China tayari imezindua 10G

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,608
Reaction score
860,789
China tayari Imeanzisha Mtandao wa Broadband wa Kwanza wa "10G" Duniani! 🀯
Kumbuka sio 6 ah 7G ni 10G!... Mshindani wake mkubwa Marekani bado anahangaika na 6G kuitafuta 7GπŸ˜€
Sisi huku Afrika tuendelee tu kunywa mtorii na kufanyiana figisu za kisiasa, hayo mengine tuyasome Kama simulizi za Alfu lela ulela au siku elfu na moja (1001)
Mvimba macho kapita na spidi ya ngiri kiyeo juu katuachia vumbi tuuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
NB: Tudadavue uhalisia wa hii habari
 
Kama tumefika tulipo, huko nako tutafika, ni wakati tu
 
sisi hata kujitawala tu tumeshindwa! what a shithole country!!!!!!!
 
Hii taarifa iko nusu na ina nia ya kupotosha.

China anazindua 10G kwa maana kwamba anazindua uwezo wa kupakua data ama download speed ya 10 gigabytes na sio kwamba anazindua 10G ya maana ya Generation kama 5G.

Soma hiyo taarifa hapa chini. Kinachozungumziwa kwenye 10G ni G ya Gigabytes ya kupakua data na sio G ya Generation kama ya 5G.

 
10G wanamaanisha nini? What will the speeds be in megabits per second?

Kwa maana ya 10 Gbps, 10,000 megabits per second au 10G hii ya branding kama mnayoambiwa simu ina 5G halafu haifikishi hata 600 mbps?

10G ya ukweli hapo una download movie 5 za 2 gb kwa sekunde moja.

10G hiyo ujue inabidi uwe na kazi nayo maalum, kuangalia video za Youtube tu 10G utaivunjia heshima yake.

Mimi nina home network inayo support 10G nyumbani (modem, router, switches mpaka NAS devices, lall 10GB SPF cards, laptops on 2.5 gb usb3/ ethernet, and Wifi 7) na naona kabisa sijafikia matumizi ya ku exhaust hata 5Gbps let alone 10Gbps.

Unlwss wanatumia 10G ku brand na ku cobfuse watu wasiofuatilia speeds.
 
10Gbps kwa mtu wa kawaida Bongo use case yake ni ipi?
 
Nimeelewa sasangoja na sisi kilingeni tufanye yetu kuendana na wakati
 
Mkuu Mshana Jr una heshima kubwa fanya uchunguzi juu ya ukweli wa taarifa unazotuletea hapa jukwaani, hakuna 10G hapa duniani.
Asante kwa heshima.. Ndio maana nimeileta hapa ili ukweli ujulikane.. Na nimeiandika Kama kichokoo cha mada.. Wajuvi na wajuzi sasa wafanye kazi yao ukweli ujulikane.. Tuelimike wote mkuu wanguπŸ™πŸΏπŸ™πŸΏπŸ™πŸΏ
 
Asante kwa heshima.. Ndio maana nimeileta hapa ili ukweli ujulikane.. Na nimeiandika Kama kichokoo cha mada.. Wajuvi na wajuzi sasa wafanye kazi yao ukweli ujulikane.. Tuelimike wote mkuu wanguπŸ™πŸΏπŸ™πŸΏπŸ™πŸΏ
Nashukuru sana mkuu.
 
nyie endeleeni kutetea ujinga tu na kumsifia mama yenu mtakuja kutawaliwa upya nawaambieni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…