye nyumba Mke wake anaurafiki na mama yangu kwahiyo pale swala la kodi kidogo inakuwa kitonga sasa unaniambia maswala ya kuhama kwa kazi ipi kubwa ninayoifanya au unataka niumbuke?”
“Dick wewe ni mtunzi mzuri sana wa Machombezo kuna siku ndoto yako itatimia na amini kipaji chako kitabadilisha maisha yako.”
“Maisha yenyewe ndiyo haya tunaishi kwa bahati mbaya nitawezea wapi mimi.”
“Hahahaha!”
“Unacheka.”
“Hapana ila usijali kuna mambo nayaweka sawa yakikamilika nitakuhamisha pale mimi sipendi unavyoishi pale halafu unajua pamekaa kiuswahili sana.”
“Sasa ulitaka pakae kiuzunguni sana.”
“Hahahaha! Embu usinichekeshe mimi subiri nitakufanyia mpango.”
“Unasema kweli?”
“Kweli kwani mimi nakutaniaga?”
“Nitajuaje kama ndiyo utani umeanza leo.”
“Hahahaha!”
Precious alikuwa ni mtu wa kucheka kila wakati, nilifahamu kitu kikubwa alichokuwa akikipenda katika maisha yake ni kucheka, alikuwa akipenda furaha katika maisha yake. Niliitumia nafasi ile kuwa naye katika kujivika vazi la uchizi kisha nikawa najaribu kujifanya katuni za Tom na Jerry ili aweze kufurahi kila wakati na kweli nilifanikiwa katika hilo. Nilikuwa nikiutumia muda wangu mwingi wa maongezi katika kuwa wa uchekeshaji ili asichoke au kujutia kuwa na mimi.
Kwenye gari tulizungumza mambo mengi sana. Safari yetu haikuwa na umbali mkubwa sana ila kutokana na mwendo wa taratibu aliyokuwa akiutumia uliweza kuirefusha safari yetu hiyo ambayo niliitumia katika kuzungumza naye mambo mengi sana ambayo mengine yasiyojulikana.
“Dick unajua ninapokuwa na wewe najihisi mwenye furaha kila wakati,” aliniambia Precious huku akiwa bize na usukani wake, macho yake yalikuwa makini kukitazama kioo cha mbele ya gari kwa wakati huo.
“Kwanini?” nilimuuliza huku nikijikuna kichwani hata hakukuwa na kitu kilichokuwa kinaniwasha kwa wakati huo, nilikuwa najifanyisha.
“Sijui niseme vipi ili uweze kunielewa ila wewe fahamu hivyo,” aliniambia huku akiendelea kucheza na usukani wake.
“Unajua kila mwanadamu ana mtindo wake ambao ndiyo anautumia katika kuishi. Binafsi nina mtindo wangu na wewe unamtindo wako lakini kitu cha kushangaza mtindo huu mtu huwezi kujiona mwenyewe mpaka watu wakutazame, waishi na wewe ndiyo wataweza kuufahamu.”
“Unamaanisha nini?”
“Namaanisha kuwa wewe ndiye ambaye umeona kitu cha tofauti kwangu hivyo unatakiwa uniambie ili na mimi nijue,” nilimwambia kisha nikampa nafasi ya kujieleza, kwanza alianza kwa kujikoholesha halafu akaanza kusema,
“Unajua mume wangu kuna vitu hana sijui nisemeje lakini kuna baadhi ya vitu nahisi hanifanyii mimi kama mke wake.”
“Kama…”
“Napenda kufurahi sana lakini hanifanyi nifurahi muda wote yuko bize na kazi zake akirudi nyumbani unakuta amechoka analala, muda mwingine unakuta najisikia kufanya mapenzi lakini anakuwa hafanyi kama vile ninavyotaka mimi. Tangu nilipoanza kuwa na wewe umekuwa mwanaume ambaye unanifanyia vitu vyote hivyo hata vile ambavyo nilikuwa sivijui umekuwa ukinifanyia na ndiyo maana nakuambia kuwa unanifanya nakuwa mwenye furaha kila wakati.”
“Kwani mmefanikiwa kupata watoto?”
“Hapana.”
“Kwanini?”
“Nafikiri muda wetu bado.”
“Kwani mna muda gani katika ndoa yenu?”
“Mwaka mmoja.”
“Duh!”
“Nini?”
“Aisee hii ni hadithi ya kipekee nilikuwa sifahamu kabisa hili.”
“Hahaha! Umeshaanza mambo yako,” aliniambia kisha akanipiga kibao cha kimapenzi kilichozidi kuniweka karibu naye sana. Wakati huo tulikuwa tayari tumefika Tandale kwa Tumbo lakini usiku wa siku hiyo hakutaka kuutumia kulala na mimi, alidai kuwa mume wake karibuni alikuwa anakuja hivyo kuna mambo ambayo alikuwa anaenda kuyaweka sawa, alichofanya ni kunihesabia kiasi kidogo cha pesa kisha akanikabidhi na kutoweka eneo lile.
Nilipoingia katika chumba changu kitu cha kwanza kabisa nilichoamua kukifanya ni kuiangalia simu yangu ambayo nilikuwa nimeiweka Silence (Kimya). Nilikutana na messages (Ujumbe) kumi pamoja na Missed Call (Simu zisizopokelewa) thelathini. Nilipotoa Pattern ya simu yangu niliingia moja kwa moja katika uwanja wa messages, nilianza kuzisoma moja baada ya nyingine humo niliweza kukutana na ujumbe wa Helena ambaye alikuwa akilalamika kwanini nilikuwa sipokei simu yake, nilikutana pia na ujumbe wa baadhi ya mashabiki waliyokuwa wakiyasifia machombezo yangu lakini sikutaka kuamini pale nilipokutana na ujumbe uliyokuwa umetoka kwa Evadia msichana ambaye nakiri ni kweli nilimkosea sana lakini kutokana na kusumbuka kumuomba msamaha na kutoweza kunikubalia niliamua kuachana naye, sikuwa mtu wa kuwanyenyekea wanawake. Alikuwa amenitumia jumbe nne ambazo kila moja nilipokuwa nikiisoma kwa kweli nilijisikia furaha isiyokuwa na kifani.

Je, nini kitaendelea?
 
NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-21
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278

Age:18+

“Dick mambo?”
“Mzima wewe?”
“Dick!”
“Mbona hupokei simu zangu?”
Hizi zilikuwa ni jumbe nne ambazo alikuwa amenitumia Evadia. Kila nilipokuwa nikizisoma nilijikuta nikitabasamu, sijui ni nini kilichokuwa kimemsibu mpaka akaamua kunitafuta katika siku ile. Hakika nilijisikia kuwa na furaha isiyokuwa na kifani.
Macho yangu yalitamani kutazama walau yaupe nafasi mdomo uweze kusoma jumbe nyingine ambazo zingeweza kunifariji kwa wakati ule, sikutaka kumjibu Helena kwani niliamini hakukuwa na mada nyingine kati yetu zaidi ya mapenzi, niliamini kwa vyovyote vile lazima angeweza kujileta mwenyewe katika himaya yangu.
Nilitamani kufahamu ni nini kilichokuwa kimetokea kwa msichana huyu ambaye tayari akili yangu ilikuwa imeanza kumsahau. Msichana ambaye ni siku chache tu! nilitoka kumuudhi kwa kitendo nilichokuwa nimemfanyia, kitendo cha kumuingilia kimapenzi bila ya yeye kuridhia japo hakuweza kuleta kukurukakara za hapa na pale lakini ni wazi kwa kitendo kile hakikuwa sahihi kumfanyia. Nilijutia kosa langu na ndiyo maana niliamua kumuomba msamaha kwa wakati ule lakini hakuweza kunikubalia zaidi ya yote ndiyo kwanza alikuwa akinichukia. Nakumbuka kwa wakati ule nilikuwa tayari nimeshamuondoa katika Program ya kuzihack akaunti zake, nilikuwa nimezitoa kwani kitu nilichokuwa ninakitafuta nilikuwa nimeshakipata.
Niliamua kumjibu na huo ndiyo ukawa mwanzo wa kuukaribisha uwanja wa mazungumzo marefu kati yetu.
“Niambie Eva.”
“Safi tu! Dick mzima wewe?”
“Mimi mzima hofu kwako.”
“Niko poa.”
“Unauhakika?”
“Ndiyo niko poa kwanini umeniuliza hivyo?”
“Hamna nimeuliza tu! kwani nimefanya kosa?”
“Hapana, uko wapi?”
“Niko nyumbani.”
“Mbona ulikuwa hupokei simu yangu?”
“Nilikuwa bize kidogo kwani kuna nini?”
“Kuna kitu nataka kukuambia.”
“Kitu gani?” nilimtumia ujumbe huu wa kumuuliza huku moyo wangu ukianza kuingiwa na hofu, nilikuwa katika hofu.
Nilianza kuwaza mambo mengi sana lakini kubwa ambalo nilikuwa nikiwaza ni juu ya hicho kitu ambacho alikuwa akitaka kuniambia kwa wakati ule. Ubongo wangu ukatengeneza tukio la haraka. Lilikuwa ni tukio kuhusu taarifa za ujauzito wa Evadia. Kwa kweli moyo wangu uliweza kupasuka sana hasa baada ya kuwaza hayo.
Hofu ilizidi kunitawala moyoni baada ya Evadia kuchelewa kunijibu ujumbe wangu, nilianza kuwaza mambo mengi sana ambayo kwa kweli yalizidi kunifanya hata ile furaha niliyokuwa nayo mwanzo ipotee na wakati huo nilikuwa nashahuku ya kutaka kuona kile ambacho alikuwa akinijibu. Nakumbuka nilikuwa nikizisoma meseji za Helena ambaye na yeye alikuwa akinisumbua, sikutaka kumjibu kwa wakati huo.
Niliamua kumpigia simu Evadia hapa ilikuwa ni baada ya kusubiria jibu bila mafanikio, alipopokea nikaanza kuzungumza naye.
“Kuna nini?” nilimuuliza baada ya kupokea simu, alikuwa kimya, hakuzungumza lolote.
“Evadia!” nilimuita lakini hakuwa akizungumza lolote, alibaki kimya na kuniacha nikizungumza mwenyewe kama mwendawazimu.
“Evadia mbona huongei sasa?” nilimuuliza tena, mara hii aliamua kunijibu.
“Kuna kitu nataka kukuambia,” aliniambia kwa sauti nyororo iliyosindikizwa na mpangilio wa maneno sawia ambayo yalinogeshwa na lafuzi yake nzuri isiyokera kuisikiliza.
“Kitu gani hicho?” nilimuuliza kwa sauti iliyoashiria kuwa na shahuku ya kutaka kufahamu hicho kitu kilichokuwa kinamtatiza.
“Dick unajua tangu siku ile ulipofanya na mimi mapenzi kiukweli hilo tukio nimeshindwa kulifuta kabisa kichwani mwangu, linanitesa sana nashindwa kusahau sijui kwanini?” aliniambia kisha akaniuliza swali la kimtego.
Kwanza ile hofu iliyokuwa imeanza kunitawala iliweza kutoweka, nilivuta pumzi na kuiachia huku moyoni nikianza kuingiwa na furaha, sikutakiwa tena kuogopa kwani kitu nilichokuwa nimeanza kukihisi kuwa kilikuwa kimetokea hakikuwepo kwa wakati ule.
“Kwanini umeshindwa kusahau?” nilimuuliza swali la kimakusudi kabisa.
“Sijui.”
“Nikuulize kitu?”
“Ndiyo niulize.”
“Ila utanijibu kama ninavyotaka?”
“Ndiyo nitakujibu.”
“Kwanza umenisamehe?”
“Ndiyo nimekusamehe.”
“Kwanini sasa uliondoka siku ile ukiwa katika hali ile?”
“Ni hasira Dick ila yameisha usijali kuwa na amani.”
“Sawa yani nilikuwa naishi kwa hofu sana.”
“Hofu ya nini?”
“Ya kukukosea halafu ukizingatia sikupanga kukukosea ni ibilisi tu! alinipitia.”
“Usijali Dick mimi nimekusamehe ila nataka tuonane kuna mambo muhimu nataka kuzungumza na wewe.”
“Mambo gani tena?”
“Usijali wala hakuna tatizo.”
“Nitaamini vipi kama umenitegea mtego je?”
“Hahahaha! Jiamini bhana hakuna tatizo bhana.”
“Sawa kwahiyo unataka tuonane lini?”
“Kesho uko free?”
“Ndiyo.”
“Basi nitakuambia kesho sehemu ya kukutana pamoja na muda.”
“Sawa kwahiyo hakuna tatizo kati yetu?”
“Ndiyo hakuna.”
“Sawa nafurahi kusikia hivyo.”
“Haya usiku mwema Dick.”
“Nawe pia mrembo,” nilimjibu na huo ndiyo ulikuwa mwisho wa mazungumzo yetu.
Niliitazama saa yangu ya mkononi, ilikuwa ikisoma saa nane za usiku, niliendelea kujibu jumbe za watu waliyokuwa wamenitafuta akiwemo Helena msichana ambaye alijirahisha sana kwangu mpaka pale ambapo sikumbuki muda wala dakika ambayo usingizi uliweza kunipitia.

Je, nini kitaendelea?
 
NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-22
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278

Age:18+

Nilikuwa katika chumba kidogo sana kilichokuwa kina hewa nzito, wakati huo nilikuwa nimepiga magoti huku mikono yangu ikiwa imefungwa nyuma kwa kutumia kamba ngumu pamoja na miguuni. Pembeni yangu alikuwepo mwanamke mmoja ambaye na yeye alikuwa amefungwa kama nilivyokuwa nimefungwa mimi huku akiwa amepiga magoti.
Nilijaribu kumtazama sura yake ajabu sikuweza kumfahamu kabisa, alikuwa ni mwanamke mwenye sura ngeni machoni mwangu, sikumbuki kama niliwahi kumuona hapo kabla katika maisha yangu.
Nilipojaribu kutazama katika chumba kile niliwaona wanaume watatu wakiwa wametuzunguka, walionekana kuwa na hasira kali kupitia nyuso zao zilizokuwa zimejikunja kutokana na hasira waliyokuwa nayo. Nilikuwa nikiwatazama katika muonekano wa sura ya huruma lakini wale wanaume hawakuonekana kujali lolote bali ndiyo kwanza walikuwa wakianza kunipiga huku yule mwanamke wakimshika nywele zake na kuanza kuzivuta. Kilikuwa ni kitendo cha dakika chache sana kabla ya kuanza kusema lolote lile kwa wakati ule.
“Wewe ndiyo Dick?” aliniuliza mwanaume mmoja, alikuwa mweusi, sura yake ilikuwa na alama za vidonda ambavyo bado vilikuwa vibichi kabisa, alitisha mno kutazama, mkononi alikuwa amekishikilia rungu kubwa ambalo alikuwa akilipigapiga mkononi mwake huku akinitazama.
“Ndiyo….ni…ni mimi,” nilimjibu kwa sauti iliyochanganyika wasiwasi pamoja na uwoga.
“Mimi naitwa Kiziba a.k.a Mtoaji roho wa kujitolea,” alijitambulisha kisha akaendelea kuzungumza,
“Kwanini unatembea na mke wa mtu?” aliniuliza huku akianza kunizunguka pale chini nilipokuwa nimepiga magoti, wakati huo wale wenzake wawili walikuwa wakinitazama.
“Mke wa mtu?” nilimuuliza huku nikionekana kutofahamu lolote lile ni wazi kuwa kesi ile waliyokuwa wakinishutumu nayo haikuwa ikinihusu hata mara moja, nilihisi kuonewa sana.
“Unaniuliza eti! Mke wa mtu? Ina maana wewe hufahamu kama unatembea na mke wa mtu tena mtu mzito serikalini?”aliniuliza, safari hii alikuwa mbele yangu akinikodolea macho yake makali sana yaliyozidi kuniogopesha kwa kiasi fulani.
“Hapana sifahamu,” nilimjibu huku nikikitikisa kichwa changu kuonyesha msisitizo wa kauli yangu.
“Ati! Unasema hufahamu?” aliniuliza kwa ghadhabu huku akinizaba kibao cha uso, nilipepesuka lakini kama bahati sikuweza kuanguka kwani tayari nilikuwa nimepiga magoti chini, nilihisi kabao chake kikiniachia alama katika shavu langu. Machozi kwa mbali yakaanza kunilengalenga.
“Ndiyo sifahamu,” nilijibu kwa kujiamini kuonyesha kuwa hakukuwa na ukweli katika kile walichokuwa wakinishutumu nacho.
“Una uhakika?”
“Ndiyo nina uhakika asilimia mia moja.”
“Embu mtazame huyu mwanamke,” aliniambia kisha nikapata wasaa wa kuweza kumtazama yule mwanamke. Sura yake ilikuwa ngeni machoni mwangu. Ni kweli katika maisha yangu niliwahi kutembea na wanawake wengi sana na wote nilikuwa nikiwakumbuka lakini sura ya yule mwanamke ilionekana kuwa ngeni machoni mwangu.
“Unamfahamu huyu?” aliniuliza baada ya kuniona nikimtazama yule mwanamke ambaye aliniambia nimtazame.
“Hapana simfahamu,” nilimjibu lakini kabla yule mwanaume hajasema lolote mara nilipokelewa na sauti iliyoambatana na kilio cha yule mwanamke.
“Dick unanikataa unasema hunijui wakati kila siku tunakuwa wote, kwanini usikubali haya yote yakaisha, wametutesa sana, wametupiga lakini bado unakataa kwanini usiwe mkweli?” aliniambia yule mwanamke maneno ambayo yaliambatana na sauti ya kilio, alikuwa akilia machozi ambayo kwa kweli nilikuwa nikiyafananisha na machozi yale ya waigizaji wa bongo movie, hayakunigusa hata kidogo kwani mwanamke mwenyewe ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kumuona.
Kitendo cha kuniambia yale maneno huku akilia kilinifanya nizidi kubaki katika wakati wa maswali nisijue nini nifanye kwa wakati ule kwanza nilikuwa nimefungwa kamba mikononi na miguuni hivyo ilikuwa ni vigumu kuweza kuamua lolote zaidi ya yote niliamua kuwa mpole wa kila kitu kilichokuwa kikiendelea ndani ya kile chumba kilichokuwa na hewa nzito sana.
“Kijana kwahiyo unatufanya sisi watoto wadogo?” aliniuliza yule mwanaume, wakati huo jasho lilikuwa likinitiririka, nilikuwa nimeloa mwili mzima kutona na jasho lililokuwa kininitoka kwa wakati ule. Uwoga ulianza kuniingia na kila nililokuwa natamani kuzungumza juu ya yule mwanamke nilishangaa kinywa changu kikiwa kizito mwisho nikabaki kimya nikisubiri hatma yangu.
“Mbona hujibu sasa au umeona umeshindwa?” alizidi kuniuliza maswali ambayo kwa kweli yalizidi kuniweka katika wakati wa kizungumkuti, sikuwa nafahamu lolote kuhusiana na yule mwanamke ambaye walikuwa wakidai kuwa natembea naye.
“Jamani mimi simfahamu huyu mwanamke kwanza nashangaa mnavyoniambia natembea naye wakati ndiyo mara yangu ya kwanza namuona hapa,” niliwaambia kwa pamoja huku macho yangu yakimaanisha kile ambacho nilikuwa nikikizungumza.
“Dick unanikana, unanikana Dick kwanini lakini unanifanyia hivyo?” aliniuliza yule mwanamke swali ambalo sikuweza kujua natakiwa nimjibu katika mtindo upi. Nilibaki nikimshangaa nisijui ni lipi jibu sahihi la kumjibu.
“Kijana naona unacheza na akili zetu,” aliniambia Kiziba halafu akawatazama wale wenzake kisha akawapa ishara fulani ambayo iliashiria kufanya kitu walichokuwa wamekidhamiria.
Niliwaona wakimsogelea yule mwanamke ambaye hapo mwanzo walidai kuwa ni mke wa mtu kisha wakatoa bastola na bila kuchelesha muda walimpiga kichwani, damu zikaanza kusambaa mahali pale.
Baada ya kuhakikisha wamemuua yule mwanamke sasa waliamua kunigeukia, kimoyomoyo nilikuwa nimeanza kumuomba Mungu Wangu kwani niliamini zilikuwa zimebakia dakika chache za kuweza kuishi hapa duniani, nilihasa kuuhisi mkojo niliubana na kama masihara ukaweza kutoka wenyewe kwa wakati ule, nilijikojolea hapa ni baada ya wale wanaune kunifikia na kisha mmoja wao kuninyooshea Bastola katika paji la uso wangu.
“Sali sala zako za mwisho,” aliniambia kisha kilichofutia mahali hapo ni kuifyatua.
****
Niliamka katika ndoto hii ya ajabu, nikurupuka huku mapigo yangu ya moyo yakiwa yananienda mbio, sikuamini kama bado nilikuwa hai kwa wakati ule. Kitendo cha kushikiwa bastola tena katika mazingira yale hakika kiliniogopesha sana.
Nilibaki katika taharuki baada ya kufahamu kuwa kile nilichokiona ilikuwa ni ndoto, ndoto ambayo sikujua ilikuwa ina maana gani hasa. Sikutaka kuifatilia sana ile ndoto zaidi ya yote niliishika simu yangu na kutazama saa, ilikuwa ni majira ya saa mbili za asubuhi. Wakati nilipokuwa nimejilaza huku nikijinyoosha ghafla! simu yangu ikawa inaita, nilipoitazama alikuwa ni Evadia.
“Hallo Eva,” nilisema mara baada ya kupokea.
“Niambie Dick umeamka salama?” sauti nyororo ya Evadia kutoka upande wa pili ilinipokea kwa swali ambalo liliniondoa usingizi kabisa.
“Nimeamka salama kabisa,”nilimjibu huku nikijilambalamba lips kwa kutumia ulimi wangu, nilihisi kumtamani tena.
“Sawa basi baadae mida ya jioni tutakutana pale Mlimani City,” aliniambia.
“Kama kwenye saa ngapi?”
“Saa kumi na mbili.”
“Kwa wakati huo wewe utakuwa unatokea wapi?”
“Dukani.”
“Sasa si ungekuja kunipitia jamani?”
“Ok basi ikifika mida hiyo mimi nitakuja hapo kukupitia ila tu naomba uwe tayari sitaki nije hapo halafu nianze kukusubiria sawa?”
“Usijali nitakuwa tayari nakusubiria.”
“Sawa,” alinijibu kisha akakata simu.
Nilianza kuisahau ile ndoto ya kutaka kuuliwa na sasa nikaanza kuifikiria hiyo jioni itakuwaje, kuna muda nilihisi kama masaa yalikuwa yamesimama kwani ndiyo kwanza yalikuwa ni majira ya saa mbili za asubuhi. Niliamua kumtumia ujumbe mfupi Helena kama salamu hapo nakumbuka tayari nilikuwa nimemtumia Precious ujumbe wa asubuhi njema na aliweza kunijibu.
“Poa mzima uko wapi?”aliniuliza Helena kupitia ujumbe mfupi aliyokuwa amenitumia.
“Niko geto hapa.”
“Hutoki?”
“Hapana leo nipo tu nitaandika Chombezo ila jioni ndiyo nitatoka.”
“Utaenda wapi?”
“Kwa marafiki zangu.”
“Anha!”
“Njoo basi.”
“Nije nifanyaje?”
“Unisaidie kufua nguo.”
“Kwanini usimpe mpenzi wako akufulie?”
“Nimpe mpenzi wangu yupi wakati mimi niko na wewe.”
“Mmmh! Wewe muongo unanidanganya.”
“Nakudanganya na nini?”
“Yani ulivyo na mashabiki wengi hivyo katika Machombezo yako ukose mpenzi kweli?”
“Kwahiyo huniamini?”
“Nakuamini Baby.”
“Ila.”
“Hamna.”
“Njoo sasa unisaidie kufua.”
“Basi nakuja si hapo kwa Tumbo?”
“Ndiyo.”
“Haya ngoja basi nimalizie kufanya usafi halafu nije mpenzi.
“Haina shida.”
Kitu cha kushangaza sikuwahi kumtongoza kabisa lakini tayari alikuwa akiniita majina ya kimapenzi, ni wazi kuwa alikuwa akinipenda sana , nililifahamu hilo na sikutaka nililazie damu, nilichoamua kukifanya ni kumuita na siku hiyohiyo nilipanga kusafiri naye kwenda katika mji wa mahaba nigaragaze.

Je, nini kitaendelea?
Usikose sehemu ijayo...
 
NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-23
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278

Age:18+

Ilipoishia.....

Nilianza kuisahau ile ndoto ya kutaka kuuliwa na sasa nikaanza kuifikiria hiyo jioni itakuwaje, kuna muda nilihisi kama masaa yalikuwa yamesimama kwani ndiyo kwanza yalikuwa ni majira ya saa mbili za asubuhi. Niliamua kumtumia ujumbe mfupi Helena kama salamu hapo nakumbuka tayari nilikuwa nimemtumia Precious ujumbe wa asubuhi njema na aliweza kunijibu.
“Poa mzima uko wapi?”aliniuliza Helena kupitia ujumbe mfupi aliyokuwa amenitumia.
“Niko geto hapa.”
“Hutoki?”
“Hapana leo nipo tu nitaandika Chombezo ila jioni ndiyo nitatoka.”
“Utaenda wapi?”
“Kwa marafiki zangu.”
“Anha!”
“Njoo basi.”
“Nije nifanyaje?”
“Unisaidie kufua nguo.”
“Kwanini usimpe mpenzi wako akufulie?”
“Nimpe mpenzi wangu yupi wakati mimi niko na wewe.”
“Mmmh! Wewe muongo unanidanganya.”
“Nakudanganya na nini?”
“Yani ulivyo na mashabiki wengi hivyo katika Machombezo yako ukose mpenzi kweli?”
“Kwahiyo huniamini?”
“Nakuamini Baby.”
“Ila.”
“Hamna.”
“Njoo sasa unisaidie kufua.”
“Basi nakuja si hapo kwa Tumbo?”
“Ndiyo.”
“Haya ngoja basi nimalizie kufanya usafi halafu nije mpenzi.
“Haina shida.”
Kitu cha kushangaza sikuwahi kumtongoza kabisa lakini tayari alikuwa akiniita majina ya kimapenzi, ni wazi kuwa alikuwa akinipenda sana , nililifahamu hilo na sikutaka nililazie damu, nilichoamua kukifanya ni kumuita na siku hiyohiyo nilipanga kusafiri naye kwenda katika mji wa mahaba nigaragaze.

SONGA NAYO.....

Nilichokuwa natamani kwa muda huo ni kuona masaa yakikimbia kwa kasi ili niweze kuonana na Helena. Nilikuwa tayari nimeanza kupandwa na mizuka isiyojulikana. Nilikuwa nikianza kuhisi joto mara baridi kwa wakati mmoja hali iliyonifanya nizidi kumuhitaji kupita kawaida.
Sikumbuki kama kuna siku niliwahi kutumia zana katika kipindi chote kile ambacho nilikuwa nikilala na wanawake tofautitofauti ila nilijikuta tu nafsi yangu ikinishinikiza niende kwa mangi kununua zana. Nilifanya kama nafsi yangu ilivyokuwa imenituma na niliporudi niliamua kumtumia ujumbe mfupi Helena kumuuliza kuwa alikuwa anakuja muda gani?
“Niko njiani nimekaribia kufika,” alinijibu.
Moyo wangu uliingiwa na furaha ya ajabu mno, sikutaka kuipoteza bahati ile ya mtende iweze kuondoka hivihivi, nilipanga kumchombeza mpaka akubali kuingia mchezoni kwani ligi tayari nilikuwa nimeshaiandaa. Nilikumbuka kuweka zana zangu mfukoni hii ikiwa ni sehemu moja wapo ya kujihami.
Baada ya dakika kadhaa Helena aliweza kunipigia simu.
“Dick nimeshafika,” aliniambia mara baada ya kupokea.
“Umefika wapi?” nilimuuliza.
“Hapa kwa tumbo.”
“Ok nisubiri dakika moja nakuja kukuchukua,” nilimwambia kisha nikatoka nje kuelekea kituoni, nilikuwa nimejipanga kisawasawa.
Nilipofika nilimkuta akinisubiria kituoni, alikuwa amevalia katika moja ya vazi ambalo nilikuwa nikilipenda sana hasa kumuona mwanamke mzuri aliyejaaliwa viungo pamoja na nyama za mwili wake kuvaa. Lilikuwa ni vazi ambalo nilikuwa nikilipenda sana na kama ikitokea muda huu ukaniuliza kwanini nalipenda vazi hilo kwa kweli sitakuwa na jibu sahihi la kukujibu isipokuwa nielewe tu kuwa nalipenda sana ten asana tu!.
Macho yangu yalimuona Helena akiwa amevaa Dera ambalo lilikuwa limembana kidogo kiasi cha kuyaonyesha baadhi ya maumbile yale yalivyo. Alikuwa amejaaliwa umbo matata ambalo kiukweli lilizidi kunipa uchu wa kutamani vya ndani. Macho yangu kila yalipokuwa yakimtazama yalizidi kuniambia nisichelewe kwani muda ulikuwa haunisubiri. Nilipomfikia miili yetu ilishindwa kuvumilia, tukakumbatiana kumbato ambalo lilizidi kunipa wakati mgumu sana, askari wangu hakuchelewa kusimama kwa kiherehere cha kutaka kuangalia kilichokuwa kikiendelea.
“Nafurahi kukuona Dick yani kukutana na wewe nahisi kama bahati vile,” aliniambia kipindi tulipokuwa tumekumbatiana.
“Hata mimi pia niseme nafurahi sana kukuona japo usiku wa jana nimetoka kukuota,” nilimwambia katika namna fulani ya kumuweka katika wakati wa shahuku, nilifahamu fika kuwa alikuwa akiyapenda sana machombezo yangu, alikuwa akinipenda sana japo kuna wakati alikuwa haniamini hivyo niliamua kumwambia vile ili nizidi kumtengenezea mazingira ya kutaka kufahamu ni ndoto ya aina gani nilikuwa nimemuota.
“Umeniotaje?” aliniuliza swali ambalo sikulishangaa sana kuniuliza kwa wakati ule.
“Ah! No hapa si mahala pake subiri tukifika kwangu nitakusimulia,” nilimwambia kisha nikajitoa katika lile kumbato lake, muda huo alikuwa akitabasamu tu! kila alipokuwa akinitazama alizidi kujawa na tabasamu.
Ukweli ni kwamba Helena hakuwa miongoni mwa wale wasichana warembo kiasi kwamba kama ukamtazama ati! ujikute unamtamani tu sura yake au kutokana na urembo aliyokuwa amebarikiwa lahasha! Helena alikuwa ni miongoni mwa wasichana ambao hawakuwa wazuri wa sura ila walikuwa wamebarikiwa maumbo matata, nyuma walikuwa wamefungasha mizigo mikubwa, wapitapo nyuma wanaacha lawama.
Nilipokuwa nikimtazama nilihisi nafsi yangu ikiniambia kisirisiri “Dick unachelewa nini sasa mpeleke ndani.”
Hatimaye tuliondoka pale na sasa tukawa tunaelekea katika chumba changu, ulikuwa ni mtaa mmoja uleule na sehemu kituo kilipo hivyo hakukuwa na umbali hata kidogo. Baadhi ya majirani zangu walikuwa wakinitazama kwa macho ya umbeya, kila siku walikuwa wakiniona nikileta mali mpya, nilifahamu walikuwa wakinisema kichinichini lakini sikutaka kujali sana, nilichokuwa nakiangalia kwa wakati ule ni kumuingiza Helena ndani na mambo mengine yaendelee.
“Kumbe hukai mbali sana?” aliniuliza Helena tulipokuwa tumefika na kuingia ndani.
“Hapana mbona umesimama wima kaa hapo,” nilimwambia wakati huo nilikuwa nikiufunga mlango. Nilikuwa nimepanga kucheza na akili yake mpaka akubali kula tunda na mimi.
Nilipomaliza kuufunga mlango nilienda kukaa moja kwa moja kitandani. Wakati huo nilijifanya kuwa bize na simu yangu huku kichwani nikipanga mbinu za kumshinda kwani tayari alikuwa ameniletea mpira golini.
“Karibu sana Helena jisikie uko nyumbani ila umekuja muda ambao hata bado sijaandaa chai,” nilimwambia huku nikimtazama. Alikuwa akizing’ata kucha zake.
“Asante wala usijali,” alinijibu kwa sauti iliyochanganyika na aibu.
Muda huo nilipokuwa bize kwenye simu yangu, nilikuwa nikichat na Precious alikuwa akiniambia kuwa mume wake alikuwa akiwasili siku hiyo hivyo kwa wakati huo alikuwa yupo uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius kwa lengo la kumpokea.
Nilipomaliza kuchat naye nilimgeukia Helena ambaye alikuwa akijichekesha kama mwendawazimu.
“Mbona unacheka?”nilimuuliza.
“Nimefurahitu!”
“Umefurahi nini?”
“Kukuona,” aliniambia kisha akanyamaza kwa muda halafu akaendelea kuzungumza.
“Enheee! Nimekumbuka halafu,” aliniambia.
“Umekumbuka nini?” nilimuuliza huku nikionekana kushangaa.
“Kuhusu hiyo ndoto uliyoiota kuhusu mimi,” aliniambia kisha nikakumbuka tukio la ndoto la kweli niliyoiota usiku wa kuamkia siku hiyo.
Ilikuwa ni ndoto ya kunusurika kifo baada ya kutekwa na wanaume watatu ambao walikuwa wamedhamiria kuniua baada ya kunishutumu kuwa nilikuwa nikitembea na mke wa mtu mzito ambaye hata sikuwa namfahamu, ndoto ile nakumbuka iliishia kipindi walipokuwa wakitaka kunipiga risasi na ndipo hapo ambapo niliweza kushtuka.
Kwa kweli nilipoikumbuka hiyo ndoto nilijikuta nikicheka peke yangu, nilikuwa nikicheka kwa uongo ambao niliutumia kuibadilisha hiyo ndoto. Ndoto ya kunusurika kuuliwa na wale wanaume nisiyowafahamu sasa nilikuwa nikiigeuza na kuwa ndoto ya msichana Helena ambaye nilikuwa nimemuota.
“Mbona unacheka tena?” aliniuliza.
“Hapana unajua nilishasahau kabisa kuhusu hiyoo ndoto kumbe na wewe husahau kitu,” nilimwambia maneno yaliyomfanya akatokwa na kicheko, alikuwa akicheka kutokana na lafudhi ya kichaga niliyokuwa nimeitumia kumwambia kwa wakati huo.
“Kumbe wewe ni mchaga?” aliniuliza huku akijaribu kujizuia kucheka, mwisho uvumilivu ukamshida akabakia akicheka mfululizo.
“Hapana mimi sio mchaga.”
“Sasa mbona umeongea kichaga?”
“Najaribu kuwaiga tu.”
“Hahahaha! umenichekesha wewe.”
“Pole.”
“Pole ya nini kwanza niambie kuhusu hiyo ndoto.”
“Ndoto ndoto ndoto,” nilimwambia huku nikijaribu kuiita hiyo ndoto, alizidi kucheka tu.
“Sasa mbona unacheka?”
“Dick bhanaa embu niambie huko acha kufanya masihara.”
“Sasa nitakuambiaje ukiwa huko mbali sogea hapa karibu nikunong’oneze wasisikie wapambe huko nje,” nilimwambia kisha akainuka pale kwenye kochi na taratibu alikuwa akizihesabu hatua zake kunifuata kitandani nilipokuwa nimekaa.

Je, nini kitaendelea?
Usikose sehemu ijayo....
 
NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-24
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278

Age:18+

Aliponifikia alikaa karibu na mimi, alikuwa akinitazama kwa wakati huo. Nilipomtazama usoni sikuwa nikiuona uzuri wowote aliyokuwa nao zaidi ya yote nilikuwa nikijiambia kitu kilichokuwa kinafuata ni kufanya naye mapenzi halafu huo ndiyo unakuwa mwisho wetu kwanza sikumbuki kama niliwahi kumtongoza.
“Haya niambie sasa,” aliniambia huku macho yake akiyaelekezea kwangu, sijui alikuwa akitazama kitu gani maana alibaki kunitazama tu.
“Mbpto una moto hivyo poa kwanza,” nilimwambia kisha nikaurudia ule mchezo wangu wa kuchukua simu na kujifanya kuwa bize kidogo.
“Sasa mbona huniambii unachezea simu?” aliniuliza huku akionekana kuchukizwa na kitendo kile nilichokuwa nimekifanya cha kuwa bize na simu yangu.
“Helena,” nilimuita huku macho yangu yakiitazama simu yangu ambapo hakukuwa na kitu cha maana nilichokuwa nakitazama, nilikuwa nikizuga tu.
“Abee,” aliniitikia kwa sauti ya shahuku ya kutaka kuisikia hiyo ndoto ambayo nilikuwa nimeiota kuhusu yeye.
“Ila nahisi kama nikikuambia nitakuudhi maana ndoto yenyewe,” nilimwambia kisha nikasita kuzungumza.
“Niambie bhanaa wala usijali kwani ulimeotaje?” aliniuliza kwa sauti iliyoniambia niseme kila kitu nisifiche kwani alikuwa akitamani sana kusikia kila tukio lililokuwa limetokea ndotoni kuhusu yeye.
“Ndoto ya ajabu kweli.”
“Ndoto gani?”
“Nimeota tupo ufukweni mwa bahari lakini tukiwa katika mavazi ya harusi ni wazi kuwa tulikuwa tumefunga ndoa. Wakati huo tulikuwa tukitembea na kwa mbele yetu tuliwaona watoto wawili, mmoja wakike na mwingine wakiume wakiwa wanatukimbilia huku wakituita majina baba na mama, walipotufikia ghafla! nikashtuka,” nilimwambia maneno ambayo hayakuwa na ukweli hata kidogo, nilikuwa nikimdanganya na kweli aliwezakudanganyika.
“Dick unasema kweli?”
“Siyo nasema kweli ni ndoto hiyo.”
“Kweli umeniota hivyo?”
“Ndiyo yaani hata sijui hiyo ndoto ina maana gani?”
“Mmmh!”
“Nini?”
“Nikuulize kitu?”
“Ndiyo niulize.”
“Embu niambie huna mpenzi kweli?”
“Hapana kwanini umeniuliza hivyo?”
“Nataka kujua tu!”
“Helena nimeshakuambia sina mpenzi wala sijaoa au unataka nijibandike bango kubwa halafu niliandike “JAMANI SINA MPENZI” ndiyo uamini?”
“Unajua nini?”
“Niiambie.”
“Hiyo ndoto uliyoiota inaendana na ndoto ambayo na mimi nimeiota kuhusu wewe.”
“Umeniota nimekufa au?”
“Hahaha! Hapana unajua mara yangu ya kwanza kuzungumza na wewe nilihisi kitu cha tofauti kikiningia, nilijikuta nikiwa na hisia na wewe hata kabla ya kukuona na baada ya kuzungumza na wewe kiukweli nilijikuta nikianza kujiwa na ndoto kama hiyo uliyoniambia. Sijui hata inamaana gani?”
“Hujui nini sasa hapo.”
“Hizo ndoto.”
“Kwani wewe umeotaje?”
“Naota tu kwamba tupo karibu tukiwa katika mapenzi,” aliniambia kisha ukimya kati yetu ukatawala kwa muda, nilifahamu hakukuwa na habari nyinginze iliyoweza kutushawishi tuendelee kuzungumza, tukibaki kimya kawa dakika chache mpaka pale Helena aliponiita na nikamuitikia.
“Hivi unataka kuniambia huna mpenzi kabisa?”
“Mbona unalirudia hilo swali?”
“Nina maana yangu kukuuliza hivyo.”
“Maana gani?”
“Nijibu kwanza.”
“Ndiyo mimi nipo Single huoni hata chumba changu kipo single?” nilimwambia kisha nikamuuliza swali la kimzaha, alicheka kisha akaniambia.
“Mbona nikikutazama hufananii kabisa na uyasemayo?” aliniuliza swali ambalo lilinifanya niache ule ubize ambao nilikuwa nao kwenye simu yangu kisha nikamtazama mtazamo ambao sikuwa nikifaidi lolote katika sura yake, alikuwa wa kawaida sana.
“Sifananii kivipi?” nilimuuliza.
“Nikikuangalia jinsi ulivyo halafu unavyoniambia kuwa huna mpenzi nahisi kama unanidanganya.”
“Unahisi au unaona?”
“Vyote Dick yani una kila sifa au kitu anachokihitaji mwanamke na tena ukichanganya na huo uandishi wako wa machombezo ndiyo kabisa huwezi kukosa mpenzi,” aliniambia huku akinitazama. Maneno yake yalikuwa na ukweli ndani yake.
“Mbona mimi sioni chochote?”
“Huwezi kuona Dick mimi ndiye ambaye naona.”
“Unaona nini?”
“Una kila kitu ambacho mwanamke anakihitaji.”
“Kwani wewe huna mpenzi?”
“Hapana mimi nilishaachana na mpenzi wangu muda mrefu sana.”
“Miaka mingapi?”
“Huu ni mwaka wa pili sasa tangu nilipoweza kuachana naye.”
“Tatizo lilikuwa ni nini?”
“Alikuwa hajatulia, alikuwa akinichanganya na wanawake kibaya zaidi alikuwa akitembea na rafiki yangu, nilishindwa kuvumilia yote hayo hivyo nikaamua kuachana naye.”
“Huyo mke mwenzako yuko wapi?”
“Mke mwenzangu?”
“Ah! Sio mke huyo rafiki yako.”
“Sijui hata alipo kwa sasa kwani tangu nilipogombana na mpenzi wangu na huo ndiyo ulikuwa mwisho wa urafiki wetu.”
“Mmh! Pole sana.”
“Asante.”
“Hayo ndiyo mapenzi yalivyo ila usiupe moyo nafasi ya kukumbuka ya nyuma kwani utazidi kuumiza bila sababu za msingi.”
“Ni kweli Dick ila..”
“Ila nini?”
“Kuna kitu kinanitatiza.”
“Kitu gani?”
“Nilikuwa naomba kama hutojali?”
“Unaomba nini?”
“Dick.”
“Naam.”
“Nimeshindwa kuzizuia hisia zangu kwako, nakupenda Dick naomba uwe mpenzi wangu. Nina miaka miwili simjui mwanaume wala sijawahi kufikiria kufanya mapenzi na mwanaume yeyote, wote nilikuwa nikiwaona ni waongo lakini tangu nimekufahamu nimejikuta nakuwa na hisia na wewe tena za dhati. Naomba unifanye Dick nimeshindwa kujizuia hisia zangu kwako,” aliniambia kisha akanisogelea, alikuwa yupo tayari kufanya mapenzi na mimi, nilikumbuka kuwa ni katika siku hiyohiyo ambayo niliweza kupanga na Evadia kwenda naye Mlimani City. Alipanga kunipitia jioni. Wakati huo ilikuwa ni majira ya saa tano za asubuhi, kama alivyotaka na mimi niliamua kumpa.

