wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,460
- 4,402
Mmmh.! Kwahivo maharage na mahindi nayo ni matunda?!
hata kokwa ni mbegu..
Mmmh.! Kwahivo maharage na mahindi nayo ni matunda?!
hata kokwa ni mbegu..
Mmmh.! Kwahivo maharage na mahindi nayo ni matunda?!
ugali ni chakula cha kizembe na hakina nguvu. jiulize kwanini chips mayai hutoa kitambi na ugali hautoi.
tunda lazma liwe na mbegu.
mua ni mti
chips ni nini? mayai ni nini? ugali ni nini? na balanced diet nini? Kajifunze kwanza ni somo refu kidogoUkienda Mwanza kwa Wasukuma wanatumia chips mayai kama mboga ya kulia gali. Yaani anakula ugali kwa kutumia chips mayai kama mboga. Wakati watu wa Dar es Salaam wanatumia chips kama chakula kamili sisi sijui ndio ku make diet yaani watu wanashindia mboga kama chakula. Ndio maana jamaa wa Mwanza wako fit kuliko wabongo.
Mwenye kujua zaidi atujuze.
Na mazoezi je ni chakula gani maana mie huwa yananipa mi powerrsss yaani peoples powerrr
Hv hili somo la SAYANSI KIMU linafundishwa siku hizi? Poor Mungai
Kuondolewa kwa hili somo kulinishangaza sana, haya ndio madhra yakuwapa wageni sekta muhimu kama ya elimu.