Chile miners' rescue underway!!!!

anaoko mtu wa 22 hapa naona ana furaha sana, dah yabidi kumshukuru YESU kristo
 
ariel tikona alikuwa ni mtu wa 32 huyu jamaa mke wake alizaa ,siku chache baada ya yeye kufukiwa chini na kifusi
 
huyu jamaa wa mwisho ndio alikuwa bosi siku amabyo mwamba uliporomoka.
 
Nashuhudia miner wa mwisho Luis Urzua 54 - Foreman akiingia kwenye capsule, kimlango kinafungwa, engineer wanapiga makofi na kumpungia mikono tayari anavutwa sasa kuelekea juu. God is great!
 
firsl lady yuko hapa ila hana kiherehere kabisa,katulia tu
 
huyu rais wao yuko hapa mwanzo mwisho na huyu jamaa ni billionea, atakuwa amepata umaarufu sana kutokana na huu uokoaji, sisi marais wetu mmm
 
jamaa wanaimba rais anaimba nae. Marais wetu wanapenda kwenda kuzika tu na kutoe pole
 
Kingora kinapigwa Luis Urzua the last miner ndio ameshafika juu, makofi kibao na chereko chereko. Ametoka anakumbatiana na raisi, wanafamilia na miner wenzie. Anaongea kidogo na raisi na sasa wanaimba. Waliobaki sasa waokoaji kutolewa.
 
rais anatokwa na machozi jamaa wa mwisho anaongea naye anammshukuru sana, na Rais naye anashukuru watu wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…