Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,539
- 10,007
Ni ukweli usiopingika China lazima atampita marekani Kwa kuwa na uchumi Mkubwa, hata kama si Leo lakin hapo baadae lazima atampita tu ni suala LA mda.
Sera ya kikomunisti hairuhusu au haiamin kwenye dini yeyote ile, ndo maana kwenye jumbo LA Xian kumekuwa na mapambano kati ya serekali ya China na waaislamu
Hata wanapata wakati mgumu sana China, matokeo yake China ndo nchi watu wake wengi hawaamini dini yeyote ile.
Na kama tujuavyo mwanadamu ameumbwa kuamini miungu au Mungu, kunapokua na hiyo nafas lazima kuna mungu atakuja kuiiziba naye ni Freemason.
Itakuwa rahis kuungwa mkono China Kwa sababu hawana upinzani wowote, na Kwa sababu mda huo China atakua superpower itakua rahis Kwa Freemason kutawala dunia direct na sio indirect kama sahivi
Sera ya kikomunisti hairuhusu au haiamin kwenye dini yeyote ile, ndo maana kwenye jumbo LA Xian kumekuwa na mapambano kati ya serekali ya China na waaislamu
Hata wanapata wakati mgumu sana China, matokeo yake China ndo nchi watu wake wengi hawaamini dini yeyote ile.
Na kama tujuavyo mwanadamu ameumbwa kuamini miungu au Mungu, kunapokua na hiyo nafas lazima kuna mungu atakuja kuiiziba naye ni Freemason.
Itakuwa rahis kuungwa mkono China Kwa sababu hawana upinzani wowote, na Kwa sababu mda huo China atakua superpower itakua rahis Kwa Freemason kutawala dunia direct na sio indirect kama sahivi