Chokochoko zanini?

Chokochoko zanini?

katoto kazuri

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
6,126
Reaction score
5,762
Yaani unakuta mtu ni mwanaume mbeya mbeya kama nini kazi kuhangaika na maisha yangu mniachee kwa maana sivaliani wake zenu vyupi au wachumba zenu.
Eti mwanamke ndio anapost post za kimapenzi na zamani ilikuwa ni wanaume tu.
Napia kama mimi ninapost nitaendelea unawaacha mashoga wanaongezeka na kuwaharibu watoto wenu wakiume
Badala yake mnamsema katoto kazuri hivi au vile naomba mniache kabisa mnawangalia ila katoto kazuri ndio kabaya kanawaharibu huku mnaaribiwa kivipi kwafano???
Mimi sio saizi yenu.
 
Yaani unakuta mtu ni mwanaume mbeya mbeya kama nini kazi kuhangaika na maisha yangu mniachee kwa maana sivaliani wake zenu vyupi au wachumba zenu.
Eti mwanamke ndio anapost post za kimapenzi na zamani ilikuwa ni wanaume tu.
Napia kama mimi ninapost nitaendelea unawaacha mashoga wanaongezeka na kuwaharibu watoto wenu wakiume
Badala yake mnamsema katoto kazuri hivi au vile naomba mniache kabisa .
Mimi sio saizi yenu.
Hakika jinsia yako ni ya kiume....
 
Dah nimeshindwa kuelewa kama huyu mtoa mada ni ke, me ama hermaphrodite
 
Back
Top Bottom