Latrice
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 2,393
- 2,359
Eti meli za kijeshi tell em to f*cking try(NIMEONA HII) Tunapeleka mameli ya mafuta na Gas matano Venezuela kutoka Tehran, tumepata taarifa kuwa huwenda marekani akazizuia meli wakati zikiekekea huko, lakini tunawaonya marekani ikae mbali na meli hizo ikitokea lolote kwenye meli hizo hatua za haraka zitachukuliwa dhidi ya meli zote iwe ya kijeshi au ya mzigo ya marekani popote pale
Sent using Jamii Forums mobile app