Chombezo : Jamani Kaka Cheni Ndiyo Nini Sasa?!

Chombezo : Jamani Kaka Cheni Ndiyo Nini Sasa?!

SEHEMU YA 19:

Tulipanda kitandani kwa kaka Cheni. Tulikuwa tunavuta kasi ya msisimko kwanza, nje dirishani kwake tukasikia mtu amekanyaga bati likatoa mlio.
SASA SHUKA NAYO MWENYEWE…

Kuna mtu amekanyaga bati kaka Cheni,” nilimwambia kwa sauti ya sikioni.
“Ni kweli,” na yeye alinijibu.
Tulijua mtu amekanyaga bati kwa sababu nje ya dirisha la kaka Cheni chini kuna bati lilifunikiwa matofali. Sasa baada ya matofali kuondolewa, bati liliendelea kubaki palepale.
“Atakuwa nani?” nilimuuliza nikiwa nahema kwa kasi.
“Sijajua,” alinijibu kaka Cheni.
Tulikuwa tumekumbatiana tukaachiana, tulikuwa tumelala kwa kuangaliana, tukalala kuangalia juu.
“Isijekuwa baba,” nilimwambia kaka Cheni…
“Labda.”
Nilianza kumwona kaka Cheni kama mwanaume asiye na ujasiri kwani alichotakiwa kuniambia ni kunipa neno la kunipa moyo na si kuniongezea wasiwasi. Angeniambia ‘hapana, hawezi kuwa baba, labda kibaka tu’ ningemwelewa kuliko kusema labda.
Nilitaka kutoka kitandani ili kwenda dirishani kuchungulia nje lakini kaka Cheni akanishika mkono na kunirudisha nilale vilevile…
“Lala,” aliniambia.
“Sasa tutajua ni nani?”
“Mimi nimekwambia sijui.”
Mara tukasikia ishara ya mtu kuhema. Ilionekana alikuwa amesimama dirishani kabisa.
“Muulize we nani?” nilimwambia kaka Cheni.
“Hapana, acha tuone mpaka mwisho wake. Itajulikana tu wala usiwe na wasiwasi.”
“Da! Anatukata stimu huyo mtu, natamani iwe ndoto, awe ni kibaka na si baba wala mama,” nilimwambia kaka Cheni.
Kule kuhema kulipotea kidogo lakini haikuonekana kuwa huyo mtu ametoka dirishani kwani angekuwa ametoka lazima angetembea na bati lingelia.
Licha ya kuwa katika hali hiyo, kaka Cheni alileta mkono wake hadi akashika nido zangu na kuzichezeachezea lakini mi mwenzake wala! Hapo nilikuwa nawaza aibu ya mbele yangu.
“We kaka Cheni huoni kuwa ni hatari kwetu? Kwa nini tusikae tukawaza namna ya kujinasua kwanza?”
“Cheni,” sauti ya kike iliita kwa mara ya kwanza tangu tuanze kusikia mishemishe za nje. Alikuwa yule demu wa kaka Cheni, Rozimina.
Kaka Cheni hakutaka kuitika, akaniminya mimi kwa nguvu kama vile kunifinya…
“Usiseme chochote kile mpaka aondoke mwenyewe. Saa hizi anakuja kufanya nini, tena bila taarifa…”
“Ndiyo nashangaa na mimi,” nilishadadia mimi maana simpendi kabisa huyo msichana. Yaani nilihisi kama anakuja kuniletea kauzibe kwa kaka Cheni…
“We Cheni…Cheni,” alizidi kuita.
Alipoona kimya kimetawala akaamua kugonga dirisha kabisa…
“Ngo ngo ngo ngooo!”
“Nyamaza kimya sista,” kaka Cheni alisemea masikioni mwangu ambapo naamini nilisikia mimi tu.