Je, nini kitaendelea katika Chombezo hili pendwa?
 
NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-25
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278
Age:18+
Ilipoishia.....
“Nimeshindwa kuzizuia hisia zangu kwako, nakupenda Dick naomba uwe mpenzi wangu. Nina miaka miwili simjui mwanaume wala sijawahi kufikiria kufanya mapenzi na mwanaume yeyote, wote nilikuwa nikiwaona ni waongo lakini tangu nimekufahamu nimejikuta nakuwa na hisia na wewe tena za dhati. Naomba unifanye Dick nimeshindwa kujizuia hisia zangu kwako,” aliniambia kisha akanisogelea, alikuwa yupo tayari kufanya mapenzi na mimi, nilikumbuka kuwa ni katika siku hiyohiyo ambayo niliweza kupanga na Evadia kwenda naye Mlimani City. Alipanga kunipitia jioni. Wakati huo ilikuwa ni majira ya saa tano za asubuhi, kama alivyotaka na mimi niliamua kumpa.
SONGA NAYO.....
Nilimtazama kwa macho ya kimatamanio, alikuwa akinirembulia bila shaka hamu zilikuwa zimemkolea, alishindwa kujizuia mwisho akanikumbatia kwa nguvu. Sikutaka kujifanya ajuza wa mchezo ule nilikuwa mpole kidogo huku nikimpa nafasi azidi kunionyeshe ufundi aliyokuwa nao.
Aliponikumbatia ajabu hakuwa akifanya lolote lile, alibaki amening’ang’ania tu kama ruba. Alionekana kuwa muoga wa kucheza mchezo ule japo yeye ndiye aliyetaka kucheza lakini kiupande mwingine alikuwa muoga.
Nilianza kuutumia mikono yangu kutalii sehemu mbalimbali za mwili wake, kila nilipokuwa nikimshika alikuwa akisisimka, kuna muda alikuwa akiruka huku akiwa amening’ang’ania, hakutaka kuniachia hata kidogo.
Nilianza kuzishika zile sehemu ambazo niliamini zilikuwa zikimpandisha hamu, nilizitomasa huku ulimi wangu nikiuzungusha taratibu shingoni mwake, alizidi kusisimka vilivyo.
“Mmmmmmh Aaaaayiiiiiiii mmmmmhh Aaaaaaaah,” alianza kulalamika milalamo ya kimahaba, nilifahamu alikuwa akiupata msisimko na mimi sikutaka kuacha asiendelee kuupata nilizidi kumtomasa mpaka pale uvumilivu ulipomshinda.
Nilishangaa nikimuona akiamka na kuanza kuzichojoa nguo zake mwenyewe bila kuomba msaada wangu, alipomaliza kuzichojoa alinirudia na mimi sikutaka kupoteza muda nilizichojoa nguo zangu. Tukabaki watupu kama tulivyokuwa tumezaliwa.
Nilipomtazama alionekana kuwa na aibu lakini haikuweza kuzuia tusifanye kile kitendo tulichokuwa tumedhamiria kukifanya. Hakutaka kubaki nyuma kwa kuniacha nizidi kumuonyesha mbwembwe nilizokuwa nazo katika kucheza na mwili wake, aliamua kujitoa ufahamu kisha akanifuata na kunilaza kitandani, kitendo alichokuwa akikifanya kwa wakati huo ni kuanza kuilamba koni yangu.
Nilianza kuhisi mihemko ya ajabu ikianza kunitawala, mikono yangu haikutulia mara nilikuwa nikimshika kichwani, mara kiunoni yaani ilikuwa ni vurugu mechi mfululizo. Helena hakuacha alizidi kuilamba koni yangu mpaka pale na nilipomtoa na kumlaza kitandani. Nilimtanua mapaja yake na sasa macho yangu yalitazamana na uwanja wa malavidavi, uwanja ambao umefanya watu wengi mpaka leo hii wamekuwa maadui, wanachukiana huku wengine wakidiriki kuuana kwa kulinda uwanja huo usiweze kuchafuliwa.
Ilikuwa ni kama moja ya filamu ya ngono ambayo nilikuwa nikiicheza kwa wakati huo, akili yangu ilinituma nizame chumvini lakini nafsi ilisita, nikadondokwa na ute wa uchu wa kula vya utamu lakini ni kama vile nilikuwa nikizidi kujiumiza kwani kama ni mfungwa tayari alikuwa mikononi mwa polisi, sikutakiwa kuwa na papara hata kidogo.
“Dick hatutumii kinga?” aliniuliza Helena kwa sauti legevu iliyodhirisha wazi kuwa tayari ameshapagawa.
Nilizikumbuka zana na haraka nikichomoka na kwenda kuzichukua kwenye suruali yangu ambayo ilikuwa chini kwa wakati huo, nilipozichukua nilirejea kitandani na sasa nilimpa kazi Helena ya kuifungua moja wapo na kunivisha sare tayari kwa mechi kali iliyokuwa inatarajiwa kucheza muda mfupi.
Alifanya kama nilivyotaka na baada ya kunivika jezi kitendo kilichofuata ni kuzama dimbani.
“Oooooh aaaaaaaaayiiiiishhhiiiiiiiii,” alitokwa na miguno baada ya kumzamisha mchezaji wangu golini kwa pupa, nilipomtazama alikuwa ameikunja sura yake huku mdomo wake ukiwa wazi akijaribu kuutoa ulimi wake ambao ulikuwa na mapepe ya kutoka na kuingia ndani.
“Dick taratibu utaniumiza si nimekuambia nina muda mrefu sijafanya mapenzi,” aliniambia kwa sauti yake legevu huku macho yake yakirembua rembuo la kimahaba kabisa, alikuwa akipata msisimko kwa wakati huo.
Nilifanya kama alivyotaka, sikutaka kumchezesha mchezaji wangu rafu ambaye tayari alikuwa ameshazama uwanjani, niliamua kutumia busara za kikubwa ili kuhofia kufutiwa mechi kama si kuondolea kabisa mchezoni.
Tarabibu nilianza kucheza na mchezaji wangu ambaye alikuwa laini kupita kila kona ya lango la timu pinzani ambayo ilikuwa kama imeshaamza kuzidiwa.
“Aaaaaah oooooooh aaaaaaah auuuuuuuh,” alizidi kutoa miguno huku akiwa amening’ang’ania.
Nilianza kuongeza kasi ya kumchezesha mchezaji wangu ambaye sikutaka azidiwe hata kidogo, kila kona niliyokuwa nikimpitisha alizidi kuonekana kuwa bora katika uchezaji wake.
“Aaaaaaaah asante Dick ooooooh auuuuuuu aishhiiiiiii tayariiiii,” alisema Helena huku akiwa amening’ang’ania vilivyo ni hapa ambapo na mimi nilikuwa tayari nimeshafunga bao moja, tulikuwa sare ya mabao katika mechi ile ambayo mdhamini alikuwa ni Mimi na Helena.
Nilichomoa mchezaji wanguambaye tayari alikuwa ameloa kwa majasho kisha nikamvisha jezi nyingine. Sikutaka kupumzika niliamua kumzamisha tena uwanjani.
Helena hakutaka kuamini hata kidogo, alidhani kutoka kwangu nje pengine ningeweza kupumzika kwa kuvuta pumzi na kuchukua nguvu nyingine, nilifahamu alishangazwa na kitendo kile, hata hivyo sikutaka niendelee kumpa nafasi ya kuzidi kushangaa bali nilichokuwa nimepanga ni kuzidi kumuonyesha urijali wangu hasa katika kucheza mchezo ule ambao naweza kusema ndiyo kiungo kikubwa katika suala zima la mapenzi na ndoa kwa ujumla na endapo kama kitaweza kukosekana kiungo hicho basi jua mapenzi au ndoa yako itakuwa katika wakati mgumu, wakati wakuachwa dailema, mwisho wa siku ukabaki ukilia na moyo wako usipate wa kukufuta machozi.
Tuliamua kubadilisha staili kutoka katika staili ya kifo cha mende na sasa tulikuwa katika mbuzi kagoma kwenda. Nilimlaza vizuri kifudifudi huku macho yangu yakipata wasaa wa kuweza kuutazama mgongo wake, sikutaka kujishughulisha sana katika kuupasa mgongo wake bali nilikuwa bize kuichanua miguu yake huku nikimbinua usawa wa kiuno chake na sasa nilikuwa radhi kumuingiza mchezaji wangu.
“Aaaaaaah,” alitokwa na mgumo ambao ulinipa taarifa kuwa tayari mchezaji wangu alikuwa ameingia mahala pake.
Nilianza kuwa kama namuingiza na kumtoa taratibu huku mimi mwenyewe nikianza kupata msisimko, nilikuwa nikihisi utamu wa kikubwa ambao naamini bila shaka kama na wewe uliwahi kucheza mchezo huu basi utakuwa umeshanielewa ni nini ambacho nakimaanisha.
“Aaaaaaaaaah Dick oooooooooh hivyo hivyo aaaaaaaaaah,” alizidi kuniambia kimlalamo huku mikono yake akijaribu kuileta kwa nyuma kwa la kupita sapoti ya kunivuta na kunitoa nje kama lilivyokuwa zoezi langu.
Niliendelea kufanya hivyo mpaka pale mchezaji wangu alipochafuka na kuanza kulegea, wakati huo Helena alikuwa ameshajifunga mabao mengi yasiyokuwa hata na idadi, alikuwa amechoka.
“Dick tupumzike,” aliniambia mara baada ya kumtoa mchezaji wangu golini mwake. Alikuwa ameloa vilivyo.
Tuliamua kupumzika na huo ndiyo ulikuwa mwisho wa mechi yetu, sikutaka kuendelea tena na mchezo, nilipoitazama saa ilikuwa ni saa nane na robo, baada ya kupita nusu saa nilimwambia aende kuoga ili aweze kuondoka, nilimdanganya kuwa kuna sehemu muhimu nilitakiwa kwenda kwa wakati ule. Aliweza kufanya kama nilivyomwambia na mara baada ya kuoga aliondoka huku akiniacha nyuma nikijifanya kuzuga kama mtu ambaye nilikuwa nataka kwenda kuoga, alipoondoka nilijitupa kitandani, nilikuwa nimechoka sana. Nilikumbuka asubuhi sikuwa nimekunywa chai wala kula kitu chochote kile, nguvu zilikuwa zimeanza kuniishia mwilini, kila nilipokuwa nataka kuamka nilishindwa, nilikuwa nikitetemeka, nilihisi kufa kwa wakati huo.
Je, ni nini kitaendelea?
Usikose sehemu ijayo ya Chombezo hili pendwa.
 
NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-26
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278

Age:18+

Ilipoishia....

Aliweza kufanya kama nilivyomwambia na mara baada ya kuoga aliondoka huku akiniacha nyuma nikijifanya kuzuga kama mtu ambaye nilikuwa nataka kwenda kuoga, alipoondoka nilijitupa kitandani, nilikuwa nimechoka sana. Nilikumbuka asubuhi sikuwa nimekunywa chai wala kula kitu chochote kile, nguvu zilikuwa zimeanza kuniishia mwilini, kila nilipokuwa nataka kuamka nilishindwa, nilikuwa nikitetemeka, nilihisi kufa kwa wakati huo.

