Naona unanipotezea muda,soma matini ya Kiarabu na hiyo aya haionyeshi mambo ya mke ndiyo maana mwanzo nilikuwekea aya ya 16 na 18 ili ujue kinakusudiwa nini. Sasa sababu mmekaa kupotosha na kuzusha,hapa huo mlango umefungwaUnajua source nimeweka ni source inayoaminika duniani na nime prove kwamba Allah alisema akitaka mke au mtoto atachukua kutoka US
Turudi kwenye maswali yangu haya
- Kama yeye sio Hermaphrodite (Intersex) hiyo US ni kina nani?
- Koran ( 21:17) " Had We intended to take a pastime (i.e. a wife or a son, etc.), We could surely have taken it from Us.....
- scholar wemesema kwamba hiyo US maana yake ni Allah, Malaika na Ma houris wazuri wazuri
- Kwanini wewe unapingana nao na unasema hiyo US ni Allah mwenyewe je unataka kutuambia Allah ni Hermaphrodite?
Hii matini ya kiswahili umetoa wapi Weka uthibitisho , Mimi nimekuwekea link ambayo kila mtu anaweza ingia na kusoma na KUONA source yakeLink yako ina kitu hiki :
{ لَوْ أَرَدْنَآ أَن نَّتَّخِذَ لَهْواً لاَّتَّخَذْنَاهُ مِن لَّدُنَّآ إِن كُنَّا فَاعِلِينَ }
Had We desired to find some diversion that which provides diversion in the way of a partner or a child We would have found it with Ourselves from among the beautiful-eyed houris or angels were We to do so. But We did not do so thus We never desired it.
Haya maneno umeyapata wapi ? Kilichopo kwenye matini ya aya ni hiki :
17. Kama tungeli taka kufanya mchezo tunge jifanyia Sisi wenyewe, lau kwamba tungeli kuwa ni wafanyao mchezo. (al-Anbiyaa : 17)
Weka maelezo ya scholar nilio wataja kwa lugha yake ya asili na uniwekee na authentic link ILI nikumalize naona unakuwa kichwa ngumuNaona unanipotezea muda,soma matini ya Kiarabu na hiyo aya haionyeshi mambo ya mke ndiyo maana mwanzo nilikuwekea aya ya 16 na 18 ili ujue kinakusudiwa nini. Sasa sababu mmekaa kupotosha na kuzusha,hapa huo mlango umefungwa
Huwezi kusema source ya kuaminika huku hujarejea katika kitabu chenyewe cha asili. Ndiyo mtumbie haya umeyaoata wapi,maana kwenye kitabu cha asili hakuna haya.
Hapa utasema yote kijana,onyesha source ya Kiarabu yenye haya uliyo yaweka wewe. Au unafikiri matini ya Koarabu haipo au hatuwajui waandishi wa hiyo Tafsiri ?Acha upuuzi kijana huwezi sema institute nzima walioweka hiyo tafsiri kwa lugha ya kingereza ni wajinga alafu wewe ndio mjuzi wao
Hawa hapa
© 2021 Royal Aal al-Bayt Institute for Islamic Thought, Amman, Jordan
Unachotakiwa kufanya sio kuongea tu kwamba hayapo Weka Link authentic unayoiamini wewe tusome sio kusema tu hayapo , siku hizi lugh inafanyiwa translation faster Weka
Dili na ukweli na usikwepe ukweli
Stupidity is amazing
Rejea tarjama ya Qur'aan ya Sheikh Ali Muhsin Barwan ambayo asili yake ni kitabu kiitwacho "al Muntakhabat....".Hii matini ya kiswahili umetoa wapi Weka uthibitisho , Mimi nimekuwekea link ambayo kila mtu anaweza ingia na kusoma na KUONA source yake
Ndio maana nakwambia kuna mda kichwa chako kinafyetuka , yani umeingia kwenye link alafu unaniuliza Mimi maneno nimetatoa wapi 😆😆🙌 huu ujinga wako umepita maelezoLink yako ina kitu hiki :
{ لَوْ أَرَدْنَآ أَن نَّتَّخِذَ لَهْواً لاَّتَّخَذْنَاهُ مِن لَّدُنَّآ إِن كُنَّا فَاعِلِينَ }
Had We desired to find some diversion that which provides diversion in the way of a partner or a child We would have found it with Ourselves from among the beautiful-eyed houris or angels were We to do so. But We did not do so thus We never desired it.
Haya maneno umeyapata wapi ? Kilichopo kwenye matini ya aya ni hiki :
17. Kama tungeli taka kufanya mchezo tunge jifanyia Sisi wenyewe, lau kwamba tungeli kuwa ni wafanyao mchezo. (al-Anbiyaa : 17)
Hujaona kitabu nilichokuwekea huko nyuma ?Weka maelezo ya scholar nilio wataja kwa lugha yake ya asili na uniwekee na authentic link ILI nikumalize naona unakuwa kichwa ngumu
Stupidity is amazing
Kwahiyo tunakubaliana hakuna kitu kwenye Quran kinachoitwa injili ya Issa?Unapo ambiwa Injili ya Issa si kwa maana yake bali alipewa na Mola wake kama muongozo,na ukisema Qur'aan ya Muhammad kwa maana ya kupewa kitabu haina shida.
Safi kabisa,ndiyo maana nikakuuliza kigezo gani umetumia kuyajengea hoja haya maneno ? Hujaona hilo ?Ndio maana nakwambia kuna mda kichwa chako kinafyetuka , yani umeingia kwenye link alafu unaniuliza Mimi maneno nimetatoa wapi 😆😆🙌 huu ujinga wako umepita maelezo
Leta maelezo halisi Al- Jalalayn na Ibn Abas Weka Link tusome maana siku hizi vitabu vingi vipo on-line hakuna kusema nikatafute makaratasiRejea tarjama ya Qur'aan ya Sheikh Ali Muhsin Barwan ambayo asili yake ni kitabu kiitwacho "al Muntakhabat....".
Umeelewa nilichokiandika ?Kwahiyo tunakubaliana hakuna kitu kwenye Quran kinachoitwa injili ya Issa?
Sababu ilikuwa ni ipi?Sababu kuwepo kwake kulitokana na haja na sababu maalumu,ilipo ondoka sababu hiyo ikawa sheria hiyo haifanyi kazi.
Ni wapi umeweka maelezo ya Al jalalaynHapa utasema yote kijana,onyesha source ya Kiarabu yenye haya uliyo yaweka wewe. Au unafikiri matini ya Koarabu haipo au hatuwajui waandishi wa hiyo Tafsiri ?
Hujaona nimekuwekea Haashiya ya Tafsiri ya Jalalayn huko nyuma ?
Huko mbali ila aya yenyewe iko wazi inaongelea uumbaji wewe unaleta habari za mke na mtoto...?
Hapo bado sijarudi kwenye Tafsiri ya Ibn Abbasnl.
Usicho kijua ni kuwa najua nyinyi si watu wa kusoma,mnaokoteza mitandaoni pasi na kuhakiki.
Hatulei ujinga.
Mwisho wa siku ubakimbiliaga kiharabu ukiona umebanwa , Weka Link ya maelezo ya Al jalalayn nasubiriaSafi kabisa,ndiyo maana nikakuuliza kigezo gani umetumia kuyajengea hoja haya maneno ? Hujaona hilo ?
Lakini matini ya aya kwa kiarabu huyasomi ? Hii inaonyesha wazi ya kuwa Kiarabu hukijui ? Vipi unajadili mambo usiyo ya jua ?
Umeweka kava ya kitabu , hicho kitabu hakipo online auHujaona kitabu nilichokuwekea huko nyuma ?
Leta maelezo halisi Al- Jalalayn na Ibn Abas Weka Link tusome maana siku hizi vitabu vingi vipo on-line hakuna kusema nikatafute makaratasi
Weka Link sio picha
Unanipotezea muda.Weka Link sio picha