“Yaani Cheni upo ndani halafu hutaki kunifungulia mlango siyo? Sawa bwana.”
Tukasikia akitembea kutoka kwenye eneo hilo lakini cha ajabu, baada ya sekunde tukasikia akigonga kwenye dirisha langu huku akiita…
“We wifi…wifi…wifi.”
Nilikasirika sana. Nilitamani nimtokee hukohuko na kumpa maneno yake ili akome kabisa.
“Baby, unamsikia huyo mtu wako?” nilimuuliza kaka Cheni.
Afadhali safari hii niliweza hata kumuita baby kwani moyo wangu ulitulia baada ya kubaini si baba wala mama aliyekuwa akitembeatembea nje ya dirisha…
“Yaani wifi hata wewe unanifungia vioo, sawa bwana,” alisema Rozimina na kuondoka zake.
Lakini nilimwambia kaka Cheni kwamba, huenda Rozimina hajaondoka basi amesimama nje akisubiri lolote…
“Mpuuzi yule, mimi sitoki na wala wewe usitoke. Yeye anadhani mimi napatikana tu wakati wowote ule. Alitakiwa kuja kwa kutumia mawasiliano.
“Sasa itakuaje?” nilimuuliza huku nikigeuka na kulala nikimwangalia yeye wakati yeye bado alikuwa amelala akiangalia juu. Nilimpapasapapasa sehemu ya kifuani ili kumwamsha hisia zake kwangu japokuwa nilijua bado alikuwa nazo…
“Itakuaje nini sasa?”
“Hatujui kama kaondoka au bado yupo. Kitanda kikicheza si itajulikana tuko wote na nini kinaendelea?”
“Ah! Achana naye yule bwana. asituvurugie mambo yetu.”
Kauli ya kaka Cheni ilinipa ujasiri mkubwa sana, nikaanza naye mimi mwenyewe. Niliinuka, nikamwegemea vizuri, nikamchezea kwa kumgusagusa kama najaribu mwili wake una joto la kiasi gani!
Wote tulibadilika, tukaleta akili zetu pale kitandani, tukahamasishana mpaka tukaingia uwanjani.
Tulijiachia bwana, kwa raha zetu. Sisi ndiyo sisi hakuna mwingine. Mpaka kipindi cha kwanza tunaingia mapumzikoni hakuna aliyeshughulika na Rozimina ili kujua kama aliondoka au bado alikuwa pale na kama alikuwa yupo, ilikula kwake maana tulikidhibiti kitanda kisitoe ushirikiano kwa mtu aliyekuwa nje ya chumba.
Baada ya hapo tulilala kwa ahadi ya kuamshana ikifika saa sita ili tuhamie chumbani kwangu kama tulivyokuwa tumekubaliana.
Lakini tulilala mpaka tukajikuta tunashtuka kukiwa kumepambazuka…
“Ha! Baby, kumekucha,” nilisema nikikurupuka na kutoka kitandani.
Nilifungua mlango na kuingia chumbani kwangu na kujitupa. Hata kabla sijaanza kupitiwa tena na usingizi wa asubuhiasubuhi, mama aliwasili. Alinigongea, nikatoka, nikamsalimia, akaingia ndani kwake.
Kulikucha kabisa, jua lilichomoza, mama alirudi msibani akisema mazishi ni siku hiyo kwa hiyo akasema kaka Cheni aende baadaye.
Ile mama anakata ukuta tu, mimi nilitoka mbio mpaka bafuni, nikatapika sana huku nikimwita kaka Cheni. Safari hii ilikuwa siyo kawaida, kwani na kizunguzungu juu…
“Sista vipi tena..! Eee? Vipi sista?”
Nini kitaendelea?
 
