Stori za mapenzi zimezidi ilhali mmu ipo. Simaanishi kinyume chake tulete stori za kugombana, laghasha! Ni changamoto tu kwamba tuwe wabunifu zaidi kwani kuna vitu vingine vingi vya kupost zaidi ya mapenzi
mbona huwa mkiwa mmejifungia chumbani Madame B, haishi kusema "jamani Chimbuvu usitoe, plzzz usitoe"...kwa kuwa watu8 ni mcha Mungu basi nikajua huwa watoa pepo??