Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Bora umemtoa tongotongo..
 
Acha ujinga wewe!.Mtoto wa chekechea ufundisha kwa michoro kwa kuwa ndiyo anaanza kufundishwa vitu vipya.Mfano atapotajiwa jina MBWA mbele atawekewa mchoro/picha ya mnyama huyo mbwa.
Lakini mtoto wa darasa la saba anapotajiwa jina hilohilo MBWA mbele yake awekewi mchoro wa mnyama kwa sababu tayari alishamjua toka huko darasa la chekechea.

TORATI,ZABURI NA INJILI ni sawa na vitabu vya Shule za msingi,sekondari na high level.Lakini QUR'AN ni kitabu cha elimu ya juu (chuo kikuu).
Sasa ni mjinga pekee ndiye anaweza hoji eti aoneshwe amri 10 katika QUR'AN ili hali tayari amri hizo zilishawekwa kwenye vitabu vya nyuma huko na QUR'AN ilishavitaja kama rejea.

Alafu bila aibu unasema eti TORATI,ZABURI NA INJILI ni vitabu vya imani yako?Kiaje?.
 
"mfano hapo Allah kasame alimpa Musa wake torati ,ukimuuliza ipo wapi yeye Allah anakwambia sijui ilipo"

Unaweza thibitisha dai lako hili?Thibitisha.
 
Mungu aliyeshindana mieleka na Yakobo na Mungu wako kushindwa! Huyo Mungu bakinae wewe mshikiwa akili.
 
Hawa vijana wa chekechea wanalazimisha kupimana na watu wa chuo kikuu (QUR'AN )!Wakuonea huruma tu.
 
Vitabu vyenu nyinyi kina nani?
 
Niambie waandishi wa vitabu vyenu na uweke na ushahidi wa uandishi wao.

Najadili elimu unaleta utoto. Naomba matini ya neno kwa neno ya mafundisho ya Yesu.
Mkuu!Vitabu vyao kina nani?Mi nataka athibitishe kama hivi ni vitabu vyao.TORATI,ZABURI NA INJILI kamwe haviwezi kuwa vitabu vya mazuzu wanaojihita wakristo.
 
Mkuu!Vitabu vyao kina nani?Mi nataka athibitishe kama hivi ni vitabu vyao.TORATI,ZABURI NA INJILI kamwe haviwezi kuwa vitabu vya mazuzu wanaojihita wakristo.
Hivyo vitabu umetaja vya Allah wenzako humu walishindwa kutoa mistari ya moja katika kila kitabu ,

Wewe kwa sababu upo chuo kikuu
Nipe Aya 1 katika kila kitabu Cha Allah
Torati ya Allah weka Aya 1......
Zaburi ya Allah weka Aya 1....
Injili ya issa wa Allah weka Aya 1...

Na mwisho uweke matini ya hivyo vitabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…