Umezuia mkopo halali wa watumishi wa ofisi yako eti nawe ni mtumishi kumbe sio matokeo yake umekuja hapa hazina na kututolea maneno machafu,sio halali huo mkopo kwako,waache watumishi wakope:unamweka diwani ndani wakati wewe mwenyewe umejinyakulia mashamba na umekata misitu zaidi ya huyo diwani,data zaidi zitafuata.