SONGA NAYO.....

Ama kweli mapenzi ni mchezo hatari sana, yanaweza kukutoa uhai usipokuwa makini. Nilikuwa hoi nisijue ni nini nifanye kwa wakati ule. Nilikuwa nimelala huku akili yangu yote ikifiria chakula, sikuwa nimekula chochote tangu nilipokuwa nimeamka asubuhi na kibaya zaidi nilikuwa nimefanya mapenzi. Kuna muda nilikuwa nikimlaumu Helena kuwa ni kwanini alikubali kuja na kosa kubwa alilolifanya ni kunikubalia kufanya naye mapenzi lakini lawama zangu hazikuweza kubadili chochote kwani ndiyo kwanza njaa ilizidi kuniuma, nilikuwa nikihisi kama vitu vipititavita tumboni na kunikwarua, hakika nilikuwa nimepatikana.
Nilitamani kuutafuta usingizi huku nikiamini wenda nitakapolala nikiamka sitahisi njaa tena lakini nilikuwa nikijidanganya. Kila nilipokuwa nikijaribu kufanya hivyo ndiyo kwanza macho yangu yalibaki yakitalii sehemu mbalimbali ya chumba changu. Nilizidi kuhisi kuchoka kusikomithilika.
“Dah!” nilijikuta nikisema neno hili kwa sauti ya kulalamika, wakati huo nilikuwa nikigaragara pale kitandani kama mtu ambaye alikuwa anakaribia kukata roho.
Kuendelea kulalamika pale kitandani huku nikizidi kukilalamikia chakula ambacho ilikuwa ni vigumu kuweza kuletewa nilihisi kama nilikuwa nikiufanya ujinga ambao ungeweza kunigharimu baadae, nilijikaza kiume, nikaamka, nikavaa nguo kisha nikatoka na kwenda kutafuta chakula kwa mamantilie ambaye hakuwa mbali na pale nilipokuwa nikiishi. Nilipomaliza kula niliweza kurudi katika chumba changu huku nikiwa nina nguvu mpya. Niliutumia muda huo kwa ajili ya kupumzika huku nikiisubiria jioni ambayo nilipanga kutoka na Evadia.
Moyo wangu ulikuwa unashahuku ya kutaka kumuona msichana huyo ambaye mpaka kufikia muda huo sikuwa nafahamu ni nini ambacho alikuwa amedhamiria, kuendelea kusubiri kukutana naye kulizidi kuniweka katika wakati wa furaha muda wote. Sikumbuki ni nini kilitokea ila nilijikuta nikiamka na kukutana na simu ya Evadia, haraka niliweza kupokea.
“Uko wapi?” aliniuliza simuni.
“Nyumbani,” nilimjibu.
“Umeshajiandaa maana ndiyo nakaribia hivyo.”
“Umefika wapi?”
“Nipo kona hapa.”
“Sawa ukifika utakuta nipo tayari nakusubiria.”
“Haya,” alinijibu kisha akakata simu.
Niliutumia muda huo kwa ajili ya kujiandaa, sikumbuki vizuri kama nilioga ama lah! ila ninachokikumbuka ni kuwa baada ya dakika kama kumi nilikuwa tayari nimejiandaa kwa kila kitu, nilienda kituoni kwa lengo la kumsubiria na haikuchukua dakika nyingi Evadia aliweza kuwasili, nilipanda kisha safari ikaanzia hapo ya kuelekea Mlimani City.
Niliendelea kujiuliza kuwa huko Mlimani City tulikuwa tukienda kufanya mazugumzo gani ambayo alikuwa ameniambia, sikuweza kupata jibu lolote lile niliamua kumuuliza, nilipomtazama alikuwa akitabasamu.
“Kwani huku Mlimani tunaenda kufanya nini?” nilimuuliza.
“Kuna sehemu nataka twende wote halafu pia nataka tutafute mahali tuongee au umeshasahau?” alinijibu kwa kuniuliza swali lililonifanya nitabasamu.
“Mbona unacheka?” aliniuliza.
“Hapana nakumbuka,” nilimjibu kisha ukimya wa muda ukatutawala.
Tukizidi kuvipita vituo mbalimbali na sasa tulikuwa tumeshafika Mlimani City.
“Vipi?” aliniuliza mara baada ya kuegesha gari na wote tukashuka.
“Poa,” nilimjibu huku nikimtazama kwa macho ya kumuuliza kuwa huku tumekuja kuzungumza nini?
Sikutaka kujifanya mjuaji sana wala mpangaji wa mambo mengi kwa wakati ule, niliamua kubaki kimya huku nikimsikiliza na kumfuata popote pale alipokuwa anataka kwenda. Macho yangu hayakukoma kumkagua nywele zake alizokuwa amesuka, zilikuwa ni za gharama kubwa sana, T-shirt fupi iliyokuwa imepanda kwa juu upande wa nyuma pamoja ile suruali ya blue crazy aliyokuwa ameivaa, iliyokuwa imembana vyema huku mapaja yake yakibaki kuwa wazi, bila shaka yalikuwa yakitafuta hewa kwani yakikwisha choshwa na kubanwa na suruali ile.
Kila hatua aliyokuwa akiipiga na mimi nilikuwa nyuma yake, tuliingia ndani, tukawa tunazunguka sehemu mbalimbali huku safari ile nikizidi kuiona kuwa haikuwa na umaana hata kidogo. Kuna muda nilikuwa nikitamani kumtukana Evadia hapa ni pale ambapo tulikuwa tumeingia Super Markert kisha akawa kama anayechagua kitu kwa lengo la kununua lakini aliweza kuacha. Kitendo cha kumfuata nyuma nyuma kama mkia wa ng’ombe kisha kuingia mara Mr. Price, Shopping Mall, Game, Nakumati halafu mara tunatoka bila kutoka na chochote hakika kilizidi kunikera mno wala siwezi kuficha kwa hilo.
“Ina maana tumekuja kuzunguka huku kama wendawazimu au tumekuja kwa ajili ya mazungumzo?” niliamua kumuuliza kwa ghadhabu baada ya kuzunguka kila kona bila kuona faida yoyote ile.
“Kuna zawadi namtafutia rafiki yangu ila sijui hata nimnunulie nini jamani yani mpaka napagawa mimi,” alinijibu huku akijichekesha, wakati huo nilikuwa nimeuweka ukauzu fulani hivi, kwa kweli nilikuwa nimeshaanza kuchoka.
“Zawadi ya nini?” nilimuuliza.
“Zawadi tu.”
“Kwani anaolewa?”
“Hapana ni zawadi ya Birth day yake.”
“Kwahiyo umenileta huku ili nikubebee hiyo zawadi au tuzungumze mbona unanichanganya sasa?”
“Hahaha! Dick na wewe umeshaanza vituko vyako.”
“Sio nimeshaanza sasa wewe tangu tumefika hapa unanizungusha tu! kama vile mwendawazimu.”
“Basi tutafute sehemu tukae ili tuongee.”
“Wapi sasa?”
“Huku,” alinijibu kisha tukaongozana mpaka Samaki Samaki, tulipofika tuliweza kukaa, tukaagiza chakula na kuanza kula. Nilikuwa nikimtazama tu muda wote.
“Dick nikuambie kitu?” aliniuliza huku akiendelea kula.
“Niambie,” nilimjibu.
“Kwanza naomba usahau yale yote yaliyotokea siku ile ni hasira tu zilinipelekea mpaka mimi nikawa vile,” aliniambia kwa sauti iliyokuwa ikimaanisha kile alichokuwa akikizungumza kwa wakati ule.
“Kweli?” nilimuuliza.
“Ndiyo Dick yani sijui hata nikuambie nini?”
“Niambie tu wala usijali lolote.”
“Kwa kifupi sikutegemea kama ningeweza kufanya mapenzi na wewe yani ulinishtukiza kwa kweli,” aliniambia huku akiyaelekeza macho yake chini kwa aibu.
“Nafahamu hilo Evadia na ndiyo maana nilikuomba msamaha au bado haujanisamehe?” nilimuuliza huku nikikisitisha kijiko kwenda mdomoni mwangu, nilikirudisha kwenye sahani.
“Usijali Dick yameshaisha hayo ila kuna kitu kinanisumbua moyoni.”
“Kitu gani?”
“Nakupenda.”
“Nakupenda pia.”
“Kweli Dick.”
“Nashindwa kujua nifanye nini ili uamini ila we niamini hivyohivyo hata kwa kuigiza.”
“Hahaha! Sawa ila siku ile mmmh!”
“Nini?”
“Amna,” alisema kisha wote tukajikuta tukicheka bila kutarajia. Nakumbuka sikuacha kumsifia, nilimsifia juu ya kupendeza kwake na uzuri wake pia hata hivyo sikuacha kumchombeza kama ilivyokuwa kawaida yangu.
“Nikuombe kitu mpenzi?” aliniuliza wakati ambao tulikuwa tunatoka pale Samaki Samaki tukielekea sehemu gari alipokuwa ameliegesha. Giza lilikuwa tayari limeshaingia kwa wakati huo.
“Ndiyo,” nilimjibu.
“Utakubali?” aliniuliza tena.
“Ndiyo nitakubali sasa kwanini nikatae wakati umeshakuwa Malkia Wangu,” nilimjibu huku mkono wangu wa kushoto ukiwa umekishikilia kiuno chake.
“Naomba kesho unisindikize kwenye Birth Day ya rafiki yangu.”
“Sawa haina tatizo,” nilimjibu jibu ambalo lilimfanya afurahi kupita kawaida, alinikumbatia kumbato alilolisindikiza na busu zito katika shingo yangu.
Tulipanda kwenye gari na breki ya kwanza ilikuwa ni kunirudisha nyumbani kwangu halafu ndipo hapo ambapo aliianza safari yake ya kurudi nyumbani kwao Tabata alipokuwa akiishi yeye pamoja na wazazi wake.
Labda nikuambie kitu ni katika hiyo sherehe ya siku ya kuzaliwa rafiki yake ambayo Evadia aliweza kuniomba nimsindikize, nilikutana na Irine Kisoka msichana ambaye alitokea kunipa umaarufu nisioutegemea katika maisha yangu. Ulikuwa ni zaidi ya huu umaarufu wangu niliyokuwa nao wa kuandika machombezo mitandaoni.

Je, ni nini kitaendelea katika Chombezo hili pendwa?
Huyo Irine Kisoka ni nani?
Na kwanini Dick anasema alimpa umaarufu asioutegemea?
Ni umaarufu gani huo?
Na vipi kuhusu Precious na Helena?

Tukutane Kesho mahali hapahapa.
 
NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-27
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278

Age:18+

Nilikuwa nikikitumia kipaji changu vibaya, nilikuwa nikiutumia umaarufu wangu katika kuwateka wanawake ambao walikuwa wakijirahisisha kutokana na sifa walizokuwa wakinimwagia katika umahiri wangu wa kuandika machombezo mitandaoni.
Kila siku orodha ya wanawake ilizidi kuongezeka, hakukuwa na msichana ambaye alinifuata kisha nikamuacha salama, wote nilitembea nao. Nakumbuka niliwahi kukutana na wanawake wengi sana, kati yao walikuwepo wale wagumu ambao walinisumbua sana lakini pia walikuwepo wale wasichana waliyojirahisisha na mwisho wa siku niliweza kufanya nao mapenzi. Kwa macho ya harakaharaka kama ungepata bahati ya kuniona najua usingeamini kama kweli mimi ndiye yule ambaye nilikuwa nikiwabadilisha wanawake kama nguo, usingeamini kama mimi ndiye yule ambaye nilikuwa nikitembea na wake za watu, niliyekuwa nikiwalaghai wasichana waliyokuwa wakionyesha ugumu na mwisho wa siku walijikuta wakiingia mikononi mwangu na kufanya nao mapenzi. Hakukuwa na utofauti kati ya maisha ya machombezo niliyokuwa nikiyaandika na maisha yangu halisi. Naweza kusema nilikuwa nikiishi katika maisha hayo ya chombezo ambayo yalitawaliwa na mapenzi kwa kiasi kikubwa.
“Hivi utapunguza lini huo uhuni wako?” aliniuliza Mick simuni nilipompigia na kumsimulia kila kitu kilichokuwa kimetokea usiku ule kuhusu mimi na Evadia.
“Nipunguze nini sasa,” nilimjibu kisha nikacheka sana.
“Wewe cheka ila siku yako moja,” aliniambia Mick.
“Siku yangu ipi sasa?”
“Wewe unaona ufahari kubadilisha wanawake kama nguo ila kuna siku moja itafika utajuta kuzaliwa mwanaume.”
“Hahaha! Aisee Mick sijui kama kuna siku itafika nitapunguza uhuni yani kila siku watoto wazuri wanazidi kuzaliwa na mimi ndo kwanza nazidi kupata hisia za kuandika machombezo mazuri ili yawateke.”
“Unaona ufahari,” aliniambia Mick.
Kwa kweli nilizidi kujiona hodari katika mchezo huu wa kuwabadili wasichana kila kukicha. Mtaani pale Tandale nilipokuwa nikiishi nilikwishaibua zogo kila kona walikuwa wakinizungumzia mimi.
Kitendo nilichokuwa nikikifanya cha kuwabadili wasichana kiliwakera mno hasa baadhi ya akina mama waliyokuwa wakiishi mtaa ule, waliona kama nilikuwa nikiwadhalilisha. Hilo halikuweza kuniumiza kichwa hata kidogo sikujali lawama na maneno waliyokuwa wakiniambia kuhusu tabia yangu. Akili yangu yote niliamua kuiwekeza katika kuandika Machombezo na kuwasiliana na wanawake waliyokuwa wakijipendekeza, niliamini kipaji ndicho ambacho kilikuwa kikiniweka mjini, sikuwa na kazi nyingine zaidi ya kuandika machombezo ambayo kwa kiasi fulani yalikuwa yakinilipa. Kwanini sasa nisiwekeze akili yangu huko? Hilo ndilo lilikuwa swali langu kubwa nililokuwa nikiliuliza kila ambapo nilikuwa nikifuatwa na kuulizwa juu ya mambo niliyokuwa nikiyafanya.
Nilipomaliza kuwailiana na Mick niliamua kumtafuta Precious, Helena pamoja na wanawake wengine na wote niliweza kuwasiliana nao kwa lengo la kuwajulia hali tu!.
Kwa kweli nilijiona kuwa kidume tena kidume haswaa! Ufahari wangu ilikuwa ni kuona msichana anakuja kwangu kwa lengo la kusifia chombezo langu kisha nakuwa na mahusiano naye ya kimapenzi. Haikuwa kazi ngumu sana, nilikuwa nikikitumia kipaji changu kuwa kama muhimili katika kunirahisishia hilo.
****
“Dick mpenzi nimeshafika muda mrefu home.” alinitumia ujumbe mfupi Evadia kunijulisha kuwa alikuwa ameshafika nyumbani kwao.
“Pole sana malkia wangu.” nilimjibu na huo ndiyo ulikua muendelezo wa chatting zetu.
“Asante honey unafanyaje?”
“Nimekaa tu kitandani akili yangu inakuwaza wewe muda wote.”
“Unaniwazia nini jomoni.”
“Mambo mengi sana.”
“Kama yapi?”
“Kwanza unafanyaje?”
“Nipo kitandani tu nimejilaza kwani vipi?” aliniuliza swali ambalo sikutaka kuhangaika nalo kumjibu. Nililipotezea.
“Umelala na nani?”
“Peke yangu.”
“Haya tuendelee.”
“Mmh! Ndiyo wivu au?”
“Sasa ulitaka wivu wangu nikaupeleke wapi?”
“Hahaha! Baby.”
“Naam.”
“Nakupenda sana.”
“Nakupenda pia.”
“Kuna kitu nataka nikuombe.”
“Kitu gani?”
“Nataka ulitumie jina langu katika moja ya chombezo lako zuriii.”
“Wala usijali mpenzi ondoa shaka katika hilo.”
“Nitafurahi.”
“Kwahiyo kesho inakuaje?”
“Kuhusu nini?”
“Ina maana umesahau?”
“Nikumbushe baby.”
“Kuhusu kwenda Loliondo.”
“Hahahaha!”
“Unacheka nini?”
“Nimekumbuka.”
“Umekumbuka nini?”
“Kuhusu Party?”
“Ndiyo.”
“Jamani ndiyo useme kwenda Loliondo?”
“Ndiyo uniambie sasa inafanyika muda gani na sehemu gani?”
“Itafanyika usiku pale Club Africado Mwananyamala.”
“Sawa”
“Ila baby nataka kesho niitumie pia kukutambulisha kwa marafiki zangu of course nimeshawaeleza kuhusu wewe na wanatamani wakuone.”
“Umewaeleza nini kuhusu mimi?”
“Jinsi ninavyokupenda,” alinijibu Evadia kisha ghafla simu yangu ikawa inaita, ilikuwa ni namba ngeni iliyokuwa ikinipigia kwa wakati huo.

Je, ni nini kitaendelea katika chombezo hili pendwa?
 
NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-28
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278

Age:18+

ILIPOISHIA......

“Nimekumbuka.”
“Umekumbuka nini?”
“Kuhusu Party?”
“Ndiyo.”
“Jamani ndiyo useme kwenda Loliondo?”
“Ndiyo uniambie sasa inafanyikia muda gani na sehemu gani?”
“Itafanyika usiku pale Club Africado Mwananyamala.”
“Sawa”
“Ila baby nataka kesho niitumie pia kukutambulisha kwa marafiki zangu of course nimeshawaeleza kuhusu wewe na wanatamani wakuone.”
“Umewaeleza nini kuhusu mimi?”
“Jinsi ninavyokupenda,” alinijibu Evadia kisha ghafla! simu yangu ikawa inaita, ilikuwa ni namba ngeni iliyokuwa ikinipigia kwa wakati huo.

SONGA NAYO......

“Hallo,” nilisema mara baada ya kupokea, ajabu upande wa pili sikuweza kupokea jibu lolote, ilikuwa ni kama nilikuwa nikijiongelea peke yangu kwani hakukuwa na sauti ya mtu ambaye aliweza kunijibu lolote kwa wakati ule.
Ghafla! mpigaji wa simu alikata, kitendo ambacho kilinifanya niingiwe na hasira sana. Nilihisi kama aliyenipigia simu alikuwa amenitukana matusi ya nguoni, nilichoamua ni kuangalia salio langu na kuangalia kama nilikuwa nimebakiza dakika za kuweza mpigia lakini nilishindwa, sikuwa na salio kwa wakati ule, hilo lilizidi kuniweka katika wakati wa maswali nisijue ni nani ambaye alikuwa amenipigia simu hasa katika usiku kama ule.
Niliendelea kuchat na Evadia mpaka pale ambapo ile namba iliweza kunipigia tena. Safari hii sikutaka kupokea kabisa niliiacha ikaita mpaka ikakata, lakini mpigaji wa simu ile alionekana kutokata tama, aliendelea kupiga tena zaidi na zaidi mpaka pale nilipoamua kupokea, hapa ilikuwa ni baada ya kupigiwa mara nne bila kupokea.
“Hallo,” nilisema kwa sauti ya ghadhabu huku nikionekana kukasirishwa mno.
“Samahani nazungumza na Dick?” ilisikika sauti ya kike ikiniuliza simuni, ilikuwa ni sauti nyororo ambayo iligubikwa na kila aina ya nakshinakshi za kuyateka masikio ya mwanaume rijali. Sauti ile ilipenya masikioni mwangu vyema na kuzitetemesha ngoma za masikio yangu lengwa na ghafla! ile hasira niliyokuwa nayo nilishangaa ikitoweka na kutokomea kusikojulikana. Nilikuwa mpya kabisa utadhani si yule ambaye nilikuwa nimechukia dakika mbili zilizokuwa zimepita.
“Yes, ndiyo mimi sijui nazungumza na nani mwenzangu?” nilisema kwa sauti ya upole, kuna muda nilikuwa nikiigiza kuwa ya kibusara yote haya yalitokea baada ya kuisikia sauti ya mtoto wa kike aliyekuwa amenipigia, moyoni mwangu nilikuwa na shahuku ya kutaka kusikia walau neno lolote kuhusu nia na madhumuni ya simu yake, nilikuwa kama zezeta yani pindi niisikiapo sauti ya mwanamke huwa kuna vitu nahisi vinaongezeka mwilini mwangu.
“Oooh, mimi naitwa Latifa ni shabiki yako nimeona nikupigie simu maana nimeshindwa kabisa kuvumilia,” aliniambia Latifa baada ya kujitambulisha.
“Umeshindwa kuvumilia nini jamani?” nilimuuliza swali la kinafki, akilini nilikwisha fahamu kwanini alikuwa ameniambia hivyo lakini niliamua kumuuliza ili kuzidi kuleta msongamano wa mazungumzo.
“Unaandika machombezo mazuri sana,” aliniambia.
“Asante sana Latifa.”
“Ok.”
“Hivi unaishi wapi vile?”
“Mimi niko Tabora.”
“Tabora?”
“Ndiyo.”
“Sawa.”
“Karibu kwetu.”
“Asante,” nilimjibu na huo ndiyo ukawa mwisho wa mazungumzo yetu.
Ngoja nikwambie kitu ndugu yangu, katika maisha yangu nilikuwa na wasichana wengi sana, orodha yao ilikuwa ikijipanga kila siku, wala siwezi kukataa hili nina sababu za msingi za kukueleza haya, wapo baadhi ya wasichana waliyokuwa wakinifuata inbox na kuomba kuanzisha mahusiano ya kimapenzi, kwa kweli kama ilivyokuwa kawaida yangu wote niliweza kuwakubalia na nilikuwa makini katika kuwapanga ili siku moja nisiweze kuumbuka.
Kati ya hao wasichana ambao walikuwa wakinifuata kwa lengo la urafiki na mwisho wa siku tukawa wapenzi, wapo ambao walikuwa ni wa mikoani, ilikuwa ni kazi kubwa mno kuweza kuonana, mapenzi yetu yaliishia mitandaoni tu, nilikuwa nikiutumia muda wangu mwingi katika kuwasiliana nao humo kupitia mtandao wa Facebook, WhatsApp pamoja na Instagram hata pale lilipofikia suala la kufanya mapenzi niliamua kufanya nao mapenzi kwa njia ya simu, mapenzi ambayo naweza kujitapa kuwa nilikuwa kinara katika kuyafanya na wasichana wote ambao niliwahi kufanya nao hawakuweza kuamini kama kweli nilikuwa hodari katika hilo.
Ningeweza kusimulia japo kwa ufupi njia ambazo nilikuwa nikizitumia katika kufanya mapenzi kwa njia ya simu lakini nasikitika kuwa sitaweza kuzielezea mahali hapa kwa kuhofia usalama wa watoto wetu, naamini chombezo langu hili litasomwa na watu wengi sana, wakubwa na hata kwa wadogo pia, nisingependa kuwa sababu ya kushawishi jamii kuyafanya yale machafu ambayo nimewahi kuyafanya japo najua wengi mnanishutumu kuwa mimi ni muhuni niliyekithiri lakini nataka mfahamu kuwa ipo sababu ya msingi ya mimi kuwasimulia haya yaliyotokea katika maisha yangu, maisha ya ujana ambayo kila hatua niliyokuwa nikiipiga kwangu ilikuwa ni kama moja ya somo kubwa ambalo naamini ndiyo matokeo ya kazi hii unayoisoma kwa wakati huu. Hata hivyo naomba nisiwe muongeaji sana wa mambo yaliyoweza kupita, ngoja tuendelee na mkasa wa chombezo hili uliyoweza kunikuta mimi Dick Mapenzi kama wengi wanavyonifahamu……
Baada ya kumaliza kuwasiliana na Latifa kwanza nilitabasamu, nilitabasamu kwa sababu niliamini hakukuwa na tukio lingine ambalo lingeweza kutokea zaidi ya uhusiano. Uhusiano wa kimapenzi ndiyo ambao ungeweza kutokea kati yetu.
Sikutaka kuendelea kuwasiliana naye, niliamua kuachana naye kwanza kitendo cha yeye kuweza kuniambia kuwa alikuwa akiishi Tabora kiliweza kunifanya nipoteza hata ile hamu ya kuendelea kuzungumza naye, nilihisi kutokuwa na mada ya kuzungumza na yeye zaidi ya kuzipokea sifa alizokuwa akinimwagia na huo ndiyo ulikuwa mwisho wa mazungumzo yetu.
“Tulale Dick wangu kesho Mungu akipenda ulale salama, nakupenda sana,” niliusoma ujumbe mfupi aliyokuwa amenitumia Evadia kisha nikamjibu jibu ambalo nililisindikiza na maneno ya kimapenzi na sikutaka kuendelea kujishughulisha chochote tena, nilianza kuutafuta usingizi.
****
SIKU ILIYOFUATA.
Mahali:Mwananyamala, Daresalaam.
Eneo:Club Africado.
Tukio:Siku ya kuzaliwa IRINE KISOKA.
Muda:Saa 1 usiku.

Ilikuwepo meza kubwa ambayo ilikuwa imetumika kuwekewa keki maalumu kwa mlengwa, keki ilikuwa imeandikwa “HAPPY BIRTH DAY QUEEN” maneneo ambayo sikuwa nimewahi kufahamu yalikwa yakimaanisha nini zaidi ya kuyatafsiri kama ilivyokuwa maana yake. Vinywaji vilikuwa vimechukua sehemu kubwa sana siku hiyo. Urembo nao haukuwa mbali, ulikuwa umechukua nafasi kubwa sana katika kupambia eneo lile ambalo lilikuwa likionekana kuwa la kipekee sana.
Kila mtu alionekana kupendeza machoni mwangu, hakukuwa na mtu ambaye alikuwa katika mavazi ya ovyoovyo siku hiyo pale Club Africado Mwananyamala. Macho yangu kila yalipokuwa yakitazama wale wasichana waliyokuwa wametawala latika tafrija ile hakika hayakuacha kukiri na kukubali kila kitu kilichokuwa kikishuhudia, pua zangu nazo hazikuacha kuvuta harufu ya manukato mazuri waliyokuwa wakinukia kiasi kwamba nikazidi kuwa kama niliyekuwa katika bumbuazi fulani, nilionekana kushangaa kila kitu kilichokuwa kikendelea kwa wakati ule hasa katika majira yale ambayo kila niliyekuwa nikimuona alikuwa katika muonekano nadhifu si kwa wasichana wala wavulana waliyoungana kwa pamoja katika siku ile ya kuzaliwa rafiki yake na Evadia ambaye mpaka kufikia wakati huo sikuwa namfahamu kwa jina lake.
Nilikuwa mwenye shahuku ya kutaka kumfahamu kila msichana ambaye nilikuwa nikimuona pale, nilijifanya kama kipofu kutowatazama wale wavulana wenzangu ambao walionekana kuwa watanashati kama mimi nilivyokuwa, wakati huo Evadia alikuwa ubavuni mwangu huku mikononi kila mmoja wetu akiwa ameishikilia glass iliyokuwa na kinywaji laini kisichokuwa na kilevi ambacho kilikwenda kulisafisha koo langu vyema lililokuwa limeanza kunikauka kwa uzembe wa kuacha kinywa wazi kwa tamaa za kushangaa wale wasichana warembo. Wakati hayo yote yakiendelea mbele yetu katika jukwaa dogo walikuwa wamesimama wanamuziki kutoka katika moja ya bendi maarufu sana hapa nchini ambayo haikuwa mbali katika kutusindikiza na mziki wao wa ‘live’ usiku huo.
“Jamani mabibi na mabwana ambao mmekubali kuziacha shughuli zenu na kuamua kuudhuria katika sherehe hii fupi ya kuzaliwa dada yetu Irine Kasoka tunaomba tuianze shughuli yetu rasmi naona mwenyewe ameshafika eneo la tukio,” ilisikika sauti ya mshereheshaji ikisema kupitia kipaza sauti maneno ambayo yaliniacha katika wakati wa maswali mengi, nilianza kujiuliza kimoyomoyo kuwa huyo Irine Kisoka alikuwa ni yupi.
Kwa mawazo ya harakaharaka nilianza kuijenga taswira ya yule muigizaji wa filamu za kibongo ambaye alikuwa akifanya vizuri sana hasa katika filamu zake za mapenzi alizokuwa akiigiza. Macho yangu yalikuwa makini kutaka kumuona huyo Irine Kisoka ambaye alikuwa ameshawasili eneo lile, kila mtu alikuwa akishangilia kwa wakati huo huku wakilitaja jina la Irine Kisoka msichana ambaye nilikuwa na hamu ya kutaka kumuona.

