Szczesny JF-Expert Member Apr 15, 2016 7,180 25,923 Jul 26, 2016 #21 Tale tunashukuru sasa uende na Tip top kuna vijana wako wapo kule
PAGAN JF-Expert Member Aug 19, 2014 11,256 17,913 Aug 1, 2016 #24 Mnabishia nini, Babu Tale katumia zaidi ya milioni 60 na risiti zote bado anazo. Tanzania kuna mambo sana!
Mnabishia nini, Babu Tale katumia zaidi ya milioni 60 na risiti zote bado anazo. Tanzania kuna mambo sana!
kivyako JF-Expert Member Feb 2, 2012 14,341 12,045 Aug 1, 2016 #25 Inaonyesha hajapona, akomae na dozi kwanza
McDonaldJr JF-Expert Member Sep 25, 2013 6,388 7,552 Aug 1, 2016 #26 Mimi nakubaliana na Chid tena inaweza kufika 100 Million au zaidi. Ukiwabishia tu utasikia kapata stress karudia tena kua chatu acha tum-support.
Mimi nakubaliana na Chid tena inaweza kufika 100 Million au zaidi. Ukiwabishia tu utasikia kapata stress karudia tena kua chatu acha tum-support.
aminiusiamini JF-Expert Member Aug 25, 2011 3,577 2,220 Aug 1, 2016 #27 Dah watu wanaongea kama sio pesa kabisa yani. Duh