Chips ni Mboga au Chakula? Soma hapa

Chips ni Mboga au Chakula? Soma hapa

ugali ni chakula cha kizembe na hakina nguvu. jiulize kwanini chips mayai hutoa kitambi na ugali hautoi.
 
ugali ni chakula cha kizembe na hakina nguvu. jiulize kwanini chips mayai hutoa kitambi na ugali hautoi.

Inaonyesha kuwa ww ni mpnz wa chips rojo... Unasema ugali upi hauna nguvu? Unaweza kufananisha dona na chips yai?darasa la 5 haikuwahi kusoma makundi ya vyakula vinavyotia nguvu mwili.... Kuna ugali wa dona, wali, viazi na mihogo,...halafu mayai kazi yake ni kujenga mwili na sio kuupa mwili nguvu. Kweli wanaume wa dar mna mambo
 
Ukienda Mwanza kwa Wasukuma wanatumia chips mayai kama mboga ya kulia gali. Yaani anakula ugali kwa kutumia chips mayai kama mboga. Wakati watu wa Dar es Salaam wanatumia chips kama chakula kamili sisi sijui ndio ku make diet yaani watu wanashindia mboga kama chakula. Ndio maana jamaa wa Mwanza wako fit kuliko wabongo.

Mwenye kujua zaidi atujuze.
chips ni nini? mayai ni nini? ugali ni nini? na balanced diet nini? Kajifunze kwanza ni somo refu kidogo
 
Na mazoezi je ni chakula gani maana mie huwa yananipa mi powerrsss yaani peoples powerrr
 
Back
Top Bottom