Je, ni nini kitaendelea katika chombezo hili pendwa?
Tukutane kesho mahali hapahapa.
 
NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-29
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278

Age:18+

ILIPOISHIA....

Kwa mawazo ya harakaharaka nilianza kuijenga taswira ya yule muigizaji wa filamu za kibongo ambaye alikuwa akifanya vizuri sana hasa katika filamu zake za mapenzi alizokuwa akiigiza. Macho yangu yalikuwa makini kutaka kumuona huyo Irine Kisoka ambaye alikuwa ameshawasili eneo lile, kila mtu alikuwa akishangilia kwa wakati huo huku wakilitaja jina la Irine Kisoka msichana ambaye nilikuwa na hamu ya kutaka kumuona.

SONGA NAYO.....

“Huyo Irine ni nani?” hili lilikuwa ni swali lililozidi kutawala kichwani mwangu.
Nilizidi kutazama kwa umakini katika lango lile kuu huku nikiyapa wasaa macho yangu yapate kumshuhudia huyo Irine ambaye alikuwa akiingia kwa wakati huo.
Dah! Sikutaka kuamini macho yangu.
Nilihisi kama mapigo ya moyo wangu yakienda ndivyo sivyo kwa wakati ule, nilikuwa nikimshuhudia Irine Kisoka akiingia eneo lile huku akiwa amezungukwa na wapambe waliyozidi kuweka mlolongo mrefu hata katika utembeaji wake. Sauti zilizogubikwa na wimbi la furaha zilizosindikizwa na nyimbo mbalimbali za ‘Happy Birth Day’ , ‘Happy Birth Day’ hazikuacha kumkumbusha kila mmoja wetu kuwa alikuwepo mahali pale kwa lengo gani hasa.
Hata kama ungekuwa hujawahi kupata bahati ya kutazama kwa macho hata mara moja katika maisha yako lakini kwa kupitia sauti pamoja na zile nyimbo zilizokuwa zimetawala pale hakika usingekuwa mgumu wa kutaka kuelewa kuwa kulikuwa na kitu gani cha zaidi kilichokuwa kikiendelea.
Kila mtu alikuwa ametawaliwa na tabasamu la furaha ni hapa ambapo nilipata nafasi ya kuishuhudia mechi dhidi ya mabingwa wa kutabasamu, hakukuwa na mtu ambaye alikuwa katika huzuni.
“Hivi kumbe una ukaribu na Irine huyu muigizaji?” niliamua kumuuliza Evadia.
“Ndiyo ni rafiki yangu niliwahi kusoma naye,” alinijibu huku uso wake ukiachia tabasamu mwanana.
“Duh,” nilijigunia kimoyomoyo na sasa nilizidi kuyapa macho yangu nafasi ya kumtazama Irine.
Alikuwa katika mavazi ya gharama sana, kwa kumtazama harakaharaka alikuwa amevaa gauni pamoja na viatu vya kupanda vyenye gharama kubwa sana. Alionekana kuwa mrembo haswaa! kuanzia lile wigi alilokuwa amevaa, Make-up aliyokuwa ameitumia siku hiyo, pamoja na uzuri wa kila kitu alichokuwa amejaaliwa.
Mbali na maisha yake ya umaarufu katika fani ya uigizaji wa filamu lakini hakuwa ni mtu wa kujisikia sana, kwake kila mtu alimchukulia kuwa kama rafiki, alipenda kuishi na watu vizuri nadhani hii ndiyo sababu iliyomfanya akawa anazidi kupendwa kila siku.
“Kwanza kabisa ningependa nichukue nafasi hii ya kumkaribisa Quuen Irine katika siku yake hii adhimu ya kuzaliwa kwake ili aweze kuzungumza japo kidogo na mashabiki wake kabla zoezi hili dogo halijaendelea,” alisema mshehereshaji kisha akamkabidhi kipaza sauti Irine ili aweze kuzungumza.
Muda wote huo nilikuwa kimya, nimepoa kama maji ya mtungi huku masikio yangu yalikuwa makini kutaka kusikia maneno ambayo alikuwa akitaka kuzungumza Irine kwa wakati ule.
“Aaammh,” alianza kusema kisha kicheko kikachukua nafasi yake, alikuwa akicheka kwa wakati huo kitendo kilichowafanya hata watu waliyokusanyika eneo lile nao waanze kucheka, bila shaka miongoni mwao palikuwa na watu ambao walikuwa wakicheka kwa kufata mkumbo kwani hakukuwa na kitu kilichokuwa kimetokea cha kituko kiasi kwamba kiwafanye wacheke tena kwa sauti kubwa huku wengine wakikaukia.
“Sema Madam tunakusikiaaaa,” zilisikika sauti za kike zikipaza na kumfanya Irine azidi kucheka. Kuna muda alikuwa kama mtu aliyeshindwa kuzungumza kabisa kila alipokuwa akitaka kuzungumza alijikuta akiishia hewani asijue ni wapi alitakiwa kuanzia kuzungumza. Katika hali ya kushangaza machozi yalianza kumdondoka mashavuni mwake, alikuwa akilia kilio cha furaha kwa wakati ule.
“Sijui nianzie wapi kuzungumza…,” alisema Irine kisha akanyamaza kwa muda, ukimya ulikuwa umetawala eneo lile, hata ile bendi ya muziki iliyokuwa ikituburudisha kwa wakati huo ilikuwa imesimama kwa muda, kila mtu alikuwa akimtazama Irine msichana mrembo mwenye mvuto wa kimapenzi akizungumza kwa wakati huo.
“Nawashukuru sana ndugu zangu kwa upendo huu mlionionyesha kwa kweli nitakuwa mchoyo wa fadhila kama nisipo washukuru wote mliohudhuria hapa. Namshukuru Mungu kwa nafasi hii aliyonipa katika maisha yangu, nawashukuru wazazi wangu wawili Baba na Mama kwa kunileta duniani na kwa malezi yao bora, pia nawashukuru sana marafiki zangu wa karibu kwa kuweza kunionyesha upendo huu, niseme tu nawashukuru sana sina neno lingine la kusema isipokuwa nawapenda wote,” alisema Irine kisha akamkabidhi kipaza sauti mshehereshaji wa shughuli ile.
Kila kitu kilikwenda kama kilivyopangwa, kuanzia tukio zima la kulishana keki mpaka vinywaji na mpaka kufikia majira ya saa tatu za usiku hakukuwa na tofauti yoyote iliyoweza kujitokeza katika siku ile ambayo ilikuwa ni maalumu kwa kusherehekea siku ya kuzaliwa Irine Kisoka muigizaji wa filamu maarufu hapa nchini.
****
Waandishi wa habari hawakuwa mbali katika usiku ule, vyombo mbalimbali vya habari vilikuwa vimetawala huku kila mwandishi akionekana kutafuta habari. Kila mahali kamera zilikuwa zimetawala.
“Mambo mpenzi,” alisema Evadia huku akimtazama Irine kisha wakakumbatiana, wakati huo nilibaki nikiwatazama tu, nilikuwa nikionekana kushangaa kila kitu hasa kitendo cha kumshuhudia muigizaji kama yule mbele ya macho yangu hakika nilikuwa siamini, nilihisi wenda nilikuwepo ndotoni na muda wowote ningeweza kuamka lakini haikuwa hivyo bali kila kitu kilichokuwa kikiendelea kwa wakati ule kilikuwa ni ukweli mtupu, ukweli wa macho kuona na uhalisia wake, hapo ilikuwa ni baada ya utambulisho kutoka kwa baadhi ya marafiki zake kama Diana, Zulfa, Shamsa na Anitha ambao alikuwa ametoka kunitambulisha muda sio mfupi.
“Safi mamii kumbe na wewe ulikuwepo jamani?” aliuliza Irine huku akiwa amekumbatiana na Evadia na haikuchukua dakika wakaweza kuachana kutoka katika lile kumbato ambalo nilikuwa nikihisi kama kukumbatiwa katika mawazo yangu.
“Sasa nitakosaje kwa mfano kuwepo wakati juzi uliniambia mwenyewe kuwa nisikose,” alisema Evadia huku akimtazama Irine ambaye alikuwa ametawaliwa na tabasamu mwanana, wakati huo waandishi wa habari walikuwa wakiendelea kupiga picha mbalimbali, niliamini katika picha zile lazima na mimi ningeweza kuonekana kwani nilikuwa karibu kabisa na Irine msichana ambaye alikuwa na umaarufu mkubwa sana.
“Mmh! Mambo mengi ndugu yangu enhe! vipi mambo yako yanaendaje lakini?” aliuliza Irine huku akiwa amemshika mkono Evadia tukio ambalo lilizidi kunidhihirishia wazi kuwa walikuwa ni watu wanaojuana kwa ukaribu mkubwa sana.
“Namshukuru Mungu siku zinaenda vizuri,” alijibu Evadia.
“Yani we acha kila siku napanga nije dukani kwako lakini unakuta nasahau, mambo yanakuwa mengi sana.”
“Nafahamu hilo wala usijali,” alijibu Evadia.
Irine alinitazama kwa muda kama mtu anayenitathmini kisha akamgeukia Evadia na kumuuliza kuwa mimi ni nani? kwa kweli kitu nilichokishukuru ni kuwa Evadia aliweza kumdanganya Irine, alimwambia kuwa mimi ni rafiki yake na alikuwa ameniomba nimsindikize katika usiku ule katika tukio lile jambo ambalo aliweza kuamini kabisa, akanipa mkono na huo ndiyo ulikuwa mwanzo wa kuwa karibu na muigizaji huyo maarufu, mwanzo ambao naweza kusema ulikaribisha safari mpya ya maisha yangu.

Je, ni nini kitaendelea?
Tukutane kesho mahali hapahapa.
 
NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-30
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278

Age:18+

ILIPOISHIA.....

kwa kweli kitu nilichokishukuru ni kuwa Evadia aliweza kumdanganya Irine, alimwambia kuwa mimi ni rafiki yake na alikuwa ameniomba nimsindikize katika usiku ule katika tukio lile jambo ambalo aliweza kuamini kabisa, akanipa mkono na huo ndiyo ulikuwa mwanzo wa kuwa karibu na muigizaji huyo maarufu, mwanzo ambao naweza kusema ulikaribisha safari mpya ya maisha yangu.

SONGA NAYO......

