China imevunja moyo wangu

China imevunja moyo wangu

Mrengwa wa kulia

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2022
Posts
1,145
Reaction score
3,765
Baada ya rusian kupelekewa pumzi ya moto nilijua mbabe chinese atasimamia usawaziko wa mambo hapa Duniani.

China ni taifa linalojinasibu kwa nguvu za kijeshi Duniani na nilijua ni ya kwanza. ya pili Russia na ya Tatu ni marekani.

record ya Dunia inapotolewagwa kila mwaka kuonesha Usa ni ya kwanza maranyingi hua naipuuza na kujikita zaid kwenye vyanzo vingine.

China na wao gwaride lao la kijeshi si haba wamnajimudu na kujinasibu kwa kumiliki technology kali za kijeshi kuliko yeyote Duniani lakini sasa msimamo wangu juu ya Uchina umesha ingia Doa.

USA kumbe ni kitu kingine Uwazi na utetezi wa Democrasia unaifanya ionekane ni Wababe kuliko nchi nyingi za Kicomunist na kiarabu. kwani popote penye Democrasia ya kweli kuna mkono wa USA.

Hata tanzania tukitaka urafiki na USA na maisha mazuri tuache undumi la kuwili tujikite zaid kwenye timu ya western nasi tutayaona matunda ya nchi.

USA haogopi vitisho anapo pambania Democracy na sasa amekua kama Mtoa Riziki wa Ulimwengu. ukijifanya imara zaid unakula Vikwazo vya kushiba na usiombe akupige vikwazo

USA NI taifa pekee lenye mamlaka ya kuwekea nchi nyingine vikwazo hata iwe ni nchi kubwa kiasi gani.
na vikwazo maranyingi vinamfanya USA kuwa na faida ya kutangaza Bidhaa zake na Bidhaa za washirika wake katika soko la Dunia.

nchi zilizo pokea demcrasia ya Marekani kwa mikono miwili hazikuachwa Yatima kamwe.
JAPAN SOUTH KOREA ISRAEL TAIWAN zingeangamia bila marekani hata baadhi ya nchi za kiarabu zenye uchumi mkubwa wanaanza kuweka mambo sawa na USA na ISRAEL. mfano. TURKEY SAUDIARABIA, EGYPT NK.

kiujumla China imenivunja sana moyo wangu kwani hawana msaada wala nguv kama nilivyo Amini.

washirika wa China ni vituko. Africa (ndumi la kuwiri), iran, north korea russia,sir lanka, palestina, yemen syria bangladesh Tanzania kenya nk

ZIARA ya pelos nayo ndo imenifanya niwazereu kabisaaaaaaaa.

sasa hivi waChina wa Kibaigwa wanahamisha magoli kwa speed ya hatari.

kila mtu alijua ndege ya pelosi itakabiliwa kijeshi eti kwenda taiwan ni kucheza na moto. moto wa nyoko.
sooon Taiwan inajitangazia uhuru maana ni huru tayari. tena uhuru akiutambua Marekani inatosha maana dunia nzima inajua Taiwan ni China ila mmarekan kasema No.

china wameufyata.

china walipiga kelele kama chura ukikanyaga maji wote kimyaaaaaa

ahsanteni kwa kunisikiliza.
 
Baada ya rusian kupelekewa pumzi ya moto nilijua mbabe chinese atasimamia usawaziko wa mambo hapa Duniani.
China ni taifa linalojinasibu kwa nguvu za kijeshi Duniani na nilijua ni ya kwanza. ya pili Russia na ya Tatu ni marekani.

record ya Dunia inapotolewagwa kila mwaka kuonesha Usa ni ya kwanza maranyingi hua naipuuza na kujikita zaid kwenye vyanzo vingine.

China na wao gwaride lao la kijeshi si haba wamnajimudu na kujinasibu kwa kumiliki technology kali za kijeshi kuliko yeyote Duniani.
lakini sasa msimamo wangu juu ya Uchina umesha ingia Doa.

USA kumbe ni kitu kingine Uwazi na utetezi wa Democrasia unaifanya ionekane ni Wababe kuliko nchi nyingi za Kicomunist na kiarabu. kwani popote penye Democrasia ya kweli kuna mkono wa USA.

Hata tanzania tukitaka urafiki na USA na maisha mazuri tuache undumi la kuwili tujikite zaid kwenye timu ya western nasi tutayaona matunda ya nchi.

USA haogopi vitisho anapo pambania Democracy na sasa amekua kama Mtoa Riziki wa Ulimwengu. ukijifanya imara zaid unakula Vikwazo vya kushiba na usiombe akupige vikwazo

USA NI taifa pekee lenye mamlaka ya kuwekea nchi nyingine vikwazo hata iwe ni nchi kubwa kiasi gani.
na vikwazo maranyingi vinamfanya USA kuwa na faida ya kutangaza Bidhaa zake na Bidhaa za washirika wake katika soko la Dunia.

nchi zilizo pokea demcrasia ya Marekani kwa mikono miwili hazikuachwa Yatima kamwe.
JAPAN SOUTH KOREA ISRAEL TAIWAN zingeangamia bila marekani hata baadhi ya nchi za kiarabu zenye uchumi mkubwa wanaanza kuweka mambo sawa na USA na ISRAEL. mfano. TURKEY SAUDIARABIA, EGYPT NK.

kiujumla China imenivunja sana moyo wangu kwani hawana msaada wala nguv kama nilivyo Amini.

washirika wa China ni vituko. Africa (ndumi la kuwiri), iran, north korea russia,sir lanka, palestina, yemen syria bangladesh Tanzania kenya nk

ZIARA ya pelos nayo ndo imenifanya niwazereu kabisaaaaaaaa.
sasa hivi waChina wa Kibaigwa wanahamisha magoli kwa speed ya hatari.

kila mtu alijua ndege ya pelosi itakabiliwa kijeshi eti kwenda taiwan ni kucheza na moto. moto wa nyoko.
sooon Taiwan inajitangazia uhuru maana ni huru tayari. tena uhuru akiutambua Marekani inatosha maana dunia nzima inajua Taiwan ni China ila mmarekan kasema No.
china wameufyata.

china walipiga kelele kama chura ukikanyaga maji wote kimyaaaaaa

ahsanteni kwa kunisikiliza.
Sema china wanajeshi wao wa kike wazuri sana
 
Wanapima faida na hasara ya vita
China ni nchi ambayo uchumi wake unakua kwa kasi kuelekea kuwa super power. Imewekeza katika nchi nyingi za Ulaya na Marekani. Kuingia katika vita kutaangusha uchumi wake
china anamvutia kasi marekani, anajipanga kwa sasa ameona akae kimya maana anajua Anguko la Marekani huenda likatokea mbeleni hukooooo
 
Wanapima faida na hasara ya vita
China ni nchi ambayo uchumi wake unakua kwa kasi kuelekea kuwa super power. Imewekeza katika nchi nyingi za Ulaya na Marekani. Kuingia katika vita kutaangusha uchumi wake
China apiganie pesa yuan ikae juu, a balance mambo sio kuuza vitu feki kwa bei ndogo pekeake.
 
Wana akili, ya nini kuanzisha vita, wakianzisha vita ataejufaika ji US, anafanya uchokozi ili walianzishe apate anachotaka, ata kule Ukraine Russia kwa kuwa wao ni mbumbumbu waliingia mtegoni na wanashindwa kujinesua
Hakuna watu wasio na akili duniani kama watu wababewababe
 
Back
Top Bottom