JustDoItNow
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 2,967
- 1,511
eheheheWatu tumechoka kusubiri kila siku maneno tu wazipige tuone nani mbabe maana humu Jf namo maneno yamezidi
eheheheWatu tumechoka kusubiri kila siku maneno tu wazipige tuone nani mbabe maana humu Jf namo maneno yamezidi
Si aende sasa,mwaka wa 12 huu anatishia kumpiga.Toka enzi za bushKwani kuna nchi duniani inapiganaga vita yenyewe bila mshirika, hata Tanzania kwenye vita vya Uganda kuna waliotusaidia