Chocheeni kuni mbichi moto ukolee

Chocheeni kuni mbichi moto ukolee

Joined
Dec 18, 2019
Posts
73
Reaction score
135
Nanukuu,

Eti, oh, imenyesha juzi tu Maji sio mengi, nisubirini kule

lishindikana vipi kuyapima maji kwa mti, ndio mkawaambia watu wavuke?

Mjomba, binadamu ni kama ganda la kitabu, mpaka umfungue maandishi ndio uweze kumuelewa

Eti, lililotokea mbali tufanye limepita tunaomba samahani, na haliwezi kumdhuru mwingine Kweli?

Inayotaka kunyesha, hua haisubiri mawingu,

Mimi sidhani, kama kujiponya kwa mambo mzito tunahitaji cheti kilichigongwa mhuri wa moto Au mtaalamu wa magonjwa ya akili, zaidi yakutumia neno sahau tu,

Unawaulizaje watu magongo ya nini wakati umesema kuna nyoka?

Mjomba, wewe si uliwapaka wanja?

Ngoja wao wakupake pilipili, alafu kwenye kimbolela iwe zamu yako kuzinga

CHOCHEA tu unachotaka kitatokea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom