Chiligati: Atishia kujiuzulu

tembeleh2

JF-Expert Member
Jul 27, 2010
765
165
Source: mwananchi 29/2/2012
Wana JF hebu angalieni majibu haya ya Mh. Chiligati halafu mchangie. Mimi nafikiri hana ubavu wa kujiuzulu, nyie je?

Alipoulizwa jana kuhusu tishio lake la kutaka kujiuzulu Chiligati alisema: "Mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe mwenyewe." Mahojiano yake na mwandishi wetu yalikuwa kama ifuatavyo:

Swali: Salaam ndugu Chiligati. Kwanza heri ya mwaka mpya.
Jibu: Nzuri, nashukuru na wewe pia.

Swali: Nimesikia kuwa juzi ulitaka kujiuzulu ujumbe wa sekretarieti kutokana na kuvuja siri za kikao chenu cha juzi cha mchakato wa kura za maoni wa Arumeru Mashariki je, msimamo wako ukoje hadi sasa hivi?
Jibu: Bwana wewee! Sikia, hayo ni mambo ya ndani ya vikao. Mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe!

Swali: Sawa, natambua ni la vikao vya ndani vya chama, lakini huoni kuvuja kwa siri za vikao vyenu kunaonyesha sekretarieti imegawanyika?
Jibu: Nakwambia hivi, hayo ni mambo ya ndani ya vikao. Kwani wewe mbona hutuambii mambo ya nyumbani kwako na mkeo?

Swali: Hujaniuliza, ungeniuliza ningekwambia. Lakini, je, sasa kama siri zitaendelea kuvuja msimamo wako utakuwa ni upi?
Jibu: Haaah...! Wewe bwana shughulika na ya kwako, haya hayakuhusu. Haya ni sawa na mambo ya ndani ya nyumba, ni yetu wenyewe tutayazungumza kwenye vikao vyetu.

Swali: Lakini, tayari mmeweza kubaini ni vipi siri za vikao vyenu zinavuja na labda mmejua ni nani anayezivujisha?
Jibu: Nasema tuachie wenyewe, hatutaki utuingilie. Nasisitiza tena kitu kimoja, hilo halikuhusu endelea na mambo yako.
 
Hawezi kujiuzulu na nitasikitika akijiuzulu maana atakuwa anamsafishia njia yule Mwizi wa kimataifa kuwa Rais. Chiligati simkubali lakini kitendo chake cha kujitoa kwa hali na mali ili Lowassa asitimize malengo yake, niko upande wa Chiligati
 
Source: mwananchi 29/2/2012
Wana JF hebu angalieni majibu haya ya Mh. Chiligati halafu mchangie. Mimi nafikiri hana ubavu wa kujiuzulu, nyie je?

Alipoulizwa jana kuhusu tishio lake la kutaka kujiuzulu Chiligati alisema: "Mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe mwenyewe." Mahojiano yake na mwandishi wetu yalikuwa kama ifuatavyo:

Swali: Salaam ndugu Chiligati. Kwanza heri ya mwaka mpya.
Jibu: Nzuri, nashukuru na wewe pia.

Swali: Nimesikia kuwa juzi ulitaka kujiuzulu ujumbe wa sekretarieti kutokana na kuvuja siri za kikao chenu cha juzi cha mchakato wa kura za maoni wa Arumeru Mashariki je, msimamo wako ukoje hadi sasa hivi?
Jibu: Bwana wewee! Sikia, hayo ni mambo ya ndani ya vikao. Mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe!

Swali: Sawa, natambua ni la vikao vya ndani vya chama, lakini huoni kuvuja kwa siri za vikao vyenu kunaonyesha sekretarieti imegawanyika?
Jibu: Nakwambia hivi, hayo ni mambo ya ndani ya vikao. Kwani wewe mbona hutuambii mambo ya nyumbani kwako na mkeo?

Swali: Hujaniuliza, ungeniuliza ningekwambia. Lakini, je, sasa kama siri zitaendelea kuvuja msimamo wako utakuwa ni upi?Jibu: Haaah...! Wewe bwana shughulika na ya kwako, haya hayakuhusu. Haya ni sawa na mambo ya ndani ya nyumba, ni yetu wenyewe tutayazungumza kwenye vikao vyetu.

Swali: Lakini, tayari mmeweza kubaini ni vipi siri za vikao vyenu zinavuja na labda mmejua ni nani anayezivujisha?
Jibu: Nasema tuachie wenyewe, hatutaki utuingilie. Nasisitiza tena kitu kimoja, hilo halikuhusu endelea na mambo yako.

Yeye unadai ametishia na wewe unaendelea kufikiri....................neither vitisho nor kufikiri are real
 
Kama anaweza kusimamia masuala anayoyaamini na afanye hivyo kwani atajijengea heshima. Wait a minute! mpaka hapo alivyokuwa anajibu hayo maswali ya Mwananchi amethibitisha kuwa Mdomo wake haupo pale matendo yake yalipo
 
sasa anamtishia nani? Hivi huyu bwna ni muhimu sana kwenye chama kiasi kuwa ana uwezo wa kutishia?
 
Source: mwananchi 29/2/2012
Wana JF hebu angalieni majibu haya ya Mh. Chiligati halafu mchangie. Mimi nafikiri hana ubavu wa kujiuzulu, nyie je?

Alipoulizwa jana kuhusu tishio lake la kutaka kujiuzulu Chiligati alisema: "Mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe mwenyewe." Mahojiano yake na mwandishi wetu yalikuwa kama ifuatavyo:

Swali: Salaam ndugu Chiligati. Kwanza heri ya mwaka mpya.
Jibu: Nzuri, nashukuru na wewe pia.

Swali: Nimesikia kuwa juzi ulitaka kujiuzulu ujumbe wa sekretarieti kutokana na kuvuja siri za kikao chenu cha juzi cha mchakato wa kura za maoni wa Arumeru Mashariki je, msimamo wako ukoje hadi sasa hivi?
Jibu: Bwana wewee! Sikia, hayo ni mambo ya ndani ya vikao. Mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe!

Swali: Sawa, natambua ni la vikao vya ndani vya chama, lakini huoni kuvuja kwa siri za vikao vyenu kunaonyesha sekretarieti imegawanyika?
Jibu: Nakwambia hivi, hayo ni mambo ya ndani ya vikao. Kwani wewe mbona hutuambii mambo ya nyumbani kwako na mkeo?

Swali: Hujaniuliza, ungeniuliza ningekwambia. Lakini, je, sasa kama siri zitaendelea kuvuja msimamo wako utakuwa ni upi?
Jibu: Haaah...! Wewe bwana shughulika na ya kwako, haya hayakuhusu. Haya ni sawa na mambo ya ndani ya nyumba, ni yetu wenyewe tutayazungumza kwenye vikao vyetu.

Swali: Lakini, tayari mmeweza kubaini ni vipi siri za vikao vyenu zinavuja na labda mmejua ni nani anayezivujisha?
Jibu: Nasema tuachie wenyewe, hatutaki utuingilie. Nasisitiza tena kitu kimoja, hilo halikuhusu endelea na mambo yako.

Majibu ya Chiligati kwenye red hakuna hata moja linaloonyesha kuwa ametishia kujiuzulu...Title ya thread yako haihusiani na ulichokisema.
 
Back
Top Bottom