Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,526
- 70,375
Nashangaa watu mnapongeza jitihada za kuangamiza uumbaji wa Mungu
Matumizi ya nchi nzima ni chini ya 800MW nadhani kwa sikuNi USS Nimitz ya Marekani ina uzito wa tani 100,000.
Pia ina uwezo wa kuzalisha hadi Megawatts 190 za umeme(cjui Tz tunatumia MW ngp kwa siku)
Sie tuna kivuko cha Bagamoyo hata mtumbwi wa mzee Issa wa kigamboni unakishinda mbio
Naomba Mungu akaushe maziwa na bahari atupe maji ya bomba na mito tu tuone hiki kiburi chao kitaishia wapi
U cant what?I can't..
U cant what?
PLA Navy~Shangdong AC,Liaoning AC
Sisi~Mv Bagamoyo
Yah... Wkt wa WWII.
Baadhi ya Carriers za US ambazo ziliharibiwa wkt wa WWII ni pamojq na USS;
LANGLEY
HORNET
WASP
YORKTOWN
Japan:
AKAGI
UK:
AVENGER, etc.
Ila carriers za zaman na ss hv zina utofaut mkubwa maana za sasa hv zina mitambo ya ulinzi dhidi ya makombora, nk.
Pia zinasindikizwa na Deatroyers ambazo zinailinda dhid ya mashambuliz mbalimbali hvyo ni ngumu kuizamisha kwa kipindi hiki.
Mfano US katengeneza SM-6 missile system dhidi ya makombora km DF-21 Carrier killer.
Pia ndan yke inakua imebeba ndege mbalimbali kwa ajili ya kudetect submarines km P-8 Poseidon (sub hunter)au zile za kudetect kombora kwa umbali mrefu mfano, E2D Hawkeye inaweza kudetect kombora likiwa umbali zaid za 345miles(kama 555+km hv),na ndege nyingne za mashambuliz bila kusahau drones.
We in mkenya ? Maana mmevamia sana mitandao yetu mkiandika ujinga km wenu. Subirini August muuwane tena. PambafuWewe nchi yako imejenga kubwa kama hizi ngapi ? Au swli jepesi chi yako inayo meli hata ndogo ya aina hiii....? We bado mudogo saana kakojoe ukalale kama diamond