Usiku wa siku hiyo niliporudi nyumbani kwangu Tandale nilionekana kuwa ni mwingi wa furaha sana, nadhani tukio la kukutana na muigizaji maarufu Irine ndilo lililonifanya kila wakati tabasamu lisinikauke katika uso wangu.
Evadia hakutaka kwenda nyumbani kwao usiku ule, aliamua kujitoa muhanga na kuamua kulala na mimi. Mwanzo nilionekana kuwa mgumu kidogo kwa kuhofia usalama wake kama mtoto wa kike kwani alikuwa bado ni msichana ambaye alikuwa akiishi na wazazi wake japo alikuwa akifanya biashara zake. Hilo halikuonekana kuwa swala gumu sana kwangu baada ya kunilazimisha na kuzidi kuniaminisha kuwa niondoe wasiwasi juu ya yeye kulala nje na nyumbani kwako siku ile niliamua kukubaliana naye kila kitu na ni katika usiku huohuo ambao niliweza kufanya naye mapenzi. Mapenzi yalichukua sehemu kubwa sana usiku huo, sauti za miguno iliyofungamana na utamu wa penzi ndizo zilizokuwa zikizikika mule chumbani kwangu tulipokuwa tumelala na mara baada ya kumaliza kufanya tendo lile tulienda kuoga na baada ya hapo tuliamua kulala.
****
Tuliamka katika asubuhi ya siku ya jumapili tulivu, hali ya hewa ilikuwa shwari kabisa, niliyapepesa macho yangu kutoka katika usingizi mzito ambao uliambatana na uchovu, nilianza zoezi la kujinyoosha viungo vya mwili wangu huku likifuatiwa na miayo mingi iliyoashiria njaa kwa wakati ule, nilihisi mwili mzima ukiwa umechoka sana.
Nilimtazama Evadia kwa wakati ule, alikuwa bado amelala. Sikutaka kumuamsha nilichokifanya ni kuamka na kwenda kuoga. Niliporudi kutoka bafuni nilimkuta akiwa amekaa kitandani, nilipomtazama alikuwa akitabasamu huku viganja vyake vikiwa bize katika kuibofyabofya simu yake aina ya I phone 6 yenye gharama ya zaidi ya shilingi milioni moja za kitanzania.
“Mbona hujaniamsha jamani baby?” aliniuliza wakati huo nilikuwa nikiliweka sawa taulo langu.
“Nilihisi nitakusumbua ndiyo sababu,” nilimjibu huku na mimi nikijaribu kulitengeza tabasamu mwanana.
“Hapana.”
“Hapana nini sasa?”
“Ungeniamsha tu!”
“Sikujua,” nilimwambia kisha akaonekana kuwa bize kidogo na simu yake.
“Vipi huendi kuoga?” nilimuuliza.
“Naenda,” alinijibu.
“Nenda basi mpenzi maji yanakusubiri.”
“Kwani umeniwekea?”
“Ndiyo nimeshakuwekea tayari.”
“Sawa baby ngoja nikaoge,” aliniambia kisha akaiweka simu yake kitandani, akainuka halafu akaniambia nimuelekeze kuwa bafu lilikuwa lipo sehemu gani, nikamuelekeza kisha akaenda kuoga. Haikuchukua dakika kadhaa aliweza kurudi wakati huo na mimi nilikuwa namalizia kuvaa.
Hakutaka kupoteza muda aliporudi kutoka bafuni alianza kuvaa nguo zake katika utaratibu wa kupendeza, macho yangu hayakukoma kumtazama katika namna ya kumsifia jinsi alivyokuwa mrembo, alikuwa ameumbwa akaumbika kisawasawa.
“Nimeshindwa kuvumilia,” nilimwambia kisha nikajikoholesha kwa makusudi kabisa.
“Umeshindwa kuvumilia nini?” aliniuliza.
“Evadia yani nikikutazama sioni kasoro yoyote ile hivi nimewahi kukuambia ukweli?”
“Ukweli upi jamani?”
“Juu ya uzuri uliyokuwa nao.”
“Jamani Dick kila siku unanisifia inaamana umesahau?”
“Hapana yani nikikutazama nahisi kama hii ndiyo mara yangu ya kwanza kukutana na wewe,” nilimwambia maneno yaliyomfanya akacheka.
“kweli tena yani wewe ni mrembo asikudanganye mtu.”
“Asante mpenzi wangu.”
“Kwani ukitoka hapa unaenda wapi?”
“Dukani.”
“Na nyumbani je?”
“Kumefanyaje?”
“Jana hujalala nyumbani wazazi….” Kabla sijaimalizia sentensi yangu Evadia aliweza kunikata kauli.
“Kwani wewe wasiwasi wako ni nini? mimi ni mtu mzima na nina uhuru wangu pia katika kufanya maamuzi halafu kwanza kuhusu nyumbani pamoja na wazazi wangu ondoa shaka, jana usiku nilimpigia Mama simu na nilimueleza kuwa sitarudi nyumbani na alinikubalia,” aliniambia Evadia.
“Kwahiyo hakuna tatizo.”
“Ndiyo hakuna embu jiamini bhana.”
“Sio kwamba sijiamini ila kumbuka wazazi wako wanakupenda.”
“Sasa kama wananipenda?”
“Umeshakuwa mwandishi wa habari, mimi maswali mengi siyapendi.”
“Jiamini basi.”
“Najiamini,” nilimwambia.
Nilifahamu kuwa mbali na ule uhuru aliyokuwa akiusema lakini bado wazazi wake walikuwa wakimpenda sana, hasa ukizingatia kuwa alikuwa ni mtoto wa kipekee katika familia yao. Alikuwa akipendwa sana na wazazi wake na ndiyo sababu hata baba yake aliamua kumfungulia duka ili aweze kuliongoza.
Baada ya kumaliza kuvaa nguo, Evadia alinitazama kwa macho ya huba bila kusema lolote, alibaki akinitazama huku asiwe na la kuniambia. Wakati huo nilikuwa nimesimama.
“Mbona unanitazama?” nilimuuliza.
“Sitamani kuondoka natamani nibaki na wewe tu siku nzima,” alinijibu kisha akanisogelea na kitendo kilichofuata ni kuanza kubadilishana mate.
“Unaonekana kuwa mtamu kila sehemu,” nilimwambia kwa kumchombeza, wakati huo mikono yangu ilikuwa imekishikilia kiuno chake laini, alikuwa ametulia kana kwamba hakukuwa na kitu kilichokuwa kikiendelea kwa wakati ule, macho yake legevu meupe yaliyorembwa na udoti mweusi wa mviro yalizidi kuniambia nifanye kitu cha utofauti ili kiweze kumshtua kwa wakati ule.
Sikutaka kupoteza muda niliamua kuvitumia vidole vyangu katika kuzipapasa sehemu za ubavuni mwake katika mtindo wa kumtekenya hali iliyomfanya akashtuka kwa kunikumbatia kwa ghafla!
“Oooh! Jamani nini Dick mbona mchokozi hivyo,” aliniambia huku akijifanya kuwa ameumia sehemu fulani.
“Vipi kwani?” nilimuuliza swali la kizushi.
“Mchokozi muone vile,” aliniambia kisha akajitoa katika kumbato, alionekana kuwa na furaha kupitia uso wake.
Alipoitazama saa yake ilisoma majira ya saa nne za asubuhi, aliniambia kuwa alikuwa anataka kuondoka kuelekea dukani kwake, sikutaka kuweka mlolongo mrefu wa mazungumzo, nilichoamua kukifanya ni kumruhusu lakini kabla hajaondoka aliamua kuniachia kiasi kidogo cha pesa ambacho aliniambia kuwa nikitumie kwa ajili ya kifungua kinywa.
Kwa kweli niliweza kushukuru lakini akili yangu ilikuwa ikiwaza vitu vingine kabisa, kwanza nilikumbuka kuhusu ule usiku wa jana, jinsi ambavyo niliweza kukutana na Irine yule muigizaji wa filamu za kibongo, bado sikutaka kuamini kama kweli niliweza kukutana naye, nakumbuka nilikuwa nikiishia kuzitazama filamu zake, kuziangalia picha zake mitandaoni na cha zaidi kupitia uzuri wake nilikuwa nikiutumia kuandika machombezo.
Kutokana na furaha niliyokuwa nayo niliamua kumtumia ujumbe mfupi Mick wenye lengo la kutaka kuonana naye siku hiyo jioni.
“Tukutane wapi?” aliniuliza kupitia ujumbe mfupi.
“Pale Hongera Bar,” nilimjibu.

Je, ni nini kitaendelea?
 
NIFANYE NA MIMI KAKA DICK-31
Mtunzi:Juma Hiza
0712988278

Age:18+

ILIPOISHIA.....

Kutokana na furaha niliyokuwa nayo niliamua kumtumia ujumbe mfupi Mick wenye lengo la kutaka kuonana naye siku hiyo jioni.
“Tukutane wapi?” aliniuliza kupitia ujumbe mfupi.
“Pale Hongera Bar,” nilimjibu.

SONGA NAYO.......

Jioni ya siku hiyo tuliweza kukutana maeneo ya Bamaga ilipokuwa bar moja iliyojulikana kwa jina la Hongera Bar, nilionekana kuwa mwingi wa furaha sana, kila nilipokuwa nikimtazama Mick nilizidi kuonyesha tabasamu langu kila wakati. Sikuwa mlevi hivyo nilikuwa nimeagiza maji na Mick naye alikuwa ameagiza pombe aina ya Castle Lager, tulipohudumiwa sasa mazungumzo yakaanza rasmi. Wakati huo giza lilikuwa limeshaanza kutanda angani.
“Mbona sikuelewi leo una nini maana si kawaida yako?” aliniuliza Mick huku akiendelea kunishangaa kwa wakati ule.
“Yani we acha tu! ukisikia nimekuwa top in Dar usishangae,” nilimwambia huku nikiendelea kucheka.
“Mbona sikulewi top in Dar kivipi?”
“Irine.”
“Irine!”
“Ndiyo Irine Kisoka.”
“Irine Kisoka?”
“Ndiyo.”
“Irine yupi huyo?”
“Huyo unayemfahamu.”
“Huyu muigizaji?”
“Ndiyo.”
“Kafanyaje?” aliniuliza Mick kisha sikutaka kumficha lolote, niliamua kumsimulia kila kitu kilichokuwa kimetokea mpaka kukutana naye. Kwa kweli Mick hakutaka kuamini kabisa kama kweli nilikuwa nimekutana na msichana huyo maarufu.
“Hivi unayoniambia ni kweli au?”
“Sasa umesikia nasimulia hadithi hapa.”
“Na vipi kuhusu Evadia.”
“Evadia kumbe anamfahamu ni rafiki yake.”
“Duh!”
“Yani we acha tu! ukisikia siku nimekuwa staa Dunia nzima ushingae.”
“Ina maana umarufu wako wa kuandika hadithi umeona haukutoshi.”
“Umaarufu gani huu mtu unakuwa maarufu mitandaoni halafu unaishi maisha mabovu,” nilimwambia kisha akacheka.
“Huo ndiyo ukweli,” nilimwambia.
Hakukuwa na kitu nilichokuwa nikikifikiria zaidi ya umaarufu kama aliyokuwa nao Irine, niliutamani sana umaarufu wake, kila nilipokuwa nikilitaja jina lake nilikuwa nikiyaona maisha ya kitajiri nay a ustaa aliyokuwa anaishi. Kwa kweli nilikuwa nikijisikia furaha sana kila nilipokuwa nikiyawaza hayo. Kuna kipindi nilikuwa nikitamani utokee muujiza kisha Irine anifuate Tandale nilipokuwa nikiishi halafu niweze kutamba pale mtaani kuwa nilikuwa nikitembea na msichana maarufu lakini haikuwa hivyo, yalikuwa ni mawazo ya ndoto ambayo ilikuwa ni vigumu kuweza kutimia.
Sikuwa nauwezo wa kuigiza katika maisha yangu lakini angalau nilibahatika kuwa na kipaji cha uandishi wa riwaya na machombezo. Nilipanga kukitumia kipawa hiki katika kujiletea umaarufu mkubwa ambao ungeweza kuyabadili maisha yangu.
“Sasa tutafanyaje?” aliniuliza Mick huku akiwa ameshikilia glass iliyokuwa na Castle Lager, akainywa taratibu halafu akanitazama.
“Nitamtumia Evadia ili aweze kunisaidia katika hili.”
“Kivipi sasa?”
“Itabidi niandae hadithi ya kuweza kufanyiwa filamu nzuri ambayo naamini itapendwa sana.”
“Kweli embu fanya hivyo,” aliniambia Mick.
Huo ndiyo ulikuwa mwanzo wa mimi kuamua kujitosa katika kuandika hadithi nzuri ya kimapenzi ambayo niliamini pindi itakapofanyiwa filamu ingeweza kunipa umaarufu mkubwa sana na pia ingeweza kuyabadilisha maisha yangu. Hata pale ulipoanza kusumbufu wa wale wasichana niliyowahi kutembea nao niliweza kuwaambia kuwa nilikuwa bize, sikutaka kuwasiliana nao kabisa.
Ubize wa kuandika hadithi ya kimapenzi ilinifanya nikae mbali nao kwa muda. Nakumbuka Hadithi niliyokuwa nikiiandika niliipa jina la “BADO UNAISHI MOYONI MWANGU.” Ilikuwa ni hadithi ambayo nilitumia hisia kali mno katika kuiandika. Niliamini ilikuwa ni hadithi ambayo ingeweza kumgusa kila mtu ambaye angeweza kuisoma. Ilikuwa imebeba uhalisia wa maisha halisi ya kimahusiano binafsi iliweza kunigusa kwa namna moja ama nyingine.
“Dick unajua sikuelewi kabisa?” aliniuliza Precious siku moja alipokuwa amekuja nyumbani kwangu majira ya mchana.
“Kivipi kwani?”
“Nakupigia simu zangu hupokei, nakutumia meseji hujibu hivi kwanini lakini?”
“Nilikuwa bize ndiyo maana ukaona hivyo.”
“Huo ubize ni wa nini au siku hizi una wanawake wengine ndiyo maana unanifanyia hivyo?”
“Si kweli.”
“Hunipendi?”
“Nafikiri jibu unalo mwenyewe siwezi kurudia kila wakati.”
“Dick usibadilike basi mimi nakupenda.”
“Nakupenda pia,” nilimjibu kisha akaweza kuondoka.
Nilikuwa nimepagawa na umaarufu ambao nilikuwa nikiutamani kutoka kwa Irine, kila nilipokuwa nikizitazama filamu zake zilizidi kunivutia sana. Alikuwa ni msichana mrembo aliyejaaliwa kila sifa ambazo zinaweza zikamshawishi mwanaume rijali mpaka akatamani kuwa naye. Macho yangu hayakumtazama katika matamanio ya kimapenzi lahasha! bali nilikuwa nikimtazama katika namna ya kuutamani ustaa ambao niliamini ungeweza kuyabadili maisha yangu. Kazi kubwa iliyokuwa imebadikia kwa wakati ule ilikuwa ni kutafuta njia ya ziada ya kuweza kumuingilia Evadia mpaka akubali kunisaidia nia yangu ya kutoa filamu na muigizaji huyo ambaye alikuwa na urafiki naye. Ilikuwa ni kazi ngumu mno lakini niliamini kufanikiwa katika hilo.

Je, ni nini kitaendelea?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom