Dini ni kichaka. Huwezi kupewa uchief kama wewe sio gwiji kwenye mambo ya giza. Chief ni mkuu anaetawala eneo husika katika ulimwengu wa giza, wachawi wanamipaka yao na tawala zao awaingiliani bila ruhusa yao ukitaka kupita kwenye anga yao ni lazima uwaombe ruhusa.