Mr Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 26, 2016
- 1,670
- 767
- Thread starter
- #21
Huu wimbo nlianza kuupenda kabla hata sijui maana yakee
ni kawimbo flan amizing
Huu wimbo nlianza kuupenda kabla hata sijui maana yakee
alafu we ndo billie jean?Chiquitita, tell me what's wrong ...............................
alafu we ndo billie jean?
Mimi jamani huo wimbo naupendaga sana
Waqt huo lugha ya kubabiababia aah wacha kabisa mengine yanakupita ilikuwa kazi kweli kweli.
Hiyo ndio ilifanya nianze kuipenda khalafu nilipokuja kuyapata maneno basi tena ikawa bulbul tizama mitindo kama charanga watu wanapenda midundo kwa kwenda mbele ila ukija fahamu maneno yake basi inakuwa burdaaaaanmelody pia yakubabia ?
Chiquitita, tell me what's wrongWimbo Naupenda sana.....hasa pale anaposema "you dive too deep"