Habari Jf ,
Kwa wale wenye malengo ya kupata suluhisho la kudumu kwenye upatikanaji wa maji , njia pekee ni kutumia chanzo cha maji kutoka kwenye miamba chini ya ardhi,
Changamato mchakato mzima ni gharama kuanzia kufanya survey hadi kuchimba na kusambaza maji.
Sasa basi kwa uzoefu nilionao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.