Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,396
Wamekuja kutushika waafrica, wanajua tuna njaa na tunapenda slope, watakuja kumiliki hiyo SGR, AIRPORT, IKULU, ARMY, BAHARI YA HINDI
Tunaacha pesa za bure kabisa kutoka Marekani na Ulaya eti zina "masharti" na kukimbilia China eti "mikopo nafuu"! Hivi "sharti" la Marekani na Ulaya kuzitaka nchi za Afrika zizingatie DEMOKRASIA au mikopo NAFUU ya China ambayo mwishowe utauza nchi ni kipi nafuu? Viongozi Afrika wana matege vichwani mwao wallahi!Hii ni nzuri kabisa. Oh mikopo nafuu mikopo nafuu kumbe uwezo wakulipa mdogo.
Hivi nkikupa pesa ya bure harafu sharti langu niwe nakufukua mtaro harafu nkukopee na unilipe utachagua niniTunaacha pesa za bure kabisa kutoka Marekani na Ulaya eti zina "masharti" na kukimbilia China eti "mikopo nafuu"! Hivi "sharti" la Marekani na Ulaya kuzitaka nchi za Afrika zizingatie DEMOKRASIA au mikopo NAFUU ya China ambayo mwishowe utauza nchi ni kipi nafuu? Viongozi Afrika wana matege vichwani mwao wallahi!
Poor thinking! Ulaya na Marekani kuhimiza demokrasia ndio wanakufukua mtaro? China kukupa mikopo isiyolipika mwisho wa siku wanachukua miundombinu kwako ndio the best alternative?Hivi nkikupa pesa ya bure harafu sharti langu niwe nakufukua mtaro harafu nkukopee na unilipe utachagua nini
Si ndo democracy ya watu wa ulaya hiyo harafu kwani unapokopa si uwamuzi wako uitumiaje. ..Poor thinking! Ulaya na Marekani kuhimiza demokrasia ndio wanakufukua mtaro? China kukupa mikopo isiyolipika mwisho wa siku wanachukua miundombinu kwako ndio the best alternative?
Wewe ndo una poor thinking hivi kuna mikopo isiyolipika hafu eti marekani anakupa hela sharti lake demokrasia tu mzee unajitambua kweliPoor thinking! Ulaya na Marekani kuhimiza demokrasia ndio wanakufukua mtaro? China kukupa mikopo isiyolipika mwisho wa siku wanachukua miundombinu kwako ndio the best alternative?
... madikteta Afrika yanakopa kwa niaba ya nchi ila kwenye matumizi yanajipangia yenyewe mwisho wa siku mzigo wa madeni unakuwa wa wananchi wote.Si ndo democracy ya watu wa ulaya hiyo harafu kwani unapokopa si uwamuzi wako uitumiaje. ..
Sasa mwenye makosa ni china au Africa... madikteta Afrika yanakopa kwa niaba ya nchi ila kwenye matumizi yanajipangia yenyewe mwisho wa siku mzigo wa madeni unakuwa wa wananchi wote.
Sina hakika kama unajua ulichokiandika hapo kwenye red! Kuendelea ku-argue na wewe ni kupoteza muda.Wewe ndo una poor thinking hivi kuna mikopo isiyolipika hafu eti marekani anakupa hela sharti lake demokrasia tu mzee unajitambua kweli
Wewe ndo hujui unacho kifikiri kabisa. Unafikiri bure ya mmarekani kwa sharti uwe unafukuliwa mtaro na uchafu wao mwingine.Sina hakika kama unajua ulichokiandika hapo kwenye red! Kuendelea ku-argue na wewe ni kupoteza muda.
Hakuna mkopo usiolipika matumizi yako ndo yatakufanya ushindwe kulipa. Kama walikopa wakafeli matumizi acha waadabishe maana hakuna kitu cha bureSina hakika kama unajua ulichokiandika hapo kwenye red! Kuendelea ku-argue na wewe ni kupoteza muda.
Mwambie asubiri kwanza unywe jibapa ndio akwambieaisee " usinipe headache tafadhali
hahaaa " akiniambia hivi hivi " atanipasua kichwa tu " bora nipate jibapa kwanzaMwambie asubiri kwanza unywe jibapa ndio akwambie
hahaaa " akiniambia hivi hivi " atanipasua kichwa tu " bora nipate jibapa kwanza
Wala tusiwacheke
Kama mtu unajua kabisa ukikopa nyumba huna uwezo wa kulipia kila mwezi lakini bado unaingia kichwa kichwa na baada ya mwaka tu unanyang'anywa na benki
Sembuse serikali zinazoongozwa na hao hao wenye wazo moja?
Mikopo hii ni hatari na wengi hawapendi kusoma small prints halafu pages ziwe nyingi ndio kabisaaa
Utasikia tu NISAINI WAPI
USHINDWE NA ULEGEE KWA JINA LA YESU!Bado watakuja na bongo kuuchukua wa kwetu
Dawa ya deni ni kulipa lipeni madeni ya watuUSHI
USHINDWE NA ULEGEE KWA JINA LA YESU!