100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 3,615
- 12,040
Msione nchi imekuwa na nguvu katika jeshi na katika teknolojia mnasema kuna Jews,kwani Jews ni nani? Jews ndio wamefanya China iwe hapo?... baada ya US, Russia, India, China is the next best friend of Israel. "Silicon Valley" ya uchina wamejaa wayahudi tu mule. Halafu Israel ikamuulie balozi wa China ndani ya Israel thinking ya kipumbavu kabisa. Kungekuwa na umuhimu huo wangemuulia Tehran tena makao makuu ya jeshi.
Sina hakika kama Bwana Utam ataelewa kanuni hii muhimu katika medani za kijasusi.
Russia utasikia wengi ni jews, mbona mnajipendekeza sana.
Russia na China hamna ushoga kule,ukiwa shoga utakubali sasa endelea kuwafananisha na Israel.