Acha porojo mkuu!Ebu weka Aya za matini ya hayo maneno kama wewe siyo mzushi tujadili.
ULIDAI KWAMBA KORAN NI MUUJIZAπ€£π€£ Mbona unachanganya mada mkuu? Exactly hakuna mtume aliyeumbwa na maajabu ila woote walikuwa wanamuomba mwenyezi mungu kisha anawaruhusu sasa waamuru wafu kufufuka, wapasue bahari itengeneze njia na hata kuupasua mwezi pande mbili .
All those miracle zinatoka kwa Allah( the exalted one) mitume walikuwa hawana devine status yoyote walikuwa ni binadamu kama sisi ila wakiochaguliwa na Allah (the exalted one) kuleta ujumbe mmoja tu "ACHENI KUABUDU MIUNGU WENGINE ISIPOKUWA ALLAH (The exalted one).
Wakati Muhammad anatengeneza verse alikuwa anasaidiwa na mjomba ake anaitwa waraka , ambae Mimi naamini ndie alikuwa baba ake MuhammadAcha porojo mkuu!Ebu weka Aya za matini ya hayo maneno kama wewe siyo mzushi tujadili.
WeWe NiMESHA KUTOA KWENYE UISLAMU NA NDIO KAZI YANGUCode:* Yesu akasema "Baba, saa imekwisha kufika" Je unaamini Yesu ana Baba ambae yupo mbinguni?
NDIYO KWA SABABU BABA YAKE YESU NDIYE BABA WA WANAISRAEL WOTE:
Yesu anasema
Yohana 20:17
Yesu akamwambia, βUsinishike, kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu ukawaambie, βNinapaa kwenda kwa Baba yangu ambaye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu ambaye ni Mungu wenu.βββ
Code:* Yesu anasema amepewa mamlaka juu ya wote wenye mwili na kwamba atawapa wote wenye mwili uzima wa milele, Je unaamini hili?
HAPANA SIAMINI KWA 7BU YESU ALITUMWA KWA WANAISRAEL TU NAMI SIMWANA WA ISRAEL:
Yesu anasema:
Mathayo 15:24
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.
Lakini pia Yesu siku chache kabla ya mateso aliwagiza wanafunzi wake hivi:
Mathayo 10:23
Lakini watakapowafukuza katika mji huu, kimbilieni mwingine; kwa maana ni kweli nawaambia, Hamtaimaliza miji ya Israeli, hata ajapo Mwana wa Adamu.
Mpaka leo Mwana na Adamu hajarudi lakini kina Paul kitambooo walijigeuzia mazuzu wao kina nyinyi.[emoji2][emoji2][emoji2]
Code:* Yesu anasema uzima wa milele ndio huu wamjue aliemtuma ambae hapo juu Yesu kasema ni Baba yake ndio kamtuma!! upo na unaelewa?
YOHANA 20:17 imeshamaliza.
* 3Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
Huu ndiyo msingi wa Uislamu,Mungu ni Mungu na Yesu ni Mtume wa Mungu.
Code:* Yesu anasema amemtukuza Baba yake na amemaliza alichotumwa kufanya , kimetajwa hapo juu atupe uzima wa milele, Unaamini uzima wa milele tunapata kupitia Yesu?
HAPANA KWA SABABU HILI NI KWA WATU WALE TU ALIOPEWA YESU:
YOHANA 17:6
Jina lako nimewadhihirishia watu wale ulionipa katika ulimwengu; walikuwa wako, ukanipa mimi, na neno lako wamelishika.
Na kwa kuthibitisha hilo akaongeza hivi:
YOHANA 17:9
Mimi nawaombea hao; siuombei ulimwengu; bali hao ulionipa, kwa kuwa hao ni wako;
Code:* Yesu anasema alikuwepo kabala ya ulimwengu kuwepo na Alikuwa na Baba pamoja, Yesu hapa najizihirisha Yeye na Baba ni wamoja na kwa ku copy kwako hapa inamaana unaamini Yesu ni Mungu au umejikopia tu vitabu havikuhusu?*
YOHANA 20:17 ilishamaliza uchakachuaji wote.[emoji2][emoji23][emoji16]
Yesu ni Mungu mwenye Mungu!Ujinga huo mnao nyinyi tu wapiga makofi kanisani [emoji41][emoji41][emoji41]
KARIBU TENA NIENDELEE KUKUPA TUITION [emoji23][emoji16][emoji3].
