Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,399
Labuda corona.
Msije sema kuna mkono wa muisraeli kwenye kifo chake
Mwili wake umekutwa kitandani hivyo si COVID-19
Wanasema ni huenda cardiac au mgandamizo wa moyo.
Labuda corona.
Msije sema kuna mkono wa muisraeli kwenye kifo chake
Mbona balozi wa Urusi kwa Umoja wa Mataifa, Vitaly Churkin alikufa akiwa New York siku ya mkutano. Na hakuna foul ilitajwa.
Bora tumeona leo wabongo wengi tumejaribu kuja na mawazo zaidi ya matatu katika hili,hili akili zinazidi kukomaa.
Nadharia moja.Mambo yepi yanasababisha mgandamizo wa Moyo?
Nadharia moja.
sasa na mimi nimezungumzia nadharia,we hujaelewa wapi hapo ?Sio nadharia, nimekupa hint marehemu inasemwa huenda ni cardiac arrest maana kakutwa kitandani amekufa.
Sasa tufikirie kama ni cardiac arrest hii husababishwa na ni?
Yapo mengi lakini kuna moja ambalo kwa sasa limekuwa "hot cake".
Mimi ninalo jibu ntakupa mwisho.
Kwani maiti ya covid 19 haiwezi kukutwa kitandani? Naomba kuelimishwa tuMwili wake umekutwa kitandani hivyo si COVID-19
Wanasema ni huenda cardiac au mgandamizo wa moyo.
Kwani maiti ya covid 19 haiwezi kukutwa kitandani? Nqomba kuelimishwa tu
Sent
Marehemu alihamishiwa Tel-Aviv kutoka Ukraine hiyo February.
Kule Ukraine alikuwa ni Diplomat wa kawaida.
Jasusi.. Wamemalizana
Jr
Kweli Mkuu alihamishwa makazi
Sent from my iPhone using Tapatalk
Sikumbuki exactly source niliyosikiliza.Ni wapi wamesema kwamba ameuliwa kwa natural causes?
Richard, Mgandamizo wa moyo ni ugonjwa gani?Mambo yepi yanasababisha mgandamizo wa Moyo?
Conspiracy theorists mna kazi sana.Just days after Mike Pompeo’s visit to “Israel”, the Chinese ambassador to “Israel” has been found dead. Mahyar on Twitter
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna cha kuiva kwenye michezo wala nini. Diplomats wangapi wa US wanarudishwa kutoka Urusi, wangapi majasusi wanakamatwa kule North Korea mpaka hii case ya Kim Jong-un Wamarekani walikuwa wanapuyanga kabisa kwakuwa hawana source ya taarifa ndani kule. Ilikuwa vipi balozi wa US nchini Libya aliuwawa, tena Iran walihusika hapa.Ila hakuwa ameiva katika kucheza michezo ya kidiplomasia.
Ukiwa diplomat watakiwa kufahamu namna ya kucheza hii michezo.
Hili labwana skripal halikua lakweli nandio maana mpaka leo UK na EU walipo ambiwa watoe ushahidi yakwamba bwana yule double agent alipewa Sumu na RUSSIA hawajatoaHakuna cha kuiva kwenye michezo wala nini. Diplomats wangapi wa US wanarudishwa kutoka Urusi, wangapi majasusi wanakamatwa kule North Korea mpaka hii case ya Kim Jong-un Wamarekanu walikuwa wanapuyanga kabisa kwakuwa hawana source ya taarifa ndani kule. Ilikuwa vipi balozi wa US nchini Libya aliuwawa, tena Iran walihusika hapa.
Ilikuwaje Sergey Skripal akapewa sumu mchana kweupe tena kwenye kituo na waliompa hawajulikani, wakati UK ilimpa ulinzi wa kutosha maana alikuwa anatrain counterintelligence ya Ulaya nzima namna ya kuwanasa FSB.
Kwenye ujasusi kila mtu ana mjanja wake, kila kitu kina mwisho.
Unadhani Skripal alipewa sumu na mjingamjinga tu wa mtaani. Sumu ile ilitengenezwa Russia pekee, ni zile sumu ambazo inakuwa ni compounds mbili tofauti ambazo zikiwa zimetenganishwa haina madhara yoyote. Ukiunganisha tu hata tone mojamoja ni sumu kali mno, Skripal alipewa hiyo na hakuna nchi nyingine inaitengeneza tofauti na Russia, ingawa kuna mtaalamu wake mmoja alihamia Marekani (utetezi wa Russia).Ilikuwaje Sergey Skripal akapewa sumu mchana kweupe tena kwenye kituo naHili labwana skripal halikua lakweli nandio maana mpaka leo UK na EU walipo ambiwa watoe ushahidi yakwamba bwana yule double agent alipewa Sumu na RUSSIA hawajatoa
Sent using My COVID-19