SEHEMU YA 20:

Ile mama anakata ukuta tu, mimi nilitoka mbio mpaka bafuni, nikatapika sana huku nikimwita kaka Cheni. Safari hii ilikuwa siyo kawaida, kwani na kizunguzungu juu…
“Sista vipi tena..! Eee? Vipi sista?”
TAMBAA NAYO MWENYEWE…

Natapika,” nilimwambia kaka Cheni nikiendelea kutapika.
“Unajisikiaje kwani?”
“Kichefuchefu kaka Cheni…tumbo kama linavurugika hivi…”
“Mh! Mimba?”
“Nahisi hivyo kaka Cheni,” niliamua kumjibu hivyo moja kwa moja kutokana na nilivyokuwa najisikia…
“Hee! Sista inaweza kuwa kweli? Itabidi kutoa,” alisema kaka Cheni nikamwona kama adui wa familia yangu kwani kwa kipindi hicho katika kitu nilichokua nahitaji ni mtoto.
“Ha! Kaka Cheni, nitoe mimba?”
“Una maana gani? Yaani uzae na mimi?”
“Ubaya uko wapi?”
“Mh! Sista unaumwa na hauko sawasawa?”
“Niko sawasawa.”
Hapo kidogo sasa nilikuwa nimeacha kutapika. Nikawa nahema tu huku nikitweta kwa kasi ya ajabu. Nilihisi maumivu ya tumbo ya kupita kawaida.
Kaka Cheni alinisimamisha na kunipeleka chumbani kwangu huku akinipa pole.
Ile anatoka tu, hajamaliza mlango, mama akaingia…
“Wewe chumbani kwa dada yako unaingia kuchukua nini?”
“Shikamoo mama…dada alikuwa anatapika kule bafuni ndiyo nikaenda kumchukua na kumrejesha ndani,” nilimwambia…
“Nini tena, malaria ama nini?”
“Mimi sijui mama.”
Mama aliingia chumbani kwangu akasimama akiwa amejishika kiuno…
“Unasumbuliwa na nini binti yangu?”
“Tumbo mama.”
“Tumbo linafanyaje?”
“Linasokota.”
“Ndiyo ukatapika?”
“Ndiyo mama.”
“Linakata?”
“Limekuwa kama limevurugika!”
Mama alinipa pole, akaenda nje na kumwita kaka Cheni…
“Kamtafutie dawa dada yako. Nenda dukani kawaambie anaumwa tumbo la kuvurugika na anatapika.”
Kaka Cheni hakutumbukiza neno lakini najua akili zilikuwa si zake kwa wakati huo. Yeye alikuwa hataki mimi nizae na yeye na mimi sikuwa nalilia kuzaa na yeye bali nilikuwa nalilia kuwa na mtoto bila kujali baba ni nani.
Kaka Cheni akiwa ameondoka, alinitumia meseji…
“Hiyo mimba lazima tuitoe sista. Ni hatari sana kwetu.”
“Hakuna hatari yoyote kaka, we unahisi hatari iko wapi?”
“Ukiulizwa mimba ni ya nani utasemaje?”
“Si nitakutaja!” nilimtania tu hapa ili nimsikie atasemaje!
Hakujibu meseji hiyo bali alinipigia simu lakini sikupokea maana mama aliingia na kunipa maagizo…
“Mimi nimekuja tu kuwaona, narudi msibani. Kama tumbo litachachamaa nipigie simu nirudi nikupeleke hospitali mwenyewe.”
“Sawa mama.”
Alipoondoka tu, nilimpigia simu kaka Cheni…
“Hivi wewe una akili kweli au ni kichaa tayari kwa sababu ya kutapika mara moja tu?”
“Kwa nini baba kijacho wangu?”
“Haa! Nani baba kijacho wako sista?” alinijia juu sana.
“Si wewe.”
“Weee…weee! Koma. Sasa nakwambia kwamba nikirudi nakupiga mangumi tumboni mpaka kitoto chako kife.”
Sauti ya kaka Cheni haikuashiria kwamba anatania kwani alikuwa akihema kwa kasi za hasira.
Mimi niliamua kukata simu na kuanza kutafuta mbinu mbadala za kuhakikisha kaka Cheni hapati nafasi ya kunikaribia hata kwa mita moja toka nilipo.
Baada ya kama nusu saa alirudi akiwa ameongozana na Rozimina…
“Mambo wifi yangu, nasikia unaumwa?”
“Si sana kiasi cha kuja kujuliwa hali,” nilimjibu kwa hasira. Lakini nilijua kaka Cheni hana ubavu wa kumweleza kwamba huenda nina mimba…
“Zaidi nini?”
“Homa tu…”
“Ya matumbo?”
“Eee,” nilimjibu mbovumbovu nikitamani nimwambie aondoke chumbani kwangu. Hapo alikuwa amekaa kitandani mimi nimelala si kwa kuumwa, bali kwa uchovu wa usiku kucha na kaka Cheni kitandani.
“Shika maji na dawa zako,” kaka Cheni aliniambia kwa mkato huku akinipa glasi yenye maji kama aliyetaka kunisusia…
“Sasa baby mbona unampa dawa mgonjwa kwa hasira?” Rozimina alimuuliza kaka Cheni.
Kwa mara ya kwanza tangu nimeanza kumjua Rozimina ndiyo nilimwona ni mtu mwema kwangu siku hiyo tu na dakika hiyo tu. Lakini alinikera kumwita kaka Cheni baby.
Nilikunywa maji, nilipomaliza nikamshukuru na kumrudishia glasi maana alikuwa amesimama akiisubiri…
“Asante sweet,” nilimshukuru.
Rozimina alishtuka sana, akaniangalia kisha akamwangalia kaka Cheni…
“He! Kumbe nyie ni mtu na sweet wake?” aliuliza…
“Ubaya uko wapi? Kwani neno sweet maana yake nini?” nilimpaka maneno Rozimina…
“Mimi najua sweet ni watu wanaopendana…”
“Kwa hiyo mimi na kaka yangu tunachukiana siyo?”
“Mtajua wenyewe lakini siyo kumwita sweet. Mi nadhani wewe wifi unanifanyia makusudi flani hivi, nimekuona tangu majuzi.”
Kaka Cheni alikuwa tayari nje amepeleka kikombe kwa hiyo malumbano yetu alikuwa anayasikia lakini kwa mbali.
Ghafla akaingia, akaja kitandani nilipolala huku akisema kwa sauti ya juu…
“Sista mimi nakuua…nakuua kweli,” akaanza kunipiga mangumi ya tumboni…
“Ha! Baby… nini tena? Kutupiana kwetu maneno wala hakuna uzito wa wewe kuchukua hatua ya kumpiga dada yako mangumi ya tumboni kiasi hicho,” alisema Rozimina huku akimshika mkono kaka Cheni ambaye aliniachia…
Nililia huku nikimwangalia kwa hasira, nikamwambia ukweli kutoka moyoni…
“Narudia tena kaka Cheni, nasema sitoi hata uniue.”
Je, unajua nini kiliendelea hapo?
 
Mjukuu wa chifu vipiii namtaka kaka cheni mie
 
Back
Top Bottom