Nawashangaa Sana kwa nini kitabu chenu kidogo Sana kina sura kama mia na kitu Kuna sura zina Aya kama 3 tu na hamwezi kukikariri, biblia ni book of books laikini watu tumekariri chote from cover to cover , mpaka Koran yote nyiongeza nimeikariri cover to coverAcha porojo mkuu!Ebu weka Aya za matini ya hayo maneno kama wewe siyo mzushi tujadili.
π€£π€£π€£ Kumbe hata tareikh huwa hamsomi enhee nambie baba yake musa na aron aliitwa imran je? Ndiyo huyo huyo baba yake na mariam? Mama wa yesu? Maana na yeye aliitwa imran piaKama Mariam ni dada wa Haruni.
Sasa si ndio Musa mjomba wa Issa hapo.
Issa wa Madina.
Au unasubiri usomewe hiyo
Aya.
Soma Sura ya Maryam utaiona.
"19:28 - Ewe dada yake Harun! Baba yako hakuwa mtu muovu, wala mama yako hakuwa kahaba."
Ujomba ulianzia hapo.
Au unataka kubishana na Allah, mjuzi wa yote.
Nimecheka Sanaπ€£π€£π€£ Kumbe hata tareikh huwa hamsomi enhee nambie baba yake musa na aron aliitwa imran je? Ndiyo huyo huyo baba yake na mariam? Mama wa yesu? Maana na yeye aliitwa imran pia
Sasa piga musa aliishi karne ngapi kabla ya yesu.
Kwa kifupi ni kuwa dada yake musa na aron aliitwa maryam na mama yake yesu pia alirithi jina la huyo maryam similar to baba yake na alivyorithi jina la imran .
π€£π€£π€£π€£π€£ Sio mnaropoka tu, kama kitu hamkielewei waukizeni wenye dini yao .
Na Allah (the exalted one) ni mjuzi wa yote .
Miriam alikuwa mtoto wa Amram na Jochebed na Miriam alikuwa dada wa harun na Musa, hapa ndipo muhammad alipo changanya madesa na Maryam mama wa Yesu , muhammad alitengeneza Yesu wake anaitwa issa ila akachanganya historyπ€£π€£π€£ Kumbe hata tareikh huwa hamsomi enhee nambie baba yake musa na aron aliitwa imran je? Ndiyo huyo huyo baba yake na mariam? Mama wa yesu? Maana na yeye aliitwa imran pia
Sasa piga musa aliishi karne ngapi kabla ya yesu.
Kwa kifupi ni kuwa dada yake musa na aron aliitwa maryam na mama yake yesu pia alirithi jina la huyo maryam similar to baba yake na alivyorithi jina la imran .
π€£π€£π€£π€£π€£ Sio mnaropoka tu, kama kitu hamkielewei waukizeni wenye dini yao .
Na Allah (the exalted one) ni mjuzi wa yote .
ukiongea kma ivi toa uthibitisho wa aya na hadithi sio izo porojo zakoWakati Muhammad anatengeneza verse alikuwa anasaidiwa na mjomba ake anaitwa waraka , ambae Mimi naamini ndie alikuwa baba ake Muhammad
Warak alipo kufa Aya za koran zikawa hazitoki tena na Muhammad alipo ona hivyo akawa kichaa na kutaka kujiua akaona ataumbuka , badae akapata mkristo mwingine akawa anamuandikia Koran ,badae na mkristo huyo akaona mbona huyu jamaa hajui nacho andika , mkristo akasepa akamuacha akaona ni muongo , badae Muhammad akaenda kumtoa uhai akasema ni Allah kamtoa uhai
Muhamma Alichanganya Miriam ambae ni dada ake musa na Maryam mama wa Yesu , Kuna Jews wakamfuta Aisha wakamwambia mbona mume wako anachanganya history , Muhammad akaona akomae na hilo kosa maana angebadili ingeleta shida
Naomba uwe unawaelimisha taratibu hawa ndugu zetu.Nimecheka Sana
Muhammad alichanganya Miriam na Maryam , Yani aluweka kabisa na harun
Dada yake Musa aliita Miriam naona na wewe unachanganya kama muhammad
Dunia nzima wanajua kuna kua na mashindano ya kuhifadhi Qur'an we wapi umewahi kusikia mashindano ya kuhifadhi biblia?Nawashangaa Sana kwa nini kitabu chenu kidogo Sana kina sura kama mia na kitu Kuna sura zina Aya kama 3 tu na hamwezi kukikariri, biblia ni book of books laikini watu tumekariri chote from cover to cover , mpaka Koran yote nyiongeza nimeikariri cover to cover
Soma dini Yako , nakupa home work katafute mkristo alikuwa anamuandikia MUHAMMAD nikikuwekea nitakuaibishaukiongea kma ivi toa uthibitisho wa aya na hadithi sio izo porojo zako
ety baba ake muhammad ni waraka !khaaa
ety muhammad kasaidiwa kuandika qur'an na mkristo! khaaaa
Yni m ndo mna ata stki kukujibu ww mna naona huna la maana unoongea ni pumba tuuu unazoongea
Na mkifa na izo chuki zenu mlopandikizwa uko makanisani ni mwendo wa [emoji91][emoji91][emoji91] na hamtokua na muombezi huko
Hatuwezi kushindana , Koran ni kitabu kidogo Sana ,ambacho ata wiki unakaririDunia nzima wanajua kuna kua na mashindano ya kuhifadhi Qur'an we wapi umewahi kusikia mashindano ya kuhifadhi biblia?
Dini Yako isome ILI usiwe unashangaa mda wote, warak alikuwa mkristo na ndie alimwambia muhammad kwamba Alie mnyonga kule pangoni ni jibrilukiongea kma ivi toa uthibitisho wa aya na hadithi sio izo porojo zako
ety baba ake muhammad ni waraka !khaaa
ety muhammad kasaidiwa kuandika qur'an na mkristo! khaaaa
Yni m ndo mna ata stki kukujibu ww mna naona huna la maana unoongea ni pumba tuuu unazoongea
Na mkifa na izo chuki zenu mlopandikizwa uko makanisani ni mwendo wa [emoji91][emoji91][emoji91] na hamtokua na muombezi huko
π€£π€£π€£ Umeilewa aya au nikutafsirie? Sijaona sehemu Allah (the exalted one) amesema "Hatukumpa muhammad miuiza" ila ninachokiona hapo ni tofauti .ULIDAI KWAMBA KORAN NI MUUJIZA
ALLAH ALISHA SEMA HANA MUUJIZA WOWOTE KWA MUHAMMAD
Koran 17:59 "And We refrain from sending the signs, only because the men of former generations treated them as false."
Watu walimbana muhammad kwa nini hana muujiza WOWOTE , Allah akashusha Aya akasema muhammad hana muujiza yeye ni muonyaji tu
13:7 Jalal - Al-JalalaynAnd those who disbelieve say, βWhy has not some sign been sent down upon him, upon Muhammad (s), from his Lord!β, the like of the staff and the [glowing] hand, or the she-camel. God, exalted be He, says: You are only a warner, one to threaten the disbelievers, for it is not your duty to bring forth signs
Allah kasema amezuia miujiza kwa sababu kizazi kilicho pita kilikuwa hakiamini, pia akasema msimbane Muhammad kutaka muujiza maana yeye ni muonyaji tuπ€£π€£π€£ Umeilewa aya au nikutafsirie? Sijaona sehemu Allah (the exalted one) amesema "Hatukumpa muhammad miuiza" ila ninachokiona hapo ni tofauti .
Tuanzie hapa "former generations" inamaana gani? ππ bila shaka ji "vizazi vilivyopita" so itatafsiriwa hivi
View attachment 2026114
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] mjinga katika ubora wakeHatuwezi kushindana , Koran ni kitabu kidogo Sana ,ambacho ata wiki unakariri
Huna ulijualo ww KAFIRIDini Yako isome ILI usiwe unashangaa mda wote, warak alikuwa mkristo na ndie alimwambia muhammad kwamba Alie mnyonga kule pangoni ni jibril
Huyu mkristo alivyo ona muhammad hajui chochote kilicho andikwa akaachana na muhammad , Allah alivyo ona hivyo wakamuua
Narrated Anas:
There was a Christian who embraced Islam and read Surat-al-Baqara and Al-`Imran, and he used to write (the revelations) for the Prophet. Later on he returned to Christianity again and he used to say: "Muhammad knows nothing but what I have written for him.
Sahih bukhari 3617
Issue ilianzia hapa na surat Imran , ndipo mkristo alimuingize kenge Miriam na Maryam
Walio amini ni nyinyi ambao hamkuyachukua mafundisho ya nabii Issa kama yalivyo.Kwa hiYo AlIoNa MtU MwiNGINE AFe , WaTu WAAMIni AlaFU AwALaANI KwA KuaMInI! NiChEka SAna
Kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza ?KWa hiyo mtu kafanana kila kitu na issa unataka kusema watu hawakumuona issa kasalubiwa? Waliona na wakashuhudia kabisa na wakaweka kumbukumbu walie muona ni issa kafa, baada ya miaka kama elfu 5 Allah akarudi na Muhammad wakasema ilikuwa ni